CEO wa Vodacom aliyeteuliwa toka Kenya anyimwa kibali na Serikali. Aambiwa wapo watanzania wa kufanya kazi hiyo

Ndugu yangu, you are smart than this. Uhuru kusema ni danganya toto tu! Nenda Kenya uone kama utaajiriwa. Umesahau walivyowadharau madaktari wetu?

Kwasasa Tanzania ina graduates wengi na wenye uwezo. Wapo Wabongo kibao diaspora wana exposure za kufa mtu bora warudi wachukue nafasi hizi.

Nchi yetu lazima iwe makini sana inapotaka kutoa vibali. Tumechezewa mno.
Mkuu kauli ya raisi ndio kauli ya mwisho kinachofuata utekelezaji,inawezekana watendaji wake wanamuhujumu ingawa yeye ana nia njema.
 
Km we ni mtz unaelewa nachosema, ila km wewe ni mtz uliathiriwa na ukoloni mamboleo huwez jua namaanisha nn, na pia km ww ni mgeni then watch from a far
Mimi sijakuelewa na ukiona hujapata hata like moja ujue una tatizo na hoja yako.
 
Kama una shares si ukapige kura kumkataa huyo dada, wenye mali ndio wamemteuwa kwani wao wajinga hawajui kama watanzania wako. wanajuwa lakini hawampi mtu maana atauwa kampuni na wataanza kuajiriwa watoto wa dada sijui mara kabila moja. wao wanajuwa yote haya wataongoza kampuni hata kwa remote kutoka S.Africa.
Wenye nchi wamekataa, wakitaka wafunge biashara waende huko Kenya aliko huyo dada, tuone mwenye mali na mwenye nchi, nani zaidi.
 
Wenye nchi wamekataa, wakitaka wafunge biashara waende huko Kenya aliko huyo dada, tuone mwenye mali na mwenye nchi, nani zaidi.
Huu ndio upeo wako wa kufikiri. wenye nchi nani? sisi sio nchi yetu ni lazima tukubaliane na mawazo yako. nchi bila direct investment itakufa kifo kibaya na ndio maana viongozi wanataka wawekezaji. fukuza kampuni zote halafu utaona maana serikali yenyewe haina ajira.
 
Nyie wezi sana na wavivu
Usi generalize mambo ndugu yangu , wezi na wavivu wapo pande zote Kenya na tz , usituganye Wa tz kwamba hii inchi imejengwa na foreigners(tz) narudia tena wakenya hakuna haja ya kulalamika sana mbona ni ishu ya kawaida sana take into consideration ndugu zetu wakenya mpo wengi tu huku tz kwann mtu mmoja tu alete sintofahamu let use our brains not our strength , kama nyie Kenya mmeweza why not us Tanzanians , I hope u guys are not intend to see other east Africans prosper like you ma bwana wakubwa, pls let us not allow this minner decision make us despise one another , peace and love .
 
Huu ndio upeo wako wa kufikiri. wenye nchi nani? sisi sio nchi yetu ni lazima tukubaliane na mawazo yako. nchi bila direct investment itakufa kifo kibaya na ndio maana viongozi wanataka wawekezaji. fukuza kampuni zote halafu utaona maana serikali yenyewe haina ajira.
Nchi inaendeshwa kwa sheria, tulishajiwekea sheria zinazosimamia biashara uwekezaji na ajira, kabla ya muwekezaji kuja nchini ni lazima azisome, kuzielewa ma kuzikibali ili azitekeleze, kama unadhani hizi sheria tulizojiwekea hazifai, basi zungumza na mbunge wako ili apeleke hoja bingeni ya kuibadilisha hiyo sheria ili kila muwekezaji aweze kuajiri mtu yeyote hapa duniani bila kibughudhiwa.
 
hii ishu tutaifuta tukianzisha kiingereza from primary to university,
hii ya watu wa nje kuja ndani na kuchukua position kubwa ishakuwa madharau.
 
