Tunapotembea na sehemu za miili yetu zilizokufa....!

Mkuu mfano wako ni mzuri lakini tunaona ya kwamba jongoo pamoja na tabu yote aliyoipata hakuwa na uwezo wa kuimegua ile sehemu iliyokufa ya mwili wake hadi pale alipopata msaada...

Je kwa madhila yatupatayo sisi, je tuna uwezo wa kuyamegua wenyewe na kuyatupilia mbali ili yasitughasi?

Kweli, binadamu amehusika ktk kuiondoa hiyo sehemu iliyokufa. Na binadamu kwa Jongoo ni mbingu na ardhi, so kwa maneno mengine ili nasi tuondoe sehemu zetu zilizokufa tunahitaji nguvu ambayo ni kubwa zaidi yetu, ambayo ni devine intervention ili tuwe wepesi na huru.

Inawezekana kabisa

Na moja kati ya namna inavyowezekana ni wewe kusoma hii kitu hapa

Kwanza umeona kuwa kuna mizigo-hilo ni jambo la msingi sana kwani kuna wenye mizigo na hawajui ni mizigo
Pili umeona kuwa inawezekana kuachwa- hilo nalo ni jambo la msingi sana kwani kuna wanaojua kuwa wana mizigo lakini hawaamini kama inaweza kuachwa
Tatu ni wewe kutafuta namna ya kuitua-hili linaweza kufanywa kwa namna nyingi tu!

Huko kuona kwenyewe kwamba umebeba mzigo kunahitaji intervetion kama Kaunga alivyosema, achilia mbali kujitua/kuukata huo mzigo.

Mfano rahisi ni kama vile mtu akiachana na mpenzi wake anaweza kusahau hayo machungu kama atapata mpenzi mwingine, tunaona pia jinsi mtu akifiwa na mtoto wa pekee hali inavyokuwa ngumu kusahau, lakini akiweza kupata mtoto mwingine ni rahisi kusahau, kwa maana nyingine mpenzi mpya (mfano wa kwanza) au mtoto mpya (mfano wa pili) wametumika kusaidia kuitua ile mizigo kama ilivyo kwa yule mtoto aliyemsaidia jongoo.

Sisi wenyewe hatuwezi.
 
Last edited by a moderator:
Huko kuona kwenyewe kwamba umebeba mzigo kunahitaji intervetion kama Kaunga alivyosema, achilia mbali kujitua/kuukata huo mzigo.

Mfano rahisi ni kama vile mtu akiachana na mpenzi wake anaweza kusahau hayo machungu kama atapata mpenzi mwingine, tunaona pia jinsi mtu akifiwa na mtoto wa pekee hali inavyokuwa ngumu kusahau, lakini akiweza kupata mtoto mwingine ni rahisi kusahau, kwa maana nyingine mpenzi mpya (mfano wa kwanza) au mtoto mpya (mfano wa pili) wametumika kusaidia kuitua ile mizigo kama ilivyo kwa yule mtoto aliyemsaidia jongoo.

Sisi wenyewe hatuwezi.

Naomba ujue kuwa hakuna kitu kigumu au kirahisi maishani ila ugumu n urahisi tunautoa sisi

Yaani unaweza kuona ng'ombe kagongwa na gari na ukatokwa na machozi
Lakini mtu mwingine akaona na akaenda kukata kipande cha nyama na kwenda kukila

Ndivyo ilivyo!
 
mkuu asante sana ni somo zuri kwakweli,tunatakiwa tu kuwa serious na uwazi wa matatizo yetu hasa huku jf utakuta mtu analeta uzi ambao hata hauna logic ya ukweli wa tatizo au na mwingine just kuweka jokes kwenye tatizo la mwenzake wakati aliyepost pengine yuko serious na hilo tatizo lake,nadhani tubadilike ili kuweza kusaidiana kuondoa hizo sehemu za miili yetu zilizokufa.
 
Huko kuona kwenyewe kwamba umebeba mzigo kunahitaji intervetion kama Kaunga alivyosema, achilia mbali kujitua/kuukata huo mzigo.

Mfano rahisi ni kama vile mtu akiachana na mpenzi wake anaweza kusahau hayo machungu kama atapata mpenzi mwingine, tunaona pia jinsi mtu akifiwa na mtoto wa pekee hali inavyokuwa ngumu kusahau, lakini akiweza kupata mtoto mwingine ni rahisi kusahau, kwa maana nyingine mpenzi mpya (mfano wa kwanza) au mtoto mpya (mfano wa pili) wametumika kusaidia kuitua ile mizigo kama ilivyo kwa yule mtoto aliyemsaidia jongoo.

Sisi wenyewe hatuwezi.

