CEO wa Vodacom aliyeteuliwa toka Kenya anyimwa kibali na Serikali. Aambiwa wapo watanzania wa kufanya kazi hiyo

Sasa mbona unatuita Wa tz wote wezi na wavivu , sema basi some of them!! kuna watu kama bahresa , mo dewji n.k uwezi ukasema kama ni wezi au wavivu how they manage to be there? Afu mbwiga ni jina la ukoo watu Wa morogoro huko acha ushamba jibu hoja so unageneralize mambo .
Hao wapemba sijui wahindi uliowataja apo kaangalie kwenye izo kampuni zao kama wale wakubwa fulani ni wabongo kama sio wahindi weusi au waarabu koko urudi apa.

Kama mtu ana kampuni yake wacha aajiri watu anaowaona anafaa sio mambo ya kulazimisha watu waajiri mambwiga wataokuja kumfilisi!

Uyo Reginald mwenye Mengi nenda Bonite Bottlers oile kampuni yake uone pale nafasi za juu kama sio Wakenya na Wahindi weusi ...lakini cheki leo maji ya kilimanjaro ndo maji yanayoonekana ya "heshima"...
Sometimes weka undugu pembeni uangalia performance otherwise utakua mbwiga!
 
Dah nikijua lugha nitakuja baadae. Maana siyo kwa michanganyo hiyo. Minner sijui ndo minor?.na Past participle tense zinajimix
Hahaha ndugu muhimu kupata ujumbe, lugha isikuchanganye sana ilikuja kwa meli hiyo wala hatukuzaliwa nayo , narudia tena peace and love.
 
Nchi inaendeshwa kwa sheria, tulishajiwekea sheria zinazosimamia biashara uwekezaji na ajira, kabla ya muwekezaji kuja nchini ni lazima azisome, kuzielewa ma kuzikibali ili azitekeleze, kama unadhani hizi sheria tulizojiwekea hazifai, basi zungumza na mbunge wako ili apeleke hoja bingeni ya kuibadilisha hiyo sheria ili kila muwekezaji aweze kuajiri mtu yeyote hapa duniani bila kibughudhiwa.
Sheria gani unazosema hapa, mimi sijasema sheria mbaya au nzuri. sasa kama hizo sheria hao ma directors wa kwanza waliingia kwa sheria gani hapa nchini? nitajie kampuni moja ya nje ina directors mtanzania au bank yoyote zaidi mashirika ambayo wanateuliwa na Rais tu na CRDB. hizi sheria zimeanza leo.
 
Angekuwa mzungu wasingepiga kelele.Viwanda vyote Hotel za kitalii zote Supermarket zote wahindi ndiyo ma MD na hatupigi kelele.Watanzania wavivu majungu tuu
Umeona mkuu ,then MTU anakuja hapa anasema wazungu ni wabaguzi wakati sisi wenyewe kwa wenyewe ni shidahh
 
Ukweli ni mchungu, haihitaji ku-like...think with your brain not your mouth, wake up...muda wa kusifiwa huku unakufa njaa ishapita hiyo, sahv we do what we do for the best of our nation, funga mkanda hadi uwe na kiuno cha nyigu its gonna be a bumpy ride bro...you digg!
umepanic unaonekana na sio lazima kuongea kizungu kiswahili kinatosha tu hata Rais wetu kasema kwani kuongea kizungu ndio akili. nadhani unataka kuonesha kitu kwamba umesoma, unaweza kuwa msomi mzuri lakini ukiongea tu mtu anajuwa kuwa ni mtu wa aina gani. kwako wewe ni mtu una hasira na chuki za maisha hii haisaidii kitu. hoja bila matusi ndio utamaduni wetu. ukiona mtu anaanza kutumia lugha mbaya ujuwe kafika mwisho wa upeo wake.
 
Hao wapemba sijui wahindi uliowataja apo kaangalie kwenye izo kampuni zao kama wale wakubwa fulani ni wabongo kama sio wahindi weusi au waarabu koko urudi apa.

Kama mtu ana kampuni yake wacha aajiri watu anaowaona anafaa sio mambo ya kulazimisha watu waajiri mambwiga wataokuja kumfilisi!

Uyo Reginald mwenye Mengi nenda Bonite Bottlers oile kampuni yake uone pale nafasi za juu kama sio Wakenya na Wahindi weusi ...lakini cheki leo maji ya kilimanjaro ndo maji yanayoonekana ya "heshima"...
Sometimes weka undugu pembeni uangalia performance otherwise utakua mbwiga!
Sawa kipanga point yangu hapo ni tu kwamba ulisema " Wa tz wote ni wavivu na wezi" kitu ambacho so kweli hata kidogo , yes foreigners wapo kila inchi even Kenya , same to Tanzanians wapo pia nje, kama mtz aliweza kupewa nafasi ya juu UN that's means tunaweza . kaka peace Mzee umeeleweka na I hope umenielewa pia, good weekend!!
 