Mimi sijakuelewa na ukiona hujapata hata like moja ujue una tatizo na hoja yako.
Ukweli ni mchungu, haihitaji ku-like...think with your brain not your mouth, wake up...muda wa kusifiwa huku unakufa njaa ishapita hiyo, sahv we do what we do for the best of our nation, funga mkanda hadi uwe na kiuno cha nyigu its gonna be a bumpy ride bro...you digg!
 
Usi generalize mambo ndugu yangu , wezi na wavivu wapo pande zote Kenya na tz , usituganye Wa tz kwamba hii inchi imejengwa na foreigners(tz) narudia tena wakenya hakuna haja ya kulalamika sana mbona ni ishu ya kawaida sana take into consideration ndugu zetu wakenya mpo wengi tu huku tz kwann mtu mmoja tu alete sintofahamu let use our brains not our strength , kama nyie Kenya mmeweza why not us Tanzanians , I hope u guys are not intend to see other east Africans prosper like you ma bwana wakubwa, pls let us not allow this minner decision make us despise one another , peace and love .
Dah nikijua lugha nitakuja baadae. Maana siyo kwa michanganyo hiyo. Minner sijui ndo minor?.na Past participle tense zinajimix
 
Usi generalize mambo ndugu yangu , wezi na wavivu wapo pande zote Kenya na tz , usituganye Wa tz kwamba hii inchi imejengwa na foreigners(tz) narudia tena wakenya hakuna haja ya kulalamika sana mbona ni ishu ya kawaida sana take into consideration ndugu zetu wakenya mpo wengi tu huku tz kwann mtu mmoja tu alete sintofahamu let use our brains not our strength , kama nyie Kenya mmeweza why not us Tanzanians , I hope u guys are not intend to see other east Africans prosper like you ma bwana wakubwa, pls let us not allow this minner decision make us despise one another , peace and love .
We mbwiga mimi ni mtanganyika tena mzalendo kweli kweli...ila ukweli lazima tuongee kama una kampuni yako unataka mafanikio tafuta C.E.O foreigner tena ikibidi nafuta kaburu lenyewe kutoka Sauzi...

Ukiwaendekeza wabongo kampuni inakufa mana hawaibi faida wanaiba mpaka na mtaji mamayo!

TBL, NMB, NBC, TPC izo kampuni zilikua za serikali na zilikua hoi bin taaban zinapumulia mashine kisa eti wakurugenzi wazalendo ila walivyoletwa wazungu maC.E.O angalia sasa hivi ndo walipa kodi wakubwa hao.
 
Nini maana ya kuwa na EAC ikiwa raia wa nchi hizi watakuwa wanazuiwa kwenda kufanya kazi kwenye nchi wanachama?? Huu ni unafiki wa hali ya juu kabisa na ni udhaifu mkubwa sana ulioonyeshwa na Tanzania kama ni kweli wamemzuia huyo dada kuja kufanya kazi Vodacom.

Mimi naamini nikiwa kama Mtanzania ninaweza kwenda kufanya kazi Kenya na Mkenya anaweza kuja kufanya kazi Tanzania, ili mradi tu anafikia viwango vya kazi husika. Mimi ni mzalendo wa nchi hii lakini nimekerwa sana na taarifa hii. Kuna Watanzania wengi tu wanafanya kazi nchini Kenya, tena kazi ambazo wakenya wanaweza kabisa kuzifanya. Sasa mnataka kusema na Wakenya waanze kuwafukuza ndugu zetu wanaofanya kazi huko??

