Hakuna muda maalumu. wapo watu wanasema miezi 6 lakini mimi nakushauri uanze as soon as possible, ukijigundua tu mjamzito anza clinik kwasababu hakuna unacholoose ukianza. kama kuna tatizo litagundulika mapema na kufanyiwa uvumbuzi, hii itakuweka wewe katika nafasi nzuri za kujIfungua mtoto salama mwenye afya na wewe mwenyewe kuwa salama. ujauzito unamambo mengi mdogo wangu usidharau nenda kaanze clinik. unaweza ukajiona sawa kumbe mimba imetunga nje ya mji wa mimba, unaweza ukawa na upungufu wa damu au madini joto. ukianza clinic vitajulikana na kupatiwa ufumbuzi.. KILA LA KHERI.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.