Lakini, kutokana na maelezo huyu ndugu hakuwepo shambani, aliyekuwepo ni Mdogo wake mohamed, na aliachwa akilima shambani na treckta, sasa, haya maelezo ya njiani kuelekea hnyumbani aliyapata wapi?
Hii habari mimi nilisikia kulikua na swala la mahusiano ya kimapenzi kati ya....... na......
Wadau,
Wa Tanzania wengi tunaumia sana na hizi TV za kulipia,Mwanzo kulikua na TV Burudani ofisi zake ziliku Maarifa House Mtaa wa Ohio, Wametokomea na hela za watu wametuachia ving'amuzi vyao.
Ikaja GTV wao walikua pale Namanga watanzania wengi walinunua Ving'amuzi na Ma-dish nao...
Mdau, Hili kweli ni Tatizo kubwa kwa Taifa letu, kwanza nguvukazi kubwa inapotea,Pili resources zetu ni Haba hasa madawa na hospitals.
Ajali za magari zinaongezeka kutokana na sababu kubwa moja. Siku hizi chanzo kikubwa cha kusafirisha mizigo na abiria ni barabara, Miaka ya nyuma Reli za TRC na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.