Wa watu Laki 1 sijui elfu 80 ni ufafhili wa Morocco,fuatilia kujua kama wamejitoa. Ila huo wa elfo 30 ni pesa za ndani utajengwa Dodoma, Arusha-Lemguru, na Mbeya
Nawasalimu Waungwana wa JF,
Mwanzo mwanzoni nianze kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa uhai na afya anazotujalia hata kuendelea kupashana habari za hapa na pale kupitia mtandao wetu huu pendwa wa JamiiForums.
Hivi punde, Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan amefanya mabadiliko kwenye Baraza la Mawaziri...
DTT ni Digital Terestrial Transmission yaani matangazo yanayorushwa kutokea ardhini sio angani kwenye satellite.
Huyo Danstun Dito Mhando hakuondoka TBC kipindi cha Magu bali JK. Kisa aliruhusu wapinzani waeleze sera zao kupitia TBC. Makamba akamtemesha mzigo., akaenda Mwananchi kisha Azam
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.