Mrejesho wa mama Neema. Je, nichukue milioni tano au niache?

funguo inayofungua kufuli nyingi inaitwa MASTER KEY..lakini kufuli inayofunguliwa na funguo nyingi ni USELESS

Hii mitazamo watu wameicreate ili kufanya cheating kwa mwanaume ionekane kitu cha kawaida, trust me hakuna justification yoyote ya kuhalalisha cheating iwe kwa me wala ke, uzinzi ni dhambi hata vitabu vya dini vinakataza, hakuna jinsia iliyoruhusiwa kuzini
 
Ichukue kwa siri kisha mpige mkwara asimwambie mtu halafu mjulishe kuwa zikiisha utarudi tena kwake....hahaha
 
Afu hao wake za watu sijui wanachepuka na mbuzi? Na wanaume wachepukaji wote wanatembea na wanachuo ama?


When a woman cheats, it's pre-meditated. When a man cheats, it's self defence. Men are always provoked into committing ze sin.

*walking away whistling*
 
Sijui niweke namba ya mama neema hapa muweze kumshauri na yeye
 
Wew lofaa iviii hujaona sehem ya jokes hadi ulete huku huu ujinga wako....ivii wew ni great thinker kweli?....unaamka asubh unawaza tuuu kutunga ujinga wako wa kuanzisha uzi humu wa kijinga kijinga..hizi habari achana nazo peleka jukwaa lingine bana
 
Mkuu ni either umtimue mke wako au umsamehe maisha yaendelee. Kuchukua pesa ni kujidhalilisha sana.
 
Chukua pesa enjoy life uyo mke ulizaliwa nae usipende mazoea yakuzoee mbaka anachepuka hakujua kuna kufukuzwa mwoneshe alichokijua baada ya kufanya ujinga matarajio take fukuza ela chukua unaomba ushauri wakati wa kuachana akati unamuoa ulimuuliza nani kuwa mwanaume mda wote unatafuta ela chukua ela Fukuza mwanamke asilete mazoea vuta mwingine nae usimweke moyoni haja nikujenga next time harudii anajua akitoka unaleta mwingine
 
Jana nilisalitiwa na mke wangu mama neema. Tulikwenda kumfumania nikiwa nipo na wazazi wake na baadhi ya ndugu zangu.
Tulipo fika huko kweli tulimkuta mke wangu yupo na yule jamaa wa TANESCO. Aisee inauma sana usiombe ikukute.
Nilitaka kuleta fujo ila wazee walifanikiwa kunituliza na kuniambia nijikaze.
Mwisho wa siku yule jamaa akaomba msamaha sana nakuahidi siku ya tarehe 13 atatoa
milioni tano kama fidia na faini.

Kweli mke wangu atembee na mwanaume mwingine mi nipewe milioni tano? Inaniuma sana tena sana. milioni tano inapoza nini kwa mke jamani.
Wanawake wanawake wanawake ni adui wakubwa sana duniani jamani kuweni makini haya mambo yanauma sana usiombe
Chukua hela ila anza kuwa makini na huyo mwanamke. Hili likitokea huwezi kumwamini tena mpaka uingie kaburini. Anza kuwa unamchunga ki ICT na ajue unamfuatilia. Kama na wewe ulikuwa na mchepuko (nadhani ulikuwa naye ndo maana akachepuka kulipiza-hili lipo sana kwa wake zetu hata awe amesoma au hakwenda shule) achana na michepuko. Jitahidi kumweka ukuni kila mara au usikute yeye anapenda D2 wewe hupendi, kama ni hivyo za wengine nawe tia zako (msemo wa JK). Asubuhi njema
 
Ukicgukua hyo pesa ujue umemtuma rasmi maana jamaa hatakubali pesa iende bure.
 
hicho ndicho ulichotaka wewe chukua lakini kubali kwa ndoa ya watatu. hiyo ni mahali hawezi kumwacha ng'ooooooo!
 
Hii pesa!!! Yani unanichukulia mke afu unataka unilipe. Ni dharau haswaa
Muachie mungu afanye kazi yake. Ila pesa usichukue
 
na ninavyomjua mama neema atakua alitoa hadi tigo kwa hilo jamaa la tanesco wakati wewe hata kugusa tu! huwa hataki,
we chukua hiyo hela na ukatafute mnyonge umchapie mke wake kujipoza machungu!
 
ningekuwa ni wew ningechukua hiyo hela tena namwambia ongezaa kbs uumchukue akinipa 20mil lol umaskin nimeuacha napiga mirad ya maana naoa na mke mwingine kbs
 
BTW. Zinaa ni deni, ukizini ww member wa familia atakulipia madeni. Je baba neema hujawahi tembea nje ya ndoa?

Kama tiyari basi tambua mama neema alikuwa analipa deni lako. Kaeni na muijenge familia, neema bado anawahitaji.

Na kama hujawah tembea nje ya ndoa. Bhasi maamzi unayo mwenyewe bila kumsahau neema
 
Umasikini ni mbaya sana, hiyo 5m ni mahari jamaa anakulipa ili kuhalalisha awe mkewe asie rasmi!
 
Usikatae pesa mkuu, next time mwambie apandishe dau walau ifike milioni 10.
 
Back
Top Bottom