mwekundu
JF-Expert Member
- Mar 4, 2013
- 21,859
- 19,706
Mwanaume akikutongoza ukamwambia Hamtafanya Mapenzi kabla ya Ndoa...Atarudi Home atawazaaa,atakutafutia mchanga wa macho ili ulainike..atajichanga,atanunua Pete la Bati atakusapraiz,na washkaji wachache..
Ulivyo Mwehu ukishavishwa Pete unaota Vipele aka Goosebumps na sentensi za Kizungu cha Tandale,''wooow ,Babe ur so rovely'unalainika unatanua Mapaja...Baada ya Miezi mi3 unaona ka-upload picha ya Mwanamke mwingine kama Whatsap Profile Picture..Halafu anamuweka Instagram anaandika'My Number 1'...Basi home unafuka moshi kwa hasira hadi unatoa Povu kama umekunywa OMO...Na huo ndio mwisho wako.Ataongea kwa Vitendo na mashoga zako wotee wanakucheka na kusambaza habari zako kama Kirikuu
Hao Ndo Wanaume a.k.a Majibwa,ukikosea Principle tu,anabweka mara moja tu kisha anasepa...Baada ya mwezi unaivua Pete yako ya Bati unaiweka home kama Makumbusho ya Taifa halafu unatangaza Wiki 1 ya maombolezo...Ndoa imefia njiapanda ya Morocco na Utupu umeshawekwa alama
PETE SIO NDOA,FUNGA MIGUU YAKO
shukrani za dhati kwa yule ambaye nimecopy kutoka kwake -plagiarism is an academic offence
Ulivyo Mwehu ukishavishwa Pete unaota Vipele aka Goosebumps na sentensi za Kizungu cha Tandale,''wooow ,Babe ur so rovely'unalainika unatanua Mapaja...Baada ya Miezi mi3 unaona ka-upload picha ya Mwanamke mwingine kama Whatsap Profile Picture..Halafu anamuweka Instagram anaandika'My Number 1'...Basi home unafuka moshi kwa hasira hadi unatoa Povu kama umekunywa OMO...Na huo ndio mwisho wako.Ataongea kwa Vitendo na mashoga zako wotee wanakucheka na kusambaza habari zako kama Kirikuu
Hao Ndo Wanaume a.k.a Majibwa,ukikosea Principle tu,anabweka mara moja tu kisha anasepa...Baada ya mwezi unaivua Pete yako ya Bati unaiweka home kama Makumbusho ya Taifa halafu unatangaza Wiki 1 ya maombolezo...Ndoa imefia njiapanda ya Morocco na Utupu umeshawekwa alama
PETE SIO NDOA,FUNGA MIGUU YAKO
shukrani za dhati kwa yule ambaye nimecopy kutoka kwake -plagiarism is an academic offence