imeshuka kwa wale wenye mshahara Below 7k, ukiwa above ya hapo maumivu kaka. nenda kwenye TRA website kwenye paye calculator type your salary then compare na uliyo katwa mwezi ulio pita kama ziko sawa. if and only your salary is above 7k
HESHIMA YENU WANA JAMVI!
leo nilikua na pitia kwenye tovuti ya TRA nikagundua kua PAYE imeongezeka kwa wale wenye mishahara kuanzia laki saba na kuendelea.
my take on this, increase your negotiation capabilities and alway stick on net pay
hiyo yote ni kumwekea kizuizi zito asigombee uenyekiti.lakini wamefeli kujipanga.hakuna mtu asiyejua mchango wa zito kwa cdm.zito ss tuko pamoja nawe na tunajuwa ww ni makini sana na umekomaa kisiasa.big up!
kuna kitu hapa sielewi sheikh kamwagiwa tindikali mara padre huko zanzibar kandayaziwa nako sheikh kamwagiwa tindikali hivi hapa uislam unaingiaje kwa wale mnao husisha uislam .....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.