Sheria gani unazosema hapa, mimi sijasema sheria mbaya au nzuri. sasa kama hizo sheria hao ma directors wa kwanza waliingia kwa sheria gani hapa nchini? nitajie kampuni moja ya nje ina directors mtanzania au bank yoyote zaidi mashirika ambayo wanateuliwa na Rais tu na CRDB. hizi sheria zimeanza leo.
Hakuna uwezekano wa wakili msomi peter kibatala kufungua kesi?
 
yeah, time to kick ass and chew bubble gum.

Kenyans don't try us, we have been silent for decades, you bring your people over here while rejecting Tanzanians under the name of English while hiding under the shadows of East African community!!!

You have been warned, try us again and you will witness and exodus.
Haa haa..wataona gharika ya el nino..
 
Aisee ndugu zetu wakenya mkisema tufanye what are guys mnataka tufanye I.e kufunga mipala it will be worse , for my experience wakenya wengi sana wameajiriwa Tz tena kwenye sasual jobs like kindergarten na primary schools so wataoumia ni wakenya zaidi sio Wa tz, ila acheni hizo bana sasa kila kazi tz mnaitaka nyie tu sasa sisi ndugu zetu tufanye kazi zipi, me I knew a number of personnel ambao wanaeza kua CEO VODACOM even safari com , what was done is just a mutual understanding that we have here people with same calibar with her or above her , no any grudge or kufunga mipaka na nini izo ni ishu ndogo kwanini tufike huko.
Nisaidie kuwauliza hao wa kenya....what if we chase these vodacom thieves out of our country...will they keep on complaining and whining like last borns?
Waambie wasibweteke...aliyenyimwa kibali cha kazi ni afisa wa vodacom na sio wakenya...waambie wakenya WAPIGE KAZIII...HAPA KAZI TUU..
 
Sorry nilikuwa na maanisha sio Goverment owned company. 65% iko chini ya Vodafone SA and baki kuna wa Tanzania wana shares lakini sio serikali.
Ndio maana ya private umetingishwa na kaswali kidogo unaondoka kwenye mstari. Vodaphone or vodacom and safaricom are private owned companies. They are free to employ anyone he/she deemed fit on the position. Nadhani hajakataliwa ni mambo madogo yanawekwa sawa kwanza. Let's see..lakini ni kampuni binafsi sababu Serikali haina share. Labda Airtel ndio tungenung'unik kidogoo
 
watu wako kazini? Serikali haijui hata share zake za NMB hawawezi kufuatilia ndio mtaweza kuendesha kampuni? Twiga bank wameifilisi na sijui posta bank wako katika umauti. Kama watanzania hatuwezi kujuwa hata faida ya shares zetu ndio tutaweza kuongoza Bank. Rais anasema haiwezekani faida kila mwaka toka NMB iwe Bilion 16 tu kila mwaka maana yake ni nini? kweli hatujui faida ya Bank ndio bado mnataka mpewe Voda? wataleta hata kaburu. TTCL inawashinda, maana ingekuwa nchi nyingine TTCL ndio angekuwa anaongoza soko maana wana facilities zote mpaka madeni wamesamehewa lakini wapi mnataka kukimbilia kampuni za watu. wekeni mtu wenu kama watu hawajauza share zao.
Wadanganyika watabisha hii....maana kwetu tunaamini Katika porojo!
 
Yaani kama ni kweli Watanzania inabidi wapige kelele sana kupinga hili swala. Hii nchi sio ya kibaguz. Ni dhambi kubwa sana kumbagua mwafrika mwenzio
Kabisa mkuu, hili swala mimi sijafurahia kabisa hasa kutokana na ukweli kwamba kuna Watanzania wengi tu wanafanya kazi Kenya tena bila kusumbuliwa na mtu yeyote yule. Binafsi naikubali sana Serikali ya Magufuli, lakini kwa hili imechemsha sana. Ni aibu sana kwa Serikali ya Tanzania kuanza kuzikumbatia sera za kipuuzi na kishenzi za kibaguzi.

Kule South Africa tumekuwa tukiona jinsi wanavyobagua wageni na kuwafukuza na sisi tumekuwa mstari wa mbele kuwapinga, lakini cha ajabu sasa hivi na sisi tunaanza kujiingiza kwenye "xenophobia" bila hata aibu. Hii ni hatari kubwa sana kwa mustakabali wa taifa letu.
 
Wengi Tulijua huyo mama hatafanya kazi Tanzania labda kama JPM hayupo magogoni
Hivi Tanzania wana share kiasi gani katika kampuni ya vodacom tafadhali tujulishe mkuu. Hii itasaidia wengine wasipayuke kuona kama Gvt inaingilia private sector zilizosajiliwa katika Bongolanda. Na katika share kama wana makubailiano ya kutoa DG hapa hapa nchini. Tujulishe mambo yakae sawa tumsifie Magu wetu kuwakataa wageni ili wazawa wapate ajira..please!!!
 
Sasa mbona unatuita Wa tz wote wezi na wavivu , sema basi some of them!! kuna watu kama bahresa , mo dewji n.k uwezi ukasema kama ni wezi au wavivu how they manage to be there? Afu mbwiga ni jina la ukoo watu Wa morogoro huko acha ushamba jibu hoja so unageneralize mambo .
Mbona wote hao .....wanaitwa wapiga deal na Jpm tena anapambana nao ili waishi kama shetan
 
Back
Top Bottom