Jamani msijifanye kukoment mambo ya DMV wakati hamyajui, shut a f..kc up. Subirini matokeo huyo Libe au Sandally hammjui cc ndio tunawajua.Acha movie iendelee kalaleni.
Jamaa wawili waifanya interview ya kazi ,bahati nzuri au mbaya wakapata 90% wote wawili na kufungana. Boss akampa kazi yule mtahiniwa wa kwanza.Yule wa pili akaenda kulalamika kwa nini hakupewa kazi na wamepata marks sawa.Boss akamwambia swali la mwisho ameandika I don't know the answer...
hao jamaa ni wakali wakuchambua mada(mashaka na shayo) ukisoma makala zao utawaaminia sana. Hata kama wamesomea uvuvi wa samaki lakini kitaaluma wamekubuhu.
haa we vipi kwani whats the limit? how many business is he suppose to have? ... as far as I know you can have as many as u can In Tz,waswahili bwana ,huo ni wivu na chuki binafsi.
Wewe hapo juu unaongea unachokijua au unakijua unachokiongea???? Je unaishia wapi na hizo data zako unazipata wapi,nadhani labda wewe ndio looser,kama upo USA anza kwanza wewe kurudi bongo kama maisha yamekushinda.
Hata mimi niliyaona hayo matokeo nikafikiri ni MTS nyingine sio ile ya zamani,tulipokuwa pale miaka ya 80 hadi tisini ilikuwa target ya students wengi ni div 1 na wengi waliipata,na ungeweza kumwona mtu anavyosoma ukamwaambia atapata div 1 na kweli akapata. Nadhani kwa sasa labda starehe na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.