Ngorika lipo siku hizi. Nakumbuka safari ya Kwanza toka dar to Moshi nilipanda basi linaitwa MBAZI sijui. Kwa kweli nilijuuuuuuuuuta, ndani gari ni siti 3 Kwa 2 afu ni zinabana miguu kama mtu ni mrefu nilijikuta nimekaa kupande toka dar mpaka nashuka moshi Kwa kweli nilijuta sana lile gari.
UONGO. Unataka kusema hao wanunuzi walikuwa wakikungoja ww utoke mjini ukawakusanyie karanga huko kijijini??? [emoji38][emoji38][emoji38]
Je ulipokuwa unatoka mjini hukujua unaenda kufanyaje huko bushland tena ukiambatana na mkeo, maana umesema ni mwenyeji WA huko [emoji35][emoji35]
Ndani ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.