Ni haki yake kikatiba kama Raisi Wa Nchi kulindwa, kama wengine hawakutaka its there choice , ila naamini ile ishu ya makirikia tu ilikua inamuweka katika wakati mgumu sana kiulinzi kwani tunajua hizi taasisi Kubwa za kibiashara zikishindwaga mezani huwa zinajaribu any means take a vivid example...
Aisee well said Gezaulole , these Guys wanalaumu kuhusu hayo maamuzi ya huyu Dada kumbe hata wao wana similar law regarding foreigner experts , aisee basi nadhani wana hidden agenda and that's is doing something with our economy and gezaulole you have open the whole truth., viva tan ania viva...
Aisee well said Gezaulole , these Guys wanalaumu kuhusu hayo maamuzi ya huyu Dada kumbe hata wao wana similar law regarding foreigner experts , aisee basi nadhani wana hidden agenda and that's is doing something with our economy and gezaulole you have open the whole truth., viva tan ania viva...
Afu ww nairobiwalker acha ushamba basi , unaspend mda wako kulinganisha vitu ambavyo havitokusaidia chochote, nenda kafanye kazi huko , kama huna kazi kalale pmbafu.
Sawa kipanga point yangu hapo ni tu kwamba ulisema " Wa tz wote ni wavivu na wezi" kitu ambacho so kweli hata kidogo , yes foreigners wapo kila inchi even Kenya , same to Tanzanians wapo pia nje, kama mtz aliweza kupewa nafasi ya juu UN that's means tunaweza . kaka peace Mzee umeeleweka na I...
Sasa mbona unatuita Wa tz wote wezi na wavivu , sema basi some of them!! kuna watu kama bahresa , mo dewji n.k uwezi ukasema kama ni wezi au wavivu how they manage to be there? Afu mbwiga ni jina la ukoo watu Wa morogoro huko acha ushamba jibu hoja so unageneralize mambo .
Usi generalize mambo ndugu yangu , wezi na wavivu wapo pande zote Kenya na tz , usituganye Wa tz kwamba hii inchi imejengwa na foreigners(tz) narudia tena wakenya hakuna haja ya kulalamika sana mbona ni ishu ya kawaida sana take into consideration ndugu zetu wakenya mpo wengi tu huku tz kwann...
You idiot nakumatt is no more in tz almost a year now while still other supermarket running smoothly, ondoa notion ya mwaka 47 at Kenya wanajua sana kuliko nchi nyingine, tunajua mnapenda kujikweza ila ni watu wakawaida sana mmejaa kibao huku Tz and never a tanzanian complain about it, ila leo...
Aisee ndugu zetu wakenya mkisema tufanye what are guys mnataka tufanye I.e kufunga mipala it will be worse , for my experience wakenya wengi sana wameajiriwa Tz tena kwenye sasual jobs like kindergarten na primary schools so wataoumia ni wakenya zaidi sio Wa tz, ila acheni hizo bana sasa kila...
Aisee ndugu zetu wakenya mkisema tufanye what are guys mnataka tufanye I.e kufunga mipala it will be worse , for my experience wakenya wengi sana wameajiriwa Tz tena kwenye sasual jobs like kindergarten na primary schools so wataoumia ni wakenya zaidi sio Wa tz, ila acheni hizo bana sasa kila...
Nyie mnazungumzia bajeti ya mazishi kua Kubwa mimi nasema serikali inatakiwa ilipe fidia kwa familia ya marehemu , fikiria familia iligharimika kiasi gani Mpaka marehemu kufika chuo bado expectations za wazazi kwa mtoto zilikua Kubwa sana , so by any means serikali inawajibika kutoa fidia even...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.