WhatsApp Messenger chat Itanivunjia ndoa yangu..

pole sn dada ila hapo unatakiwa uangalie km hzo picha na chat zina uhusiano wa kimapenzi na zaidi wa kukupa ukweli ni mumeo na c mwingine,pia inawezekana hao wadada ndo wanam -aproach so kuwa makini na chat nani mwanzilishi na je majibu niaje? dili na mumeo mama muulize unachokosea km kipo ujirekebishe ila Mungu akusaidie.
 
Unajua chukulia whatsapp kama maofisi. Katika maofisi mengi kuna utani sana baina ya waume/wake za watu. Mke wa mtu kushikwa makalio etc ni mambo ya kawaida. Inaondoa stress za hapa na pale, ila baada ya kazi heshima inarudi pale pale. Kwa dunia ya leo, ukiweka msuli sana utapata ugonjwa wa moyo bure. Na hii yote ni maendeleo.
 
Ladies and Gents habari za siku nyingi ..


Nimekuwa na mme wangu kwa miaka minne sasa na tumebahatika kupata mtoto ana 2 years old girl

Jmos moja mme wangu alinipa simu yake kuongea na mama mkwe baada ya kumaliza kuongea nikawa najifunza kutumia smart phone ya husb tukiwa kwenye sherehe nilishawishika kuingia kwenye picha na whatsApp pia....

Huko nikaanza kuingia kila sehemu....

Mme wangu alikuwa anachat na wakina dada tofauti tofauti mambo ya mapenzi na kuombana kutumiana picha ...na mengineyo sipendi kusema
Pia nilikuta kwenye Picture profile mme wangu ana picha zaidi ya sita za kina dada .....

Wenu Egyps
*********
Picha na meseji za mapenzi haimaanishi wanazini ingawa kinyume chake yawezekana pia. Usihofu meseji unazozikuta ila ogopa mwanaume ambaye cm yake haina meseji!!! Meseji na picha za wapenzi huwa haziachwi kwenye cm! La mwisho ukiwa mchunguzi wa meseji za mume wako utakuwa misled na ndoa itavunjika.
 
Wewe kipi kinakufanya uchunguze simu ya mumeo?ukimchunguza sana kuku huwezi kumla.
 
Ladies and Gents habari za siku nyingi ..

Nilikuwa busy na kitabu pia family ndio maana nimekuwa Kimya Kidogo
Leo nina tatizo naomba ushauri na msaada kimawazo..

Nimekuwa na mme wangu kwa miaka minne sasa na tumebahatika kupata mtoto ana 2 years old girl

Jmos moja mme wangu alinipa simu yake kuongea na mama mkwe baada ya kumaliza kuongea nikawa najifunza kutumia smart phone ya husb tukiwa kwenye sherehe nilishawishika kuingia kwenye picha na whatsApp pia

Huko nikaanza kuingia kila sehemu..Ile nafika WhatsApp walahi niliumia oho sana

Mme wangu alikuwa anachat na wakina dada tofauti tofauti mambo ya mapenzi na kuombana kutumiana picha ...na mengineyo sipendi kusema
Pia nilikuta kwenye Picture profile mme wangu ana picha zaidi ya sita za kina dada waliomtumia kwenye WhatsApp

Nilimuuliza mme wangu hakunipa maneno ya kueleweka ,na mimeshajua mwenzangu ananicheat wakati mie nimejituliza nyumbani nalea mwanangu wa miaka miwili.

Lakini Bado nimesikia sasa ni kilio cha wanandoa wengi na mahusiano yanavunjika kwa sababu ya hizi wasapu..

Wapenzi niambieni nifanyeje roho inaniuma sana!naichukia ndoa kama ndo kuna usaliti wa hivi

Wenu Egyps
*********

Hii ni kwa wadada wote. Mkitaka mwanaume asiye ruka fensi ndani ya ndoa/mahusiano, tafuta mwenye uchumi mbovu na mwenye afya mbovu, mwanaume yoyote mwenye uchumi mzuri na afya njema kuruka fensi ni lazima.
 
