Felixtz
Member
- Oct 19, 2015
- 55
- 17
Habari wakuu wa mjengoni, natumai mpo frexh na mishe mishe za kila siku,
Niende moja kwa moja kwenye pont:
Naam, ebana katika dunia ya sasa teknolojia imekuwa ni kipaumbele katika sekta nyingi sana hivyo ni muhimu kwetu sisi pia kuweza kuielewa ishu hii hapa ya teknolojia ili twende sambamba na dunia hii ya leo.
Wapo watu(baadhi) ambao pengine wametamani kujifunza walau maujanja flani flani ila inashindikana kutokana na matatizo mbali mbali kama vile fedha kwani baadhi ya wanaotoa mafunzo hayo wanahitaji malipo hivyo kukwamisha mipango ya watu hao(Wapenda Teknolojia).
Hivyo basi nimeamua kuleta uzi huu maalum siku ya leo kuwafahamisha kwamba mafunzo ya Computer na Web programming yatatolewa bureeeee kabisa kwa watakaopendezwa na kujifunza.
Kuna grupu jipya limeanzishwa la <a href="WEB PROGRAMMING- CLASS">WEB PROGRAMING- CLASS</a> hivyo kwa begginers au unapenda kujiendeleza. Jiunge sasa kupata somo
Shukran
Niende moja kwa moja kwenye pont:
Naam, ebana katika dunia ya sasa teknolojia imekuwa ni kipaumbele katika sekta nyingi sana hivyo ni muhimu kwetu sisi pia kuweza kuielewa ishu hii hapa ya teknolojia ili twende sambamba na dunia hii ya leo.
Wapo watu(baadhi) ambao pengine wametamani kujifunza walau maujanja flani flani ila inashindikana kutokana na matatizo mbali mbali kama vile fedha kwani baadhi ya wanaotoa mafunzo hayo wanahitaji malipo hivyo kukwamisha mipango ya watu hao(Wapenda Teknolojia).
Hivyo basi nimeamua kuleta uzi huu maalum siku ya leo kuwafahamisha kwamba mafunzo ya Computer na Web programming yatatolewa bureeeee kabisa kwa watakaopendezwa na kujifunza.
Kuna grupu jipya limeanzishwa la <a href="WEB PROGRAMMING- CLASS">WEB PROGRAMING- CLASS</a> hivyo kwa begginers au unapenda kujiendeleza. Jiunge sasa kupata somo
Shukran