Rejea kichwa cha uzi, mimi ni kijana mwenye degree ya ualimu natafuta kazi ndani ya field na hata nje ya field ya Elimu. Uzoefu ni katika kazi ya ualimu, cashier katika hospitali na Supervisor katika kituo cha chakula.
Asanteni
Habari wanaMMU,......
Nimekua nae kwenye mahusiano kwa muda wa miaka mitatu, nampenda na niliamini ananipenda pia.
Mwezi huu nimejigundua kuwa Nina ujauzito wake, niliopomwambia anadai nitoe kwa kisingizio kuwa mimi niko shule( niko chuo kikuu).
Nikamjibu sitaweza, akanambia sawa ila yeye...
Salam zenu!! niko hapa RITA nafatilia cheti changu cha kuzaliwa zaidi ya wiki moja, kila nikija nazungushwa njoo kesho, njoo kesho. Cha kushangaza kuna watu nawajua wamekuja siku yakwanza ya pili wamepata cheti!!! kwani mnatumia vigezo gani kutoa hivyo vyeti?? Najua mpo na mtanijibu
Habari za asubuhi jaman...once again i wanna share this sweet en unique feelngs am feelng right now with you! I feel like am flyng witht wings, i feel yonger like a one year gal....am in love once again. ts only now that i realze that whnvr happs ts happen 4the best! am so happy
Habari zenu, naamini mko wazima.
Niko kwenye mahusiano nae kwa muda wa miaka minne, tunapendana sana na hajawahi onesha kunivunjia heshima hata siku moja, isipokua migogoro midogomidogo ya kawaida, katikati ya mwaka jana albadlika, kila nikimpgia simu eti yuko busy. Mimi niko Dar yeye yuko nje...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.