Natafuta kampuni au dereva anihamishie vitu kutoka Dar kuelekea Mafinga na vitu vya ndani kitanda kabati etc...kwenye tar 26 au 270 mwezi huu.
Kama unainua kampuni au ww ni dereva ni PM contacts zako nkutafute.
Aksanteh
me nna decoder ya star yime ile ya zaman inatumia antenaa naona local channel zote free, sasa nataka niipeleke mkoani vipi ntaendelea kupata huduma kama nikiiunga na dish dgo??
kwahyo unaona makonda hana mil 50 ya kujenga hiyo nyumba, alafu mbona unatoa povu furaha yako nikuona watoto wa marehem wanateseka au? hayo mafao yake watoto watatumia kwa mambo mengine nyumba watajengewa na RC.
all in all inaonekana siasa zimekuharibu sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.