Walishawahi kuwa Lieutenant Generals zaidi ya wawili kwa wakati mmoja
- Wa kwanza alikuwa Chief of Staff
- Wa pili alikuwa Lt Gen Charles Makakara, Mkuu wa NDC( National Defence College)
- Wengine nimewasahau.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi5 - Military Intelligence Section 5 . Kwa sasa wanaitwa Security Service
Mi6 - Military Intelligence Section 6 . Kwa sasaa wanaitwa Secret Intelligence Service(SIS)
Hizo taasisi mbili zina " Military" hapo kwasababu zilianzishwa World War 1 ambapo taasisi zote za ulinzi na usalama zilikuwa...
Askari 200 ni wengi sana. Hiyo ni sawa na Battalion moja ya kimapigano.
Military Science inasema section/fire team moja ina askari 9. Section tatu zinatengeneza platoon. Platoon tatu zinatengeneza
Company(Kombania). Kombania tatu zinategeneza Battalion(Kikosi). So 9 * 3*3 * 3 = 243 Soldiers.
Private
Lance Corporal
Corporal
Sergeant
Staff Sergeant
Warrant Officer level 2
Warrant Officer Level 1
Second Lieutenant
First Lieutenant
Captain
Major
Lieutenant Colonel
Colonel
Brigedier General
Major General
Lieutenant General
General
Field Marshall
Commander In Chief -...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.