Good msoka
Senior Member
- Dec 19, 2013
- 198
- 23
Nduuka kuwa mstarabu
kaka vipi tena unaita makamanda watoto,au ndo mishkaki ya Lowasa imekunukia
Ni Mwanasheria machachari George Kidindima ametangaza nia ya kugombea Ubunge ktk Jimbo la iramba magharibi 2015 kupitia CHADEMA
-Kidindima amepata kuwa Mhadhiri msaidizi ktk Chuo ya uhasibu Singida campus pia ni mwandishi wa vitabu kadhaa vya business law,
Source;Mwigulu nchemba vs Kitila mkumbo(fb group)
Binti Kishoa vp tena? Mtabadilisha sana, kweli Mwigulu noma.
songela ....lengo ni kumtoa nyang'au mwigulukila mtu anayeamua kufanya jambo anajiamini kuwa anao uwezo kwani huyo mbunge wa sasa anauwezo gani kama sio chama kilimbeba na sent zileee! Za kapu la bibi? Acheni ushabiki wa kinaa huyo jamaa aende akishindwa anajipanga awamu nyingine atapita tu he is stil young man.
kitila ni msaliti hafai hata kidogo,huku iramba hawamtaki tena
songela ....lengo ni kumtoa nyang'au mwigulu
kaka vipi tena unaita makamanda watoto,au ndo mishkaki ya Lowasa imekunukia
Nimeamini kwamba 'MWIGULU NI HOMA YA JIJI KWA MAGWANDA!'
NA HII NI KWELI KABISA!