JAMIETZN
Member
- Apr 25, 2009
- 72
- 1
Salamuni !!
Ndg. Kichwa cha habari cha husika.
Kutokana na kutokupata news za Tanzania kwa wakati nimejikuta nikifungua Link moja ya Asha Baraka akifanyiwa mahojiano kuhusiana na uboreshaji wa Bendi ya Twanga Pepeta ndani ya you tube. Hongera Asha Baraka kwa hilo.
Kilichoni fanya kulitaja Jina la Aisha Madinda ni kile nilichokisikia katika mahojiano hayo japo kwa ufupi kuhusiana na AISHA MADINDA kufanyiwa unyama na mwanaume. Je mwenye habari kamili kuhusiana na hili anaweza kunijuza ni kitu gani mbaya kafanyiwa mnenguaji wetu mahiri wa Twanga pepeta?
Na je mwana ume huyo amechukuliwa hatua gani za kisheria kwa kitendo hicho kama hakiendani na maadali ya Kitanzania?
Busara itumika katika kujibu na kuchangia hoja zenye kuwahusu ma cerebrity wetu.
Ndg. Kichwa cha habari cha husika.
Kutokana na kutokupata news za Tanzania kwa wakati nimejikuta nikifungua Link moja ya Asha Baraka akifanyiwa mahojiano kuhusiana na uboreshaji wa Bendi ya Twanga Pepeta ndani ya you tube. Hongera Asha Baraka kwa hilo.
Kilichoni fanya kulitaja Jina la Aisha Madinda ni kile nilichokisikia katika mahojiano hayo japo kwa ufupi kuhusiana na AISHA MADINDA kufanyiwa unyama na mwanaume. Je mwenye habari kamili kuhusiana na hili anaweza kunijuza ni kitu gani mbaya kafanyiwa mnenguaji wetu mahiri wa Twanga pepeta?
Na je mwana ume huyo amechukuliwa hatua gani za kisheria kwa kitendo hicho kama hakiendani na maadali ya Kitanzania?
Busara itumika katika kujibu na kuchangia hoja zenye kuwahusu ma cerebrity wetu.