Naishauri Serikali iliangalie hili swala upya na kwa mapana marefu, la sivyo hili jambo linaweza kuleta mgawanyiko mkubwa sana na kujenga chuki kati ya Wakenya na Watanzania. Hili sio jambo la kujivunia hata kidogo, ni upuuzi wa hali ya juu sana. Hakika kwa hili Serikali ya Tanzania imekosea sana, tena sana!
Yaani kama ni kweli Watanzania inabidi wapige kelele sana kupinga hili swala. Hii nchi sio ya kibaguz. Ni dhambi kubwa sana kumbagua mwafrika mwenzio
 
We mbwiga mimi ni mtanganyika tena mzalendo kweli kweli...ila ukweli lazima tuongee kama una kampuni yako unataka mafanikio tafuta C.E.O foreigner tena ikibidi nafuta kaburu lenyewe kutoka Sauzi...

Ukiwaendekeza wabongo kampuni inakufa mana hawaibi faida wanaiba mpaka na mtaji mamayo!

TBL, NMB, NBC, TPC izo kampuni zilikua za serikali na zilikua hoi bin taaban zinapumulia mashine kisa eti wakurugenzi wazalendo ila walivyoletwa wazungu maC.E.O angalia sasa hivi ndo walipa kodi wakubwa hao.
Na ukitaka familia yako iwe bora mpee mkeo mkaburu akulelee
 
Nini maana ya kuwa na EAC ikiwa raia wa nchi hizi watakuwa wanazuiwa kwenda kufanya kazi kwenye nchi wanachama?? Huu ni unafiki wa hali ya juu kabisa na ni udhaifu mkubwa sana ulioonyeshwa na Tanzania kama ni kweli wamemzuia huyo dada kuja kufanya kazi Vodacom.

Mimi naamini nikiwa kama Mtanzania ninaweza kwenda kufanya kazi Kenya na Mkenya anaweza kuja kufanya kazi Tanzania, ili mradi tu anafikia viwango vya kazi husika. Mimi ni mzalendo wa nchi hii lakini nimekerwa sana na taarifa hii. Kuna Watanzania wengi tu wanafanya kazi nchini Kenya, tena kazi ambazo wakenya wanaweza kabisa kuzifanya. Sasa mnataka kusema na Wakenya waanze kuwafukuza ndugu zetu wanaofanya kazi huko??

Naishauri Serikali iliangalie hili swala upya na kwa mapana marefu, la sivyo hili jambo linaweza kuleta mgawanyiko mkubwa sana na kujenga chuki kati ya Wakenya na Watanzania. Hili sio jambo la kujivunia hata kidogo, ni upuuzi wa hali ya juu sana. Hakika kwa hili Serikali ya Tanzania imekosea sana, tena sana!


Kuna watu nchi hii wamejaa wivu,uhasidi na roho za kimasikini we acha tu
 
Kuna kitu kinaitwa "Nationalism"... Dunia ndio inaelekea huko.

Ni swala la muda tu, hawa wakenya tutawafukuza kama mbwa koko
 
We mbwiga mimi ni mtanganyika tena mzalendo kweli kweli...ila ukweli lazima tuongee kama una kampuni yako unataka mafanikio tafuta C.E.O foreigner tena ikibidi nafuta kaburu lenyewe kutoka Sauzi...

Ukiwaendekeza wabongo kampuni inakufa mana hawaibi faida wanaiba mpaka na mtaji mamayo!

TBL, NMB, NBC, TPC izo kampuni zilikua za serikali na zilikua hoi bin taaban zinapumulia mashine kisa eti wakurugenzi wazalendo ila walivyoletwa wazungu maC.E.O angalia sasa hivi ndo walipa kodi wakubwa hao.
Sasa mbona unatuita Wa tz wote wezi na wavivu , sema basi some of them!! kuna watu kama bahresa , mo dewji n.k uwezi ukasema kama ni wezi au wavivu how they manage to be there? Afu mbwiga ni jina la ukoo watu Wa morogoro huko acha ushamba jibu hoja so unageneralize mambo .
 
Keep it jirani,we don't need her,we got our own educated comrades ,watachukua hiyo nafasi..Kama vodacom hawataki,let them pack and go.

Kweli kabisa mkuu, kwanza mimi nataka kurudi TTCL , wanakwambia "rudi nyumbani, kumenoga".
 
Back
Top Bottom