Search results

  1. K

    Kipindi cha michezo radio E-Fm kiitwacho Sports Head Quarters kinakera

    Hiki kipindi kinakera kiko kishabiki sana. Mimi mtu wa simba siwezi kukisikiliza pia Radio ya Times Fm nayo vile vile. Wachambuzi wetu wa soka wako kishabiki sana hawatupi upembuzi wa kimsingi kama wa ulaya. Sijui elimu au unazi
  2. K

    Kwanini matumizi ya data Halotel ni makubwa ukilinganisha na Vodacom/Airtel?

    Halotel una stream live football bila shida baba karibu halotel 500 unapata 500mb zinatosha kuangalia mpira dk90 bila chenga na zinabaki kama 100mb
  3. K

    Hotuba ya Kambi Rasmi Bungeni, Wizara ya Katiba na Sheria

    Ni sawa lakini kwa nchi zetu hizi ukifuata sana kila kitu ukiundie tume ndo yale yale tutaanza kulalama
  4. K

    Tundu Lissu ana kipaji cha ubishi na sio hoja, awamu hii atakosa mvuto

    Upinzani unakufa kabisa hawataki watu watumbuliwe wakatiwalipiga kelele sana kuwa serikali dhaifu
  5. K

    Hotuba ya Kambi Rasmi Bungeni, Wizara ya Katiba na Sheria

    Upinzani ni mhm kwa nchi kama yetu kuelekeza pale serikali inapokosea lakini upinzani wa kupinga kila dhana ni tatizo. Jana lissu kasema watu wanatumbuliwa ovyo hivi mtu kama mkurugenz wa tic utaachaje kumtumbua kama kweli aliona mshahara mdogo kwa nini asingejiondoa kazini. Wapinzani hawa hawa...
  6. K

    Msigwa umechemka kumsifia Kikwete

    Tunashindwa kuwaelewa
  7. K

    Msigwa umechemka kumsifia Kikwete

    The way msigwa alivyowakilisha hoja yake. Bunge kuonyeshwa live mhm kwa taifa lakini kama wapinzani wawe ba msimamo bhana. Kipindi kile jk walimfanyia timbwili sana tu
  8. K

    Msigwa umechemka kumsifia Kikwete

    Me sijakataa bunge kuoneshwa live .....lakini upinzani wajenge hoja bila kuanza kukumbuka na kulilia. Siku zote hoja hushinda badala ya kuanza kulia lia
  9. K

    Msigwa umechemka kumsifia Kikwete

    Inakuwaje leo umkumbuke jk kisa bunge halioneshwi live
  10. K

    Msigwa umechemka kumsifia Kikwete

    Sawa sikataa jk kumsifia lakini the way walivyotuaminisha jk hafai kila akienda bungeni wanatoka huoni kama ni unafiki kuanza kumsifia hata kwa moja
  11. K

    Msigwa umechemka kumsifia Kikwete

    Akichangia bungeni alitamka bila kuficha awamu hii ya tano inataka kuminya uhuru wa habari wakati awamu ya nne ilikuwa jasiri na kurusha live bunge tunamkumbuka jk kwa kuwa jasiri wa uhuru wa habari..... Ilibidi nicheke....leo mnamkumbuka tena. Wakati jamaa alikuwa anawasigina mkatoka bungeni...
  12. K

    Msigwa umechemka kumsifia Kikwete

    Hivi upinzani msimamo wao ni upi? Kuanza kumkumbuka Kikwete mapema hivi ni kujichimbia kaburi. Msigwa kuanza kumsifia Kikwete bungeni inanipa picha kuwa upinzani unakufa mbele ya Magufuli. Mnashindwa kujenga hoja, mangapi Kikwete mlimsema leo tena mnamkumbuka. Upinzani ovyo kabisa hamna...
  13. K

    Ukistaajabu ya Kikwete utayaona ya Magufuli

    RAIS MAGUFULI ENDELEA HIVI HIV KILA MTU APATE PESA HALALI NAAMINI KABISA UKIUZA DUKA OESA UNAYOIPATA UKAIPANGIA MATUMIZI YANAYOFAAA UTAISHI VZR TU. WATU WALIKUWA WANAFANYA KUFURU TULIKUWA TUNAELEKEA KUBAYA.....SERIKALI INGESHINDWA KUFANYA MAENDELEO KISA WATU WANAPESA NA KUONEA WATU OVYO MTAANI
  14. K

    Ukistaajabu ya Kikwete utayaona ya Magufuli

    Magufuli endelea hivyo hivyo ndio maana hata wageni walikuwa wanakimbilia tanzania kwa sbb ya chepeast life....tujitume tubuni pesa halali. Fanya kazi pesa ukiipata ipange kwa matumiz sahihi. Ndio maana ulaya maisha magumu si marahisi kama unavyofikiri
  15. K

    Walimu wote wa dsm leo wanahahakikiwa mnazi

    Sorry wasecondari sina uhakika ila nao inasemekana wanatakiwa huhakikiwa leo leo fanya usogee mnazi mmoja
  16. K

    Walimu wote wa dsm leo wanahahakikiwa mnazi

    Walimu wote dsm leo full kuhakikiwa mnazi mmoja s/m hakuna mchezo watumishi hewa waishe kabisa. Fika uhakikiwe kama ni mwl wa s/m
  17. K

    TBC wakata matangazo wakati Meya wa Jiji akiongea

    Duh hata me nimeshangaa
Back
Top Bottom