Hivi hakuna hata online TV imeweza kufanya matangazo ya moja kwa moja? Au wote wamepigwa spana?
Chadema nayo inashindwa hata kuweka live tukio kama hili?
Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
Wakuu kwema, naomba mwenye kujua jinsi ya kubadili au kuweka option ya kuplay video hapa JamiiForums anisaidie. Mimi nikifungua inafungua kwa kutumia JF tu. Nataka niwe nafungulia browser nyingine tofauti na Jamiiforums.
Asanteni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu na wadau wote wa afya na mazingira nawapa salamu zangu.
Bila kupoteza muda naomba nifupishe taarifa yangu isiwe kikwazo kwa wasomaji.
Mosi, serekali yangu au ya Tanzania kwa ujumla nawapa pongezi kwa jitihada za kukataza pombe aina ya viroba ambayo ilikuwa inapatikana kiholela.
Pamoja...
Kwa wale watumiaji na wauzaji wa bidhaa za aborder hasa TV, mtakuwa mashaidi hasa kwenye ubovu wa TV za aborder. Yaani mpaka sasa nina Tv mbili mbovu za hii kampuni, hata mwaka haujaisha zimekuwa mbovu. Nilifanya utaratibu wa kuwasiliana nao ila kwa majibu niliyopewa sikuona haja ya kuendelea...
Wadau nawasalimu, pia natoa pole kwa tukio la ajali ya moto iliyotokea morogoro .
Ninatafuta mtama mweupe aina gadam au Karim. Tafadhali mwenye nao au anayejua unakopatikana tuwasiliane ninahitaji kwa wingi sana.
Wana Jf niseme kwamba hali ilivyo sasa si nzuri kwa watu wengi, ila kwa upande mwingine watanzania kwa ujumla wetu tunaweza kuomba kukutana na mkuu wetu asikie kilio cha wengi kama alivyokuwa anaomba kura wakati wa kampeni.
Alitoa ahadi nzuri na wengine tukasema mkombozi kaja, ila hali imekuwa...
Mkuu me nipo salama,
kuhusu hiyo TIN ni lazima ufanyiwe makadirio ya biashara unayoenda kufanya na mwisho wa siku utalipa hiyo pesa ili upewe Tin ya kufanya biashara husika. Watu wanachanganya private Tin(ambazo hulipi chochote na nahisi siku hizi wanaziondoa kimia kimia) na zile za biashara...
Siasa ni mahesabu kijana, hata slaa na wengine wakisusa hakuna jipya maana wote walikuwa na wimbo mmoja tu, ufisadi. Na mbaya zaidi hawana wimbo mwingine hats slaa alikuwa anategemea ccm impe El ili aanze kutudanganya na wimbo wa ufisadi.
Mkuu hilo ni wazo zuri sana, naamini kama likifanyiwa kazi hakuna bank ambayo ingekuwa mbele kama hii. Huenda hata zile ambazo tayari zipo zingeyumba kiasi, imagine ni wafanyabiashara wangapi wanaotumia bank na hizo hela zinaenda kwa wengine. Kama kukawa na watu smart hili ni wazo zuri na lenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.