Hapa na yeye atatoa kama ya Kubwa: Ame kwenda kumsaidia mtoto kifamilia na si kichama.....! Na fedha alizotoa si za kuhonga bali kuwasaidia wana kijiji wenzie.. Mwenye kesi ya Kuhonga atakuwa mwanae endapo atatoa fedha ili achaguliwe na si Mzee Makamba kwani yeye hagombei lolote pale..!!!
Mkuu nimecheka sana. Kama ulishaishi karibu na nyumba za hawa waheshimiwa utakubaliana na maneno red, Nakumbuka jirani yangu alikuwa wa kwanza kuletewa misamaki ile mikubwa na mboga mboga toka kwa wakulima wafungwa kwenye magereza.
Hiyo nyumba huenda ni banda la nguruwe na kuku tu, Nyumba ya...
Mkuu tafuta gari mapema, Kutokana na Budget ya mwaka ujao wa fedha kuwa juu, bei za magari zitapanda sana.Ukikosa hiyo nunua gari yoyote nzuri kabla mambo hayaja haribika.
Nadhani kama kilamtanzania atakuwa na haki ya kuchangia pato la taifa awapo nje ya nchi mfano UK, USA na sehemu zingine, Ni vema na haki ya kupiga kura kipindi cha chaguzi zetu iwepo kwao kama baadhi ya wenzetu wafanyavyo.
Inashangaza kuona kwamba kwa sisi watanzania haliwezekani bali kwa...
Kwahiyo unarudi tena kwenye point ya Kuchagua kiongozi mwenye kuweza kufanya hivyo, Una maanisha nini unapozungumzia si kwa kutegemea Kodi ? Huyo kiongozi genius atakaye chaguliwa atatoa wapi hela za mishahara? Ge me a break mkuu, Nakwenda lala mama watoto ananisubiri, Nsha kwambia pumzika maana...
Mkuu wewe si ndio umeleta hoja hapa endelea tu kuvimwaga na hivyo vyama 14. Unapo andaa thread hapa hakikisha una kuwa na kila data. Au umesahau kwamba na wewe ni Great thinker ?
Ukikubaliana na ushauri wangu wa jana wa kupumzika na kuachana na thread hii utakuwa umejisaidia vizuri. Umepoteza...
Duh...Jioni njema, Halafu basi kuna miili ya kusimama kwenye Roof za magari, Hebu tazama utadhani mtu atoka kwenye shimo la choo. Hii nchi ina maudhi sana.
<input id="gwProxy" type="hidden"><!--Session data--><input onclick="jsCall();" id="jsProxy" type="hidden">
Huyu bwana aliyeleta hii thread nadhani hata haelewi anaongelea nini, Mara azungumzi Europe noma, Mara Tanzania, mara sijui Poland, Huchoki tu mkuu? Wacha kucopy Data za watu kwenye ma website kwani hata sisi tunaweza,
Tupo hapa kujadiri matatizo ya watanzania sio Propaganda za Greece tokea...
Mkuu wataka watanzania wafanye kazi gani, wacha kupiga kelele ugiriki ugiriki, tokea umepata hiyo new ya Greece hatunywi maji hapa. Soma posts za wanaume utaelewa, watengenezee watanzania mazingira ya kufanya kazi kama hawatafanya, Acheni propaganda zisizo na tija, Wataka watanzania wakalime juu...
MWINGINE HUYU !!! Swali hili lina husiana vipi na kupendana/ kutafutana ? Niliomba kufahamu ni kilicho msibu, kama mikasa mingine na si issue za kimapenzi.
Mkuu/ dada yana nihusu kwa njia moja au nyingine, Mpenzi wa dance na mshabiki wa unenguaji wa dada au mdogo wangu Aisha, Nilitegemea busara sikutegemea kuona kiwango chako kidogo cha kujibu. Jifunze kutoku jibu kila hoja. Huwa na maanisha zaidi ya kuandika.
Jamii Forum ni kubwa na ina watu...
Salamuni !!
Ndg. Kichwa cha habari cha husika.
Kutokana na kutokupata news za Tanzania kwa wakati nimejikuta nikifungua Link moja ya Asha Baraka akifanyiwa mahojiano kuhusiana na uboreshaji wa Bendi ya Twanga Pepeta ndani ya you tube. Hongera Asha Baraka kwa hilo.
Kilichoni fanya...
Salamuni !!
Ndg. Kichwa cha habari cha husika.
Kutokana na kutokupata news za Tanzania kwa wakati nimejikuta nikifungua Link moja ya Asha Baraka akifanyiwa mahojiano kuhusiana na uboreshaji wa Bendi ya Twanga Pepeta ndani ya you tube. Hongera Asha Baraka kwa hilo.
Kilichoni fanya kulitaja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.