I once was an active member of BBM, WhatsApp and FB. Hii mitandao inatengeneza mazingira flani ambayo si mazuri kutoka kizazi hiki cha sasa hasa mabinti (sorry if I have offended you), wanajilengesha sana mpaka basi!! I have decided to be an inactive member for a while replacing them with JF. In short nitarudi kwenye mitandao hiyo pindi nitakapokuwa na business project(s) ili kuitumia kuadvertise, otherwise.......!!

Inamaana wanakuchokozaga adi umewakimbia...au imekuaje?
 
pale pale ungetakiwa uwablock bila ya yeye kujua kwanza alafu mengine yafuate .... pia mweleze kwamba si mpango kucheat mabo ya zamani hayo na ya kijinga jinga sana
 
Ah wajameni hebu tuweni serious bwana... mdau hapo juu unasemaje? Kuwa maofisini mke wa mtu kushikwa makalio ni kitu cha kawaida? Kweli???
 
Ah wajameni hebu tuweni serious bwana... mdau hapo juu unasemaje? Kuwa maofisini mke wa mtu kushikwa makalio ni kitu cha kawaida? Kweli???

Mdau kwani hulijui hili? Hujawahi kuliona katika maofisi? Matani kati ya waume/wake za watu yapo sana. Mwingine akija kapendeza usipompa compliments anakununia. Ni shurti kushika ---- na mbwembwe zingine.
 
Ladies and Gents habari za siku nyingi ..

Nilikuwa busy na kitabu pia family ndio maana nimekuwa Kimya Kidogo
Leo nina tatizo naomba ushauri na msaada kimawazo..

Nimekuwa na mme wangu kwa miaka minne sasa na tumebahatika kupata mtoto ana 2 years old girl

Jmos moja mme wangu alinipa simu yake kuongea na mama mkwe baada ya kumaliza kuongea nikawa najifunza kutumia smart phone ya husb tukiwa kwenye sherehe nilishawishika kuingia kwenye picha na whatsApp pia

Huko nikaanza kuingia kila sehemu..Ile nafika WhatsApp walahi niliumia oho sana

Mme wangu alikuwa anachat na wakina dada tofauti tofauti mambo ya mapenzi na kuombana kutumiana picha ...na mengineyo sipendi kusema
Pia nilikuta kwenye Picture profile mme wangu ana picha zaidi ya sita za kina dada waliomtumia kwenye WhatsApp

Nilimuuliza mme wangu hakunipa maneno ya kueleweka ,na mimeshajua mwenzangu ananicheat wakati mie nimejituliza nyumbani nalea mwanangu wa miaka miwili.

Lakini Bado nimesikia sasa ni kilio cha wanandoa wengi na mahusiano yanavunjika kwa sababu ya hizi wasapu..

Wapenzi niambieni nifanyeje roho inaniuma sana!naichukia ndoa kama ndo kuna usaliti wa hivi

Wenu Egyps
*********

Mama zenu zamani walikuwa hawawachunguzi sana baba zenu kama mfanyavyo wanawake wa kileo, ndo maana ndoa zao zimedumu miaka mingi wamevumilia mengi akina baba na kina mama. Mjifunze hilo.
 
Mdau kwani hulijui hili? Hujawahi kuliona katika maofisi? Matani kati ya waume/wake za watu yapo sana. Mwingine akija kapendeza usipompa compliments anakununia. Ni shurti kushika ---- na mbwembwe zingine.
Sawa Commanche inawezekana yapo (na nimeshayasikia sana) but nani anayahalalisha iwe kawaida kwa mke wa mtu kushikwa makalio? Kuna mipaka ya matani wajameni au ndo mambo ya kuchapiwa ni siri ya ndani?
 
