Cruel mpole
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 282
- 106
Habari zenu wana JF
Nimekuwa katika mahusiano na msichana mmoja,mrembo kwa takribani miezi mitatu sasa,katika mahusiano yetu,mimi peke ndo niliyekuwa najua makazi ya huyu binti,pasipo yeye kujua wapi ninaishi.Nimekuwa nikimdanganya mambo mengi sana mara tunapokutana nae.Nimekuwa nikijitutumua kama mtu mwenye maisha bora kumbe ni tofauti.
Sasa jana aling'ang'ania kuja kwangu nikajaribu kwa namna moja au nyingine,tufanye iwe siku nyingine apajue kwangu,lakini juhudi zikagonga mwamba,ikabidi nimpeleke kwangu,lakini moyoni najua kwamba naenda kuumbuka kwani yote niliyomwambia si kweli kwamba nimeshajijenga kimaisha,yaani having a complete house asset,frame za biashara n.k.For sure,my house is like a hole,no chairs,no tables no oven,lucking each and everything accomplishes a room.
Sasa jana kafikia kukaa kitandani,sebuleni kuna busati pekee,hakuna kitu kingine,I'm lucking even a buffer to play music and I have no the tv.
For sure my room is boring.You cant stay in it even for five minutes,its like a go-down.Leo asubuhi kaniambia yakwamba,ananipa siku tatu ninunue asset za nyumbani.
La si hivyo ataniacha na nisitegemee yeye kuja kwangu tena.Atakwenda kwa mwanaume anayejielewa ndo akae kwake,mm nitamsikia tu.
Sasa mimi niko njia panda,muda niliopewa ni mdogo,pesa niliyonayo hapa niyakukidhi mahitaji yangu yakila siku,sina bajeti yakununua vyombo na samani za ndani sasa.Nimeomba anivumilie,ndani yamiezi miwili nitakuwa nimefanya kile anachohitaji,lakini kanikazania kununua bidhaa hizi ndani yasiku tatu,kitu ambacho naona hakitawezekana.
Nina achwa jamani,naombeni ushauri bandugu,nisinyang'anywe tonge mdomoni.Kumbuka nampenda sana huyu binti,naye vilevile nahc ananipenda sana,ila kwa vile nilimdanganya sana,kanipa siku tatu tu,niwe nimetekeleza kile anachokitaka na mimi uwezo huo sina kwasasa.NIKAIBE?NIKAKOPE?AMA NIFANYE NINI ILI ASINITOKE.
Nimekuwa katika mahusiano na msichana mmoja,mrembo kwa takribani miezi mitatu sasa,katika mahusiano yetu,mimi peke ndo niliyekuwa najua makazi ya huyu binti,pasipo yeye kujua wapi ninaishi.Nimekuwa nikimdanganya mambo mengi sana mara tunapokutana nae.Nimekuwa nikijitutumua kama mtu mwenye maisha bora kumbe ni tofauti.
Sasa jana aling'ang'ania kuja kwangu nikajaribu kwa namna moja au nyingine,tufanye iwe siku nyingine apajue kwangu,lakini juhudi zikagonga mwamba,ikabidi nimpeleke kwangu,lakini moyoni najua kwamba naenda kuumbuka kwani yote niliyomwambia si kweli kwamba nimeshajijenga kimaisha,yaani having a complete house asset,frame za biashara n.k.For sure,my house is like a hole,no chairs,no tables no oven,lucking each and everything accomplishes a room.
Sasa jana kafikia kukaa kitandani,sebuleni kuna busati pekee,hakuna kitu kingine,I'm lucking even a buffer to play music and I have no the tv.
For sure my room is boring.You cant stay in it even for five minutes,its like a go-down.Leo asubuhi kaniambia yakwamba,ananipa siku tatu ninunue asset za nyumbani.
La si hivyo ataniacha na nisitegemee yeye kuja kwangu tena.Atakwenda kwa mwanaume anayejielewa ndo akae kwake,mm nitamsikia tu.
Sasa mimi niko njia panda,muda niliopewa ni mdogo,pesa niliyonayo hapa niyakukidhi mahitaji yangu yakila siku,sina bajeti yakununua vyombo na samani za ndani sasa.Nimeomba anivumilie,ndani yamiezi miwili nitakuwa nimefanya kile anachohitaji,lakini kanikazania kununua bidhaa hizi ndani yasiku tatu,kitu ambacho naona hakitawezekana.
Nina achwa jamani,naombeni ushauri bandugu,nisinyang'anywe tonge mdomoni.Kumbuka nampenda sana huyu binti,naye vilevile nahc ananipenda sana,ila kwa vile nilimdanganya sana,kanipa siku tatu tu,niwe nimetekeleza kile anachokitaka na mimi uwezo huo sina kwasasa.NIKAIBE?NIKAKOPE?AMA NIFANYE NINI ILI ASINITOKE.