Waungwana Mimi ni mfuga Nyuki nipo Dodoma. Nimepata dharula ,sina namna nimeamua kuuza Asali ya nyuki wakubwa kwa bei ya hasara ili nikidhi hitaji lililonisibu.
Asali huwa nauza ndoo ya Lita 20 kwa sh laki mbili.kwa vile Nina shida nimepunguza bei mpaka sh laki moja na nusu kwa ndoo moja...
Samahani waungwana ina karakana yangu ya ufundi furniture hapa Dodoma kuna vifaa navihitaji sana, nimejaribu kuvitafuta Dar nikakosa lakini Dar ni kubwa inawezekana vipo.
Naomba yeyote mwenye kujua wapi wanauza au kama unavyo naomba nijulishe.Nahitaji machine inaitwa dovetail machine. Mafundi...
Samahani waungwana nimekuwa nikitumia smartphone za kampuni ya tecno .sasa nataka nihame kwenye aina nyingine ya sumu.
Napenda simu screen size iwe 5.5",iwe unachukua laini mbili,iwe na kamera nzuri kabisa.
Ram iwe kuanzia 2gb,internal storage ianzie 16gb.
Je simu gani itafaa...
Mi ni mjasiriamali WA usindikaji vyakula .ili kazi yangu iwe na ubora unaotakiwa lazima niwe na hivyo vyombo vya stainless kwa ajili ya kusindikia.naomba msaada kwa Tanzania hapa nitapata wapi au kama unavyo tufanye biashara.namba yangu 0717 707565
Nimerudi tena tangu wiki iliyopita niliomba msaada lakini naona mmenichunia hakuna hata mmoja aliye nisaidia tofauti na wengine wakiomba msaada wanasaidiwa
Narudi naomba nisaidieni ni wiki moja simu yangu imegoma kuonyesha majina inaandika contact updating..
Kwenye SMS inaandika SMS loading...
Samahani waungwa, natumia simu TECNO H5 toka wiki iliyopita kila nikibadilisha Berti au kutoa line nikiirudisha inakuwa haionyeshi majina na SMS mpaka kesho yake ndo inaonyesha, kwenye SMS inaandika hivi messages conversation. Leo toka asubuhi tatizo hili limejirudia hata simu nashindwa kupiga...
Samahani waungwa.natumia simu TECNO H5 toka wiki iliyopita kila nikibadilisha Berti au kutoa line nikiirudisha inakuwa haionyeshi majina na SMS mpaka kesho yake ndo inaonyesha,kwenye SMS hivi messages conversation.Leo toka asubuhi tatizo hili limejiridia hats simu nashindwa kupiga majina...
Watu wengi sana kwa sasa wanasumbuliwa na matatizo makubwa hasa magonjwa.wamehangaika sana kusaka matibabu lakini nafuu kwao imekuwa ngumu.wengine wamekimbilia tiba mbadala. kwa sasa kupitia tv wengi wanashuhudia mahubiri na miujiza ya T.B JOSHUA.kupitia annointing water.kama ilivyo kawaida ya...
Wanajf wenzangu mimi si mjuzi sana wa COMPUTER ila maujanja kidogo nayapata humuhumu jf.nimedownload free idm kila nikitaka kudownload video inanitaka niweke video url.nisaidieni hii ul inapatikanaje.
Habari wana jf wenzangu
nina kamera yangu ya picha ya digital inatumia memory card kama ya simu kuhifazia picha.juzi nimeenda studio picha zilikuwa zinaonekana lakini tulipoweka memory card hiyo kwenye computer zile picha hazionekani zimefunikwa na kitu cheusi.studio wakaniambia hao ni virus...
Wana jf wenzangu nina eneo la ekari 10 liko manispaa ya Dodoma kijiji cha Nzuguni kitongoji cha Machimbo.kiko umbali wa km moja toka barabara kuu ya DODOMA-DAR.barabara ya kufika eneo hili ni nzuri inapitika mwaka mzima
eneo hili mwaka jana agosti nilihitaji nikate viwanja vingi...
Wana jf wenzangu,mimi ni mfugaji wa nyuki na mzalishaji mkubwa asali.ninahitaji maboksi ya karatasi ngumu kwa ajili ya kuweka chupa za asali.maboksi hayo yawe na uwezo wa kubeba dazani moja ya chupa za ujazo wa lita moja.nimejalibu kutafuta niwapi wanatengeneza ili nitengenezewe nimekosa.naomba...
Wana jf wenzangu,mimi ni mfugaji wa nyuki na mzalishaji mkubwa asali.ninahitaji maboksi ya karatasi ngumu kwa ajili ya kuweka chupa za asali.maboksi hayo yawe na uwezo wa kubeba dazani moja ya chupa za ujazo wa lita moja.nimejalibu kutafuta niwapi wanatengeneza ili nitengenezewe nimekosa.naomba...
Tunatengeneza incubator za kutotolea mayai ya ndege wa aina zote.ni incubator zenye ubora wa hali ya juu.ni automatic zinageuza mayai zenyewe,zinacontral zenyewe kiwango cha joto na unyevu.
zina dumu muda mrefu kwa sababu tunazitengeneza kwa kutumia malighafi zenye kiwango cha juu cha...
Nina kijana wangu sasa ana miaka 15, akiwa naumri wa miaka 9 akapatwa na tatizo ambalo hapo mwanzo hakuwa nalo juu ya kuoga.akioga anawashwa mwili mzima anajikuna sana.
Tena anajikuna sana akioga maji ya baridi,bora maji ya moto.ili asijikune lazima aoge kisha akitoka bafuni mara moja afanye...
Hili shindano kila linapoanza mpaka linaisha limekuwa likitangazwa sana na hata kuonyeshwa na vyombo vingi vya habari hasa TV.kwa rika zote hasa vijana ndio wanaongoza zaidi kuangalia na kufatilia matukio ya huko mjengoni.nimefanya utafiti wakati wa mashindano haya vijana wengi wanayafatilia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.