Applicants currently employed in the Public Service should channel their application letters through their respective employers. Non-disclosure of such status will lead to automatic disqualification.
kuna nafasi za kazi zimetangazwa, hiko hapo juu ni moja ya kigezo ambacho kinanihusu.Hapo...
Hii ni mahaalum kwa kwa wapenzi na wanandoa, ni time yako tena ya kuenjoy katika msimu huu wa wapendanao.huu ni mzigo wa valentine day 2016 tunaingia hotelin jumamosi mapena sana, breakfast, baada ya hapo bonding time ya kutosha,na wale wa kupenda swimming msiache kuja na vifaa
Jumapili ni...
Duh umenikumbusha miezi kama nane iliyopita, mwenzio niliblokiwa kuanzia instagram, facebook,na kote unakokujua ila nilipiga moyo konde nikamove on na yeye anaenjoy maisha na mtu wake, huku akiniacha njia panda bila ya kujua la kufanya
Naomba Mungu anivushe salama mwaka huu,ila nikushauri...
Pole kaka, mimi naomba nikushauri kitu kimoja, usije kuwaza kumwacha mkeo kwa sababu hautakuwa umetatua tatizo bali umeongeza tatizo, cha msingi hapo kaa naye chini ongea naye vizuri mwambie unavyojisikia juu yake, nini unakipenda na nini hukipendi juu yake kisha mpe room/ nafasi na yeye...
Kaka pole sana kwa yaliyokukuta, piga moyo konde then move one mungu wetu ni mwema sana hapo amekuepusha na matatizo makubwa sana, kitu ambacho kinakusumbua ni muda mliokaa na huyo mtu lakin hio haijastify kuwa umuoe
Ni bora umeona ubaya wake ss hivi kuliko mngekuwa mmeshafunga ndoa, tulia...
Hivi tukisema muache utakubali? anyway hayo ndio maisha ya mapenzi, ni bora amekuonesha mapema hizo dalili za jeuri na kiburi sasa maamuzi unayo mwenyewe kama utaweza kuvumilia hizo tabia kwa maisha yako yote endelea naye ila kama unaona kabisa huwezi ni bora ubadili mawazo
Failure= few...
pole sana kaka, sio muda wa kujilaumu huu tena deal na tatizo.Uaminifu ni kama mshahara fanya kazi ili uupate, wewe umeshavunja uaminifu kwa mkeo kwa tamaa mimi ninaziita za kijinga now you have to swallow ur pride
Kuna kitu kimoja watu wanapaswa kujua, ukioa au kuolewa sio mwisho wa wanawake...
Katika ndoa nyingi kumekuwa na changamoto mbalimbali ambazo baadhi hutatuliwa na wanandoa wenyewe na nyingine huitaji ushauri wa kitaalamu, Mtaalamu wa saikolojia ya mapenzi aliye na uzoefu wa muda mrefu katika masuala ya mahusiano Dr. chris mauki ameandaa event mahalumu kwa ajili ya wanandoa...
Kwa upande wangu naona tatizo lipo kweli kwa wanawake waliosoma,japo sio wote wapo hivyo.Shida inakuja pale kunapoibuka jambo dogo tu katika ndoa basi mwanamke ambaye n msomi atatumia elimu yake kujenga hoja na kutafuta logic na justification wakat kwenye mapenzi n kuelewana tu
Sasa ndio...
Pole kaka kwa ushauri wangu jaribu kuwa mbali na vitu vyote ambavyo vitafanya uzidi kumkumbuka
Na usidhani itakuwa rahisi sana kumsahau but u have to be a real gentleman
Kuwa bize na mambo yako, tafuta marafiki wapya wa jinsia zote za kike na kiume
Usipende sana kuintertain mawasiliano na...
Point ya mwish inanihisu mm kabisa,nilikuwa na msichana hakuwahi kuniweka profile picha hata siku moja
Kumbe ndio maana.ila namshukuru mungu tulishaachana miezi mmnne iliyopita na ishara zote za hapo juu za michepuko ndio sababu ya kuachana kwetu
so sad madada ila inavyoonekana wewe na huyo kijana wako hamkuwa mnapendana kiukweli, kwa uzoefu wangu katika mapenzi ikitokea mmoja anampenda sana mpenzi wake alafu mwenzie akachulia for granted lazima kutatokea migongano.Kuanzisha mahusiano ndani ya week mbili its not fear at all, coz kijana...
in my life i have came to realize the importance of English language as medium of communication that every one needs to learn to speak and write it correctly.why...the reason is either you like or not english is international language of which is used in business, technology,politics,etc. and as...
Sifa za huyo mwanamke awe anapatikana Dar es salaam, awe mkristo na mcha Mungu, miaka kuