Ndoa inategemea ww muhusika unaitaka ya kawaida au ya misifa hapo ndio kuna mi stress kibao kama yangu ilikua ya simple sana kama yangu ilikost 300,000/=tu wageni kama kumi hiyo haihusiani na pete
Sent using Jamii Forums mobile app
Ipo vizuri hata ulaji wake wa Marita poa ila ukinyoosha mguu kuanzia 80km/ph inaanza kujiachia pia ipo comfortable sana spear zipo tele
Sent using Jamii Forums mobile app
wakuu Nairobi zipo nyingi angalia olx Nairobi.pia hebu jaribuni Ku Google simu inaitwa g5 nzr sana ni likuta zipo Lilongwe Kwa kwacha 40000 hapo zidisha Mara 37 una pata tsh yetu.
Hata huku moshi zipo wanachimbia chini,tu penye mito ndio wana pitisha juu ktk vijinguzo vidooogo!!!!kama ni 4g poa maana huku moshi kuna maaeneo tunaenda kutega ndio tupate H+ ile ya airtel....kazi kweli
Habari wana JF,
Nataka kuuza CD, DVD za tamthiia za Kikorea na Bongo Movie pamoja na Empty DVD.
Hivi vitu vyote nahitaji ktk office yangu vya kuuza kwa watu wa bushi kwangu .
Asanteni
bado inawaka tu haioneshi kitu zaidi ya monitor inawaka na kama inaload window alafu inazima na kuanza tena,model CPU NI TSUNAMI NA MONITOR SAMSUNG.....
Salamu wana jf,computer yangu ilizimika ghafla nikiwa naangalia filamu kabla sijainuka umeme ukarudi tena na kuzima,sasa inawaka tu bila kuonesha window shida ninini hapo.
Mkuu nimefanya kaz hizo tractor simchezo moja ilikua 390e na290e kaka acha mchezo ziko vzr sana 290ilinunuliwa ubungo pale carjunction kwa 25ml 390 ilinunuliwa shamba la chai pale iringa.. Spare zipo sema uko wapi kuna fundi anazunguka kote
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.