Mkuu Kanigini, sikupanga kujibu hoja za wasomaji kwa sababu Kaunga na Eiyer pamoja na wadau wengine wamejitahidi sana kufafanua mada yangu vizuri sana.

Kwa kifupi Eiyer ameeleza tu kwamba jambo la muhimu ni kujua kwamba unatembea na mizigo, jambo la pili ni ile dhamira ya kutaka kuitua hiyo mizigo au huo mzigo.

Kwa upande mwingine naye Kaunga kazungumzia kuhusu kulijua tatizo, lakini namna ya kuliondoa tatizo ndiyo mtihani, lakini pia akaeleza kuhusu kutumia imani ya kiroho katika kupata msaada, hii nayo ni njia muhimu katika kupata suluhu ya matatizo yetu sisi wanaadamu.

Lakini pia ikumbukwe kwamba kile kitendo cha kujua tatizo na ile dhamira ya kutaka kupata suluhu tayari tutakuwa tumepanda mbegu katika mawazo yetu ya kina (Unconscious mind) na kazi kubwa ya mawazo ya kina au wengine huita akili ya kina ni kutafuta suluhu ya matatizo yetu pale tu tutakapokuwa tunajiuliza maswali yenye kujirudi rudia, na suluhu hiyo inaweza kupatikana kwa kutengenezewa connection zitakazotuwezesha kutua huo mzigo au hiyo mizigo.
 
Last edited by a moderator:
Na aliykuficha alikuweza
Maana najua ulikua umenunaje?

Kila siku unataka uingie JF tu

Lakini ujue tunachakachua uzi wa kaka yako
Sio vizuri bana!

Ambiere Mtambuzi tehena chekela avae!!
 
Last edited by a moderator:
Na aliykuficha alikuweza
Maana najua ulikua umenunaje?

Kila siku unataka uingie JF tu

Lakini ujue tunachakachua uzi wa kaka yako
Sio vizuri bana!
Eiyer, dada yako Ennie amerudi kushangaa ugunduzi wa mtoto aliyekata sehemu ya jongoo iliyokufa.....
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Kanigini, sikupanga kujibu hoja za wasomaji kwa sababu Kaunga na Eiyer pamoja na wadau wengine wamejitahidi sana kufafanua mada yangu vizuri sana.

Kwa kifupi Eiyer ameeleza tu kwamba jambo la muhimu ni kujua kwamba unatembea na mizigo, jambo la pili ni ile dhamira ya kutaka kuitua hiyo mizigo au huo mzigo.

Kwa upande mwingine naye Kaunga kazungumzia kuhusu kulijua tatizo, lakini namna ya kuliondoa tatizo ndiyo mtihani, lakini pia akaeleza kuhusu kutumia imani ya kiroho katika kupata msaada, hii nayo ni njia muhimu katika kupata suluhu ya matatizo yetu sisi wanaadamu.

Lakini pia ikumbukwe kwamba kile kitendo cha kujua tatizo na ile dhamira ya kutaka kupata suluhu tayari tutakuwa tumepanda mbegu katika mawazo yetu ya kina (Unconscious mind) na kazi kubwa ya mawazo ya kina au wengine huita akili ya kina ni kutafuta suluhu ya matatizo yetu pale tu tutakapokuwa tunajiuliza maswali yenye kujirudi rudia, na suluhu hiyo inaweza kupatikana kwa kutengenezewa connection zitakazotuwezesha kutua huo mzigo au hiyo mizigo.

Swala gumu ni kwamba mbebaji hatakaa ajue kwamba huu ni mzigo mpaka atokee mtu wa kusema huu ni mzigo, hapo mbebaji ndipo anapoanza kutafakari na kujua jinsi ya kuutua.

Mara nyingi mzigo ambao mbebaji anautambua yeye mwenyewe huwa sio mzigo mgumu kuutua. Kuna ile mizigo ambayo hatuijui kama ni mizigo na ndiyo hiyo inahitaji intervention.
 
Mkuu mfano wako ni mzuri lakini tunaona ya kwamba jongoo pamoja na tabu yote aliyoipata hakuwa na uwezo wa kuimegua ile sehemu iliyokufa ya mwili wake hadi pale alipopata msaada...

Je kwa madhila yatupatayo sisi, je tuna uwezo wa kuyamegua wenyewe na kuyatupilia mbali ili yasitughasi?

Mi nadhani mwenye uwezo wa kutusaidia kujinasua katika haya ni Mungu pekee.
 
katika kila kitu kinachotokea kwa mwanadamu there is the secret(conceal) behind it .Cha muhimu ni kumwambia Mungu akufunulie kila lililo sirini liwekwe bayana.Maana katika hilo atakufariji na kukupa mbadala wa kila penye gap .Atakuwezesha kusamehe na kusahau pale unapohisi hauwezi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom