Alichonifanyia mdogo wangu naumia

Uko sosho sana Mankaa...
Jamaa hapendi.....
Jaribu kupunguza ukaribu saaana na hao "wateja" wenu, acha wateja wabaki kuwa wateja na si marafiki.

Lazima kuwe na mipaka katika mahusiano yako na wateja wenu.
 
Last edited by a moderator:
siwez kuongea na huyo mdogo wang kabisa kabisa
Tatizo halitaisha na litaimarika. Believe me or not.Unajua kuwa watanzania huamini kuwa hasira nyingi hutokana na ukweli wa habari iliyokuhusu? Ingawa si kweli,hiyo ndiyo imani tuliyonayo.Ndiyo itumikayo na kuendelea kutumika na mme wako

Mzee Tupatupa
 
Ni wa kike wapendwa

Kwenye Uzi inaonyesha kama mwanaume vile..,

''ni miezi minne imepita toka nimchukuwe mdogo wangu (mtoto wa baba mdogo) kijijini baada ya yeye kufeli form four na kuzalisha mtoto nikaona nimchukue nije nae mjini kwenye biashara yetu angalau apate pesa za maziwa ya mtoto''

Ok., tuachane na hilo itakuwa ni error tu.
Ushauri wangu nakuomba uwaeleze nyumbani ili wamfunde huyo ndungu,
Pili, kama Shemeji atakuwa bado na kinyongo na wewe jaribu kufanya kikao kidogo umukutanishe na hao anaowahisi bila yeye kujua wala hao majamaa kujua unachotaka kuongelea then wakishatimia weka mambo hadharani naamini baada ya hapo mambo yatakuwa safi.
Siku nyingine kabla hujamkalibisha ndungu yako nyumbani kwako jaribu kufikiria upande wa pili wa shiling.
 
dawa ya huyo mdogo wako ni kumrusha roho hadi imtokee dirishani. mpigie simu kila mara umpe progress yenu. Muambie shem wako anakusalimia jana tumecheka sana tulikuwa tunaangalia movie tukakukumbuka. then muambie mie na shem wako tunaenda shamba this wknd, na kesho atakuja kunisaidia kwenye biashara nna shida moja. :A S 103: usimuulize lolote kuhusu maneno ya udaku aliyokusemea. ila akitaka kuja kwako urudi hapo tukufundishe jinsi ya kumtoa nishai. nimesahau, jumapili mkitoka church na shemeji mpigie ndugu yako msalimie, afu muambie shemeji yako huyu hapa msalimie, mshikishe simu shaaaaa.
kwa upande wa mumeo, muweke wazi. prove ur innocence kwa kuwa open zaidi na kumshirikisha kwenye maamuzi ya biashara. biblia inasema yeye ajidhaniaye kuwa amesimama, na aangalie asije anguka. jifunze kutovuka mipaka na wateja.
 
Big tick.

Yamenikuta sana na kuwa na roho ndogo.... Baadhi ya ndugu tena sio wa kuzaliwa nao wamakua wakija mjini wanashukia kwangu lakini najuuta.... Maneno ya kijinga kijinga..... kupeleka habari za kimbea mbea tena zisizo na ukweli afu ni wanaume hao..... hivi vijana wa kileo tunaelekea wapi lakini??

Kweli wanadamu wengi hawana shukrani hata kidogo...... Napatwa na Hasira lakini kesho kutwa akiniomba mwingine namuonea huruma tena namkaribisha ..... Hivi hakuna dawa ya kunywa ata kujipaka kuongeza roho mbaya kidogo? Huruma inanitesa I have to admit.

pole kwa ulio pitia!

Ila ukitaka kumsaidia ndugu usimkaribishe kwako!
Naongea out of experience!
Ungemuuliza anataka kufanya nn na umpe kamtaji kidogo aanzi hapo!
zaid ya yote ni Dume!!!

mwambie hutaki arudi kwako ila mumeo sasa atahisi ulio kuwa wafanya ni kweli!!!!
Msaidie huko huko aliko!
Ndugu kazi saaanaaa!
 
