ray57
Senior Member
- Oct 29, 2013
- 102
- 45
Nimelala nikaamka na akili zangu za usiku, nikawaza sanaa, Kwa nini app, system,site nyingi za Tanzania huwa zinazaliwa na kufa kwa muda mfupi? Kwa nini hazitoboi? kwa nini hazipati nafasi ya kujikita juu na kujiendesha?
Hapa kutakuwa na sababu nyingi sanaa zinazopelekea kuwa na haya matatizo yanayojitokeza kwa Developers wetu nchini.
Kwa ufupi nikapata shida kama chache zinazoleta maafa kwa Developer wengi na Product zao.
1. Kuna Developers kweli wanajua ku code na ukimwambia nataka hiki basi utakipata, kama wapo kama hawa au upo wewe basi jua Shida ya kutambua nini Jamii inataka nini na Business inaendaje mtaani, maana mwisho wa siku product yako hutumii mwenyewe inatumika na jamii. Developer wengi wana code ideas zilizopo kichwan mwao na wanashindwa kujua nje jamii inataka nini thats why ukipush system yako/app kwenye market inakufa faster tuuu.
2. Ubunifu hakuna, Elimu ya Science na Technologia ya Nchi yetu inafundisha vijana ku copy na ku paste. Ku drive sample code katika compiler zao tuu. Meisho wa siku ukimleta katika kazi halisi mizigo hua haitembei. Ukipita mtaani utasikia wengi wanajua Java,php,Python, Jquery na madudu ya ajabu ukiwaweka kwenye meza wanajua ku input data na ku output tuu. Elimu haitufanyi kubase on real issues za kijamii. Kama wewe ni Mwanafunzi jifunze sasa kufanya na kusolve real problems zinazokuzunguka kwa code zako.
3. Serikali na Makampuni binafsi zinashindwa kutoa changamoto zilizopo. Michango yao haipo. Ujanja ujanja ni mwingi. Wenzetu Kenya sasahiv kila kitu unafanya online hata kununua Unga dukani unaweza lipia kwa Mpesa, Sheli zote unalipa kwa mpesa, yani unaweza zunguka siku nzima huna shiring mfukoni ila ukala na kusafiri kwa Kulipia vitu vyote online, Goverment support na Makampuni binafsi yako njema kusupport. Ila ukirudi Tanzania limitation kila kona. Wataalamu wa online intergration mtakuja niambia urahisi wa haya mambo kwetu huku ukoje na kwa nini hakuna hizi mambo.
Wewe kama Mdau wa Technologia hii ya sasa Changamoto gani unaziona? Kwa nini Tuna shindwaaa kwenda na Technology nchini.
Tuachane na MAmbo ya kutengeneza Blog za udaku na app za kuwaibia raia pesa zao.
Tuzungumze nini kifanyike ili jamii inufaike na wewe kama developer uweze kuendelea.
Matusi, Kejeli, Zinaruhusiwa Kuwa huru na mchango wako ndio pona ya mwezako kesho.
Hapa kutakuwa na sababu nyingi sanaa zinazopelekea kuwa na haya matatizo yanayojitokeza kwa Developers wetu nchini.
Kwa ufupi nikapata shida kama chache zinazoleta maafa kwa Developer wengi na Product zao.
1. Kuna Developers kweli wanajua ku code na ukimwambia nataka hiki basi utakipata, kama wapo kama hawa au upo wewe basi jua Shida ya kutambua nini Jamii inataka nini na Business inaendaje mtaani, maana mwisho wa siku product yako hutumii mwenyewe inatumika na jamii. Developer wengi wana code ideas zilizopo kichwan mwao na wanashindwa kujua nje jamii inataka nini thats why ukipush system yako/app kwenye market inakufa faster tuuu.
2. Ubunifu hakuna, Elimu ya Science na Technologia ya Nchi yetu inafundisha vijana ku copy na ku paste. Ku drive sample code katika compiler zao tuu. Meisho wa siku ukimleta katika kazi halisi mizigo hua haitembei. Ukipita mtaani utasikia wengi wanajua Java,php,Python, Jquery na madudu ya ajabu ukiwaweka kwenye meza wanajua ku input data na ku output tuu. Elimu haitufanyi kubase on real issues za kijamii. Kama wewe ni Mwanafunzi jifunze sasa kufanya na kusolve real problems zinazokuzunguka kwa code zako.
3. Serikali na Makampuni binafsi zinashindwa kutoa changamoto zilizopo. Michango yao haipo. Ujanja ujanja ni mwingi. Wenzetu Kenya sasahiv kila kitu unafanya online hata kununua Unga dukani unaweza lipia kwa Mpesa, Sheli zote unalipa kwa mpesa, yani unaweza zunguka siku nzima huna shiring mfukoni ila ukala na kusafiri kwa Kulipia vitu vyote online, Goverment support na Makampuni binafsi yako njema kusupport. Ila ukirudi Tanzania limitation kila kona. Wataalamu wa online intergration mtakuja niambia urahisi wa haya mambo kwetu huku ukoje na kwa nini hakuna hizi mambo.
Wewe kama Mdau wa Technologia hii ya sasa Changamoto gani unaziona? Kwa nini Tuna shindwaaa kwenda na Technology nchini.
Tuachane na MAmbo ya kutengeneza Blog za udaku na app za kuwaibia raia pesa zao.
Tuzungumze nini kifanyike ili jamii inufaike na wewe kama developer uweze kuendelea.
Matusi, Kejeli, Zinaruhusiwa Kuwa huru na mchango wako ndio pona ya mwezako kesho.