unaonywa kutojihusisha na mapenzi kiholela unaweza kupata tatizo kwenye hayo mapenzi. kuwa makini na mahusiano yako kwa sasa waweza pata gonjwa baya au mpenzi jini.
Ukianzia tu huduma za maji, umeme, makazi bora, afya na makundi yenye mahitaji maalumu kama wanawake, watoto, na walemavu. Sikutegemea kama hadi leo kuna vijiji visivyo na miundombinu ya maji japo vyanzo vya maji vipo. Wafanyakazi wa serikali waliopo huko ni wale waliotoka kwenye familia duni...
kwahiyo kingereza ndo uthibitisho wa kiwango chako cha elimu? wewe Lowassa ndo kipimo chako kuwa hakuna mchafu zaidi yake? hiyo chuki unayoizungumzia ni tofauti na hii yako kwa Lowassa? kama unawaona wasafi usiwalinganishe toa facts za usafi wao. huko bandalini tangu rais aingie madarakani...
Wizara ambazo Rais amezikuta taabani kwa ufisadi hasa za uchukuzi na nishati na madini mawaziri watatu waliokuwepo wamerudishwa kuwa mawaziri. Tz haina watu wengine? au mheshimiwa Rais amejiridhisha kwa vigezo gani? ngoja tuone pengine chini yake watakuwa malaika kwa vigezo vyake.
Duh! Raaha tupu wapo wasubiri vifo na wanaoishi bila kufikiri kama kuna kufa. Maisha ya namna hiyo yataendelea nchi hii hadi kurudi kwa Yesu. Mungu ibariki Tz,Mungu wabariki wawekezaji wa ndani kwenye vitalu vya gesi na mzee wa facts na details in figures. terms and conditions to be observed.
usiogope kabisa hayo mambo yapo kwenye ndoa wanaume wengi tunalea watoto wasio wetu we kaa kimya huyo jamaa mwambie kweli mtoto ni wako ila nusuru ndoa yangu. mapenzi ni yenu nyie wawili hicho kiumbe kimetokea tu kama anahamu mpe kama kawa mumeo asijue na huyo x wako awe msaada wa kuitunza ndoa...
Mi ningeunga mkono vizuri zaidi kama leo ingekuwa siku ya kufurahia uhuru na siyo kufanya kazi kama tulianza tr 2 leo tr 9 bado tu uchafu haujaisha? basi walikuwa hawafanyi usafi wakisubiri leo pale katikati ya makao makuu ya mkoa wa Kilimanjaro hapahitaji mtu wa kufanya usafi leo coz pasafi...
nimefurahi sana kwa hii taarifa coz nilikuwa najiuliza huyu mama wamemtoa pale yuko wapi? kumbe karudi kazini kusikochunguzwa kwa majungu hongera mama yangu. thanks Logician Mkuu.
Kila mtu anayeamua kufanya jambo anajiamini kuwa anao uwezo kwani huyo mbunge wa sasa anauwezo gani kama sio chama kilimbeba na sent zileee! Za kapu la bibi? Acheni ushabiki wa kinaa huyo jamaa aende akishindwa anajipanga awamu nyingine atapita tu he is stil young man.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.