Akirudi kaa kikao na mumeo na yeye then umuulize kwa utaratibu kama alishawahi ona dalili yoyote ya kimapenzi kati yako na hao wateja then akikiri kuwa hajawahi ona, tayari atakuwa ameshagundua kosa lake at the same time atakuwa anakuomba msamaha. Wewe mwambie nimekusamehe alafu umuondoe hapo nyumbani. Ufanye hivyo ili urudishe imani kwa mumeo maana ukisema umwambie huku huko alipo kuwa asirudi, mumeo atajua kuwa yaliyosemwa yanaukweli. Yangu hayo dada angu.
 
cjajua km ni mazoea ya aina gani hapo yanayoongelewa jamani but km ni haya ya kawaida kwenye biashara huwezi kuwa km gogo lazima utakuwa na mazoea na watu ila yakibase sn kwenye business, tafuta suluhu ya ndoa yako best kwani % ndogo ya uaminifu ikishuka kwenye mapenzi ni ngumu sn kuipandisha ht u2mie whinch so kukaa kimya c jibu ht kidogo!! we uclinde sn kumharibia huyo mdogo wako bali linda ndoa yako zaidi,mumeo pia nadhan ana hiden agenda na huyo dogo kwann ackwambie cku zote hzo aje akuambie wakati dogo hayupo??!!

Tatizo nini si kasema kweli. Acha kupokea vizawadi unajirahisisha. Jirekebishe tatizo si wewe?
 
Jinsi ya kumjulisha unafikiria? You are so weak.

Mtu anakuharibia ndoa yako afu unatafuta njia gani ya kumjulisha zaidi ya kumchana makavu live? Tena unamwambia kabisa kwangu hurudi sababu hiyo.

Tena kama ni binti namsukumia na jumba kuwa kaliwa na mme.

Ila kweli kama ni binti? Kuna kitu na mmeo hapo, wamekuzunguka, stuka!

huyo msichana kurudi kwangu haipo nae anafahamu lakin nachofikiria ni jinsi ya yeye kujua how i feel kwa kitendo alichofanya
 
Kumbe una moyo aisee, paw kama mchungaji nini?

Mie ningemchana live live, kisa cha kunifukuzisha kwa zombie? Ukute mie hapo moyoni sili silali ila ni ukichaa wangu tu

dawa ya huyo mdogo wako ni kumrusha roho hadi imtokee dirishani. mpigie simu kila mara umpe progress yenu. Muambie shem wako anakusalimia jana tumecheka sana tulikuwa tunaangalia movie tukakukumbuka. then muambie mie na shem wako tunaenda shamba this wknd, na kesho atakuja kunisaidia kwenye biashara nna shida moja. :A S 103: usimuulize lolote kuhusu maneno ya udaku aliyokusemea. ila akitaka kuja kwako urudi hapo tukufundishe jinsi ya kumtoa nishai. nimesahau, jumapili mkitoka church na shemeji mpigie ndugu yako msalimie, afu muambie shemeji yako huyu hapa msalimie, mshikishe simu shaaaaa.
kwa upande wa mumeo, muweke wazi. prove ur innocence kwa kuwa open zaidi na kumshirikisha kwenye maamuzi ya biashara. biblia inasema yeye ajidhaniaye kuwa amesimama, na aangalie asije anguka. jifunze kutovuka mipaka na wateja.
 
mumeo arudipo home mvalie khanga iloweshe na maji iwe chepe chepe, akishindwa kuwika mara 3 kwa tukio moja mwambie una matatizo gani, mbona enz zile ulikuwa fit? atakuwa mpole, penyeza mada

Mdogo wako atakuwa na Jambo zito moyoni (kuwa mtulivu ipo siku utalitambua)
 
Hapo nakataa kabisa hajakuwa karibu nae kiivyo nina uhakika asilimia 100

Mankaa binadamu ni kiumbe hatari kuliko viumbe wote duniani usimwamini mtu kwa 100% hata kama ni mama aliye kuzaa, hata kama bado hawajafanya lolote dhamira ya mdogo waku si njema kwenye ndoa yako ful stop
 
Hii meseji aliyonitumia sasa hivi sijamuuliza chochote
( Dada naomba nisamehe najua nimekuhudhi kwa namna moja ama nyingine xo sina budi kukuomba radhi kwan mm x mkamilifu nisamehe yote yaliyo tokea na tusiwekeane kinyongo kwan haya ni maisha tu
 
Mtumie msg muulize.umenikosea nini? Mtie wazimu ili usirudishe ukaribu. Hakawii kukuletea mumeo akubambe ukichekeleshwa na mteja uje achika bureee hehehe
Hii meseji aliyonitumia sasa hivi sijamuuliza chochote
( Dada naomba nisamehe najua nimekuhudhi kwa namna moja ama nyingine xo sina budi kukuomba radhi kwan mm x mkamilifu nisamehe yote yaliyo tokea na tusiwekeane kinyongo kwan haya ni maisha tu
 
shem anakamua huyo dogo wko akipewa raha anaropoka kupita maelezo! pole sana cha kufanya unatakiwa umdelete dogo wko kwani ndoa yko iko hatarini kusambaratika.
 
