*SHAMBA..SHAMBA..SHAMBA*
Shamba/Liko kwenye makazi ya watu heka 4..kiko bagamoyo maeneo ya Kilomo...ukiwa unaenda bagamoyo mjini kutokea Mwenge unashuka kituo cha kilomo..mkono huo wakushoto km3 mpaka kwenye eneo husika.Eneo linafaa pia kwa kuishi..mifugo na kilimo.kipo kwenye makazi...
*SHAMBA..SHAMBA..SHAMBA*
Shamba/Liko kwenye makazi ya watu heka 4..kiko bagamoyo maeneo ya Kilomo...ukiwa unaenda bagamoyo mjini kutokea Mwenge unashuka kituo cha kilomo..mkono huo wakushoto km3 mpaka kwenye eneo husika.Eneo linafaa pia kwa kuishi..mifugo na kilimo.kipo kwenye makazi...
Eneo lipo kiromo bagamoyo , upande wa kushoto( upande wa shule ya kiromo) kama unaenda bagamoyo mjini. ni km 3 kutoka barabarani. ni Heka 4. Eneo linafaa kwa ufugaji, ujenzi wa shule, Kujenga Nyumba na kuishi, na shughuli zingine za maendeleo. Umeme na maji vinapatikana.
Bei ni Milion 29...
Kwa sasa serikali ndiyo ipo kwenye mradi wa kupima viwanja mpigi magoe, so ukinunua unapewa form na serikali ya mtaa , then wanakupimia. Kwa unakihitaji Ni ibox
makabe . hii unaingilia pale Mbezi high school. KWA YUSUPH , upande wa kulia kama unaenda kibamba kuna sehemu panaitwa mbezi KWA YUSUPH upande wa kulia kuna barabara inaenda MPIGI MAGOE. daladala za mpigi magoe zimeandikwa hivyohivyo Mpigi magoe. na za makabe zimeandikwa makabe. So...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.