Upinzani wenyewe umekaa kuisaliti nchi. Kiongozi mzalendo huwezi kuomba nchi ifungiwe misaada. Endeleeni kujipambanua rangi zenu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanamke ameumbwa kutokuridhika. Mwenyezi Mungu amempa nyusi yeye anazinyoa zote halafu anapaka rangi nyeusi. Mwenyezi Mungu amempa nywele yeye hazitaki anavaa mawigi. Haitaki rangi yake anaenda kujichubua. Kama wewe mwenyewe hujaridhika na alichokupa Mungu, hata cha mumeo huwezi kuridhika!
Enzi za ukoloni kulikuwepo na wanafiki na wasaliti waliokuwa wakiwapigia magoti wakoloni na kusaidia kuwanyanyasa watu weusi. Watu hao waliitwa vibaraka wa wakoloni. Ni lazima niseme wewe ni mmoja wa wanafiki na vibaraka wa watu weupe. Nakushauri uhame hii nchi uende kwa mabwana zako...
Una mawazo mazuri lakini waziri hawezi kuifanya timu ya taifa ikapata uwakilishi kwenye mashindano hayo. Serikali imetengeneza mazingira ya viwanja. Usimamizi wa timu na wachezaji sio wa serikali bali ni wadau wa michezo. Kwa hiyo Serikali imetekeleza majukumu yake kilichobaki ni viongozi wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.