Ukitaka ndoa idumu ishi wewe na mumeo,watu wengine wakihusika lazima kutakuwa na chokochoko!
Nitaanza na kukupa lawama si tabia nzuri kuzoeana na wanaume wengine angali we ni mke wa mtu kwamaana hio wewe hapo umekosea,inawezekana aloyasema mdogo wako si yote yana ukweli ndani yake,lkn jishushe kwa mumeo na ukiri makosa yako na huyo mdogo wako mnafiki alitakiwa akupe taarifa hizo wewe na si azunguke nyuma ya mgongo wako kwa maana hio hapo kuna njama inachezwa!
Sikushauri uendelee kuishi na huyo mdogo wako maana keshaleta hitilafu,wanaadamu ni viumbe dhaifu sana hatuaminiki,na usifikirie kwasababu ni nduguyo atapenda maendeleo yako!Watu wengine hawafurahii kuona wengine wameendelea na wao wapo chini!THEY WILL WANT TO TAKE YOU DOWN WITH THEM OR TAKE OVER YOUR SPOT!!
Well said,

Kikulacho......'
 
Anza na mumeo, alipata lini muda wa kukaa na kuzungumza nae????

Kuhusu mdogo wako ndo ujifunze sasa, unadhani kwa nini siku hizi unamsaidia mtu kule aliko? Kuepuka chokochoko kama hizo. Madhali umemjua tabia mwambie kwako asirudi tena, na dukani uajiri mtu
 
shost na wewe kua mkali kwa huyo mumeo
niukaribu upi alikua nao na mdogo wako mpaka wafikie
kukudiscus na akafikia kumuamini huyo mdogo wako?
nahisi mapinduzi hapo!!dili na mumeo,mdogo wako mpotezee
ila mwambie akukome na kwako asithubutu kuja kama waipenda ndoa yako!!
 
Naamin hamjambo na mnaendelea vzr na kutusaidia ushaur sisi wenye matatz ya hapa na pale.

ni miezi minne imepita toka nimchukuwe mdogo wangu (mtoto wa baba mdogo) kijijini baada ya yeye kufeli form four na kuzalisha mtoto nikaona nimchukue nije nae mjini kwenye biashara yetu angalau apate pesa za maziwa ya mtoto

basi tumeishi vizuri siku zote na juz ndiyo akaniaga anataka arudi nyumbani akamuone mwanae,nikamwambia hakuna tatizo jiandae nkamwandalia pesa za safari vzr bas akaondoka jana.
baada ya kuondoka mume wangu akaniweka kwa mazungumzo nanukuu( mdogo wako kanieleza mambo ya kusikitisha umekuwa na mazoea mabaya na wanaume pale kwenye biashara wengne wanakuja kila siku,wengne wanaenda china wanakuletea zawadi unanidhalilidha,umekuwa malaya kwa kuzoeana na wanaume lukuki pale kazini na maneno meng sana)

Ukweli n kuwa hayo aliyoeleza mengne ni kweli nimezoeana na hao watu ni wateja wetu wazuri lakn hakuna cha zaidi hata huyu mdogo wangu anaelewa ukweli kwani muda wote nipo nae kazini.
nimemweleza mama yangu hajaamini kashangaa sana yani.
nafikiria najiuliza au huyu mdogo wangu alitumwa na mama yake kuja kuniharibia ndoa au ni kipi nilichomkosea au kosa langu kumsaidia had sasa amekuwa nae mtu anaonekana?au. ni kipi bado sielewi

mpaka sasa mume wangu ana kinyongo,
Huyo mdogo wangu cjamuuliza kitu chochote
nafikiria nimwambie neno gani ajue jinsi amenikosea au ninyamaze?

nishaurini wapendwa nifanye nini?

hayo mambo ya kusaididaga watu mi ndo nshaachaga siku hizi, unamfanyia mtu wema yeye anakulipia ubaya..
mimi nilishawahi kumsomesha housegirl, nikampeleka kutembea nchi mabli mbali, nikamfundisha gari, nikamsaidia kununua plot, mwisho wa siku kazaa na mume wangu, unafikir nina hamu ya kuasidia watu tena?
yani hata uwe na shida hadi masikioni mi wala, nahisi nimekuwa na roho mbaya kuliko shetani
 
Back
Top Bottom