Last edited by a moderator:
Mamito za siku nyingi ni heri sana nashukuru mungu na pia asante kwa ushauri mpendwa wangu vip za kwako Dear
Kilichonishitua kwenye wasapu hii ni pale mdada alipokuwa anamuuliza utakuja lini pande hii na yeye kumjibu sasa niko kwa Family ila tutaonana tu hapo kweli si kuwa muzee anachit?
Ndugu, mtu asikuambie kitu ukiruhusu utani kweny ishu kama hizi utavuna mabua.. jamaa yako kiuhalisia ni kua nakamata vitu hivyo anajipigia..! sasa akili ni ya kwako hapo! umeshajua nini ufanye.. Mtu mwenye ndoa lazima uwe na mipaka kwenye mambo ya kuchati na ujiheshimu
 
Mama zenu zamani walikuwa hawawachunguzi sana baba zenu kama mfanyavyo wanawake wa kileo, ndo maana ndoa zao zimedumu miaka mingi wamevumilia mengi akina baba na kina mama. Mjifunze hilo.

Hahahaha @Fidel80 sasa wangechunguza nini ilhali wababa zetu walikuwa na adabu ya kuficha siri? Na pia vitendea (dhambi) havikuwepo ungechunguza nini, barua? Siku hizi kuna temptations kibao usiposhika simu yake, utazama kwenye email, ukishindwa huko utasoma meter za gari !
 
Mumeo ndiye mwenye matumizi mabaya na hiyo watsup..tatizo ni yeye na ni vyema ukazungumza naye ajue hujafurahishwa na kitendo hicho
 
Ladies and Gents habari za siku nyingi ..

Nilikuwa busy na kitabu pia family ndio maana nimekuwa Kimya Kidogo
Leo nina tatizo naomba ushauri na msaada kimawazo..

Nimekuwa na mme wangu kwa miaka minne sasa na tumebahatika kupata mtoto ana 2 years old girl

Jmos moja mme wangu alinipa simu yake kuongea na mama mkwe baada ya kumaliza kuongea nikawa najifunza kutumia smart phone ya husb tukiwa kwenye sherehe nilishawishika kuingia kwenye picha na whatsApp pia

Huko nikaanza kuingia kila sehemu..Ile nafika WhatsApp walahi niliumia oho sana

Mme wangu alikuwa anachat na wakina dada tofauti tofauti mambo ya mapenzi na kuombana kutumiana picha ...na mengineyo sipendi kusema
Pia nilikuta kwenye Picture profile mme wangu ana picha zaidi ya sita za kina dada waliomtumia kwenye WhatsApp

Nilimuuliza mme wangu hakunipa maneno ya kueleweka ,na mimeshajua mwenzangu ananicheat wakati mie nimejituliza nyumbani nalea mwanangu wa miaka miwili.

Lakini Bado nimesikia sasa ni kilio cha wanandoa wengi na mahusiano yanavunjika kwa sababu ya hizi wasapu..

Wapenzi niambieni nifanyeje roho inaniuma sana!naichukia ndoa kama ndo kuna usaliti wa hivi

Wenu Egyps
*********

ni PM namba yako ya simu au email kwa ushauri murua.
 
Sawa Commanche inawezekana yapo (na nimeshayasikia sana) but nani anayahalalisha iwe kawaida kwa mke wa mtu kushikwa makalio? Kuna mipaka ya matani wajameni au ndo mambo ya kuchapiwa ni siri ya ndani?

Kamanda siku zote katika masuala ya mapenzi mwanamke ndio kashika mpini. Kama mke wa ntu haleti matani, sio rahisi kwa mwanaume kumchezea. Ninaamini suala la mwanamke kuchapwa ni la hiari (ukiondoa kubakwa). Kama ameamua kuchat na wanaume zaidi ya mumewe kwenye whatsapp ujue kapenda na wala hajalazimishwa. Na vile vile kama anajilengesha kwa wanaume maofisini wamshike makalio pia amefanya kwa ridhaa yake.
 
Back
Top Bottom