mkuu asante sana ni somo zuri kwakweli,tunatakiwa tu kuwa serious na uwazi wa matatizo yetu hasa huku jf utakuta mtu analeta uzi ambao hata hauna logic ya ukweli wa tatizo au na mwingine just kuweka jokes kwenye tatizo la mwenzake wakati aliyepost pengine yuko serious na hilo tatizo lake,nadhani...
pole sn dada hapo inabidi umpe moyo mumeo na ikibidi mueleze kwa upole jinsi unavyopata shida lol hajapitia mafunzo ya wazee nn huyo kuwa mke kwanza?!!!!!!!!!!
wadau swala la chakula labda km yupo home atatakiwa kutake care of it ila itakuwa ngumu muda wote awepo coz cku hzi maisha ni kila mtu kutafuta na hayo mengine mpaka ayafanye nani anampa km c huyo mwanaume na tamaa zake???????!!!!!!!!!!!!!!! cha muhimu baba jiheshimu umchukulie huyo binti km...
nadhani hilo laweza kuwa tatizo la kisaikolojia zaidi coz hyo kazi inahitaji maandalizi zaidi ya kiakili na inabidi apate mtu wa kukaa naye wa kumpa romantic words mpaka asahau yaliyopita km yapo then maisha yaendele tena yatakuwa mazuri balaa
mkuu huyo dada ulimpenda au ulimtamani? kwann umdanganye? kwanza una bahati coz ana mpango wa kuendelea na ww ingekuwa mwingine ndo byebye coz km uliweza kumdanganya kitu kidogo hvo je mengine?
pole sn dada ila hapo unatakiwa uangalie km hzo picha na chat zina uhusiano wa kimapenzi na zaidi wa kukupa ukweli ni mumeo na c mwingine,pia inawezekana hao wadada ndo wanam -aproach so kuwa makini na chat nani mwanzilishi na je majibu niaje? dili na mumeo mama muulize unachokosea km kipo...
cjui sna lkn c kuna wale wanaosema kuna kugeuza shuka ulilolalia ili na mwenzio aote the same ishu??!!!!!!!!!!!! ha ha ha ha lol cpati picha!!!!!!!!!!!!!
sure inaboa ila ningemuuliza bidada km huwa anaongea mwenyewe au anamshirikiksha kwenye hayo maongezi? pia sioni km ni busara kuweka ishu km hiyo ya ububu hadharan hvo b4 ht kumuuliza mhusika pengine angebadilika,hiyo ni kuonyesha udhaifu wenu nje tena bidada aangalie huo usije ukatumika...
mkuu inategemea na mtu hali yake iko vp kwa mfano we mwenyewe km c husband material utake wife material wapi na wapi???? tafuta mtu wa type yako mkuu!!!
cjajua km ni mazoea ya aina gani hapo yanayoongelewa jamani but km ni haya ya kawaida kwenye biashara huwezi kuwa km gogo lazima utakuwa na mazoea na watu ila yakibase sn kwenye business, tafuta suluhu ya ndoa yako best kwani % ndogo ya uaminifu ikishuka kwenye mapenzi ni ngumu sn kuipandisha ht...
pole sn mkuu hapo wa kupewa dozi ni huyo mwanamke km vp achape lapa kwa maisha bora yapi ya kutoa 4m as mahari hapa tz?! pima kauli za mkeo pia uckute naye kakugeuza mtaji coz nijuavyo mm mwanamke ana nguvu kwenye maamuzi ya mahari, ye hawazi hao mapacha wake watakula nn anawaza kuwapa kina...
mkuu pole sn kwa janga hilo, ila hapo cha muhimu ni makubaliano yenu from the very beginning kwamba huyo mtoto mumlee kwa masharti yapi? km hamkupanga hayo inabidi ss mpange tena mpe masharti makali huyo baba mtoto,kwanza huyo mtoto ana umri gani mpaka awayumbishe hvo? km kashafikisha umri wa...
nadhani hapo cha kwanza kufanya ni kumshirikisha mkeo kilichotokea ili yatakapojiri ya kujiri awe muelewa,pili mpuuzie huyo wife wa jamaa na jamaa jaribu kuwa naye mbali kidogo au mpe kitu live bila chenga then mind mambo yako km wewe kwani b4 ulikuwa na wakina nani?? but pole sana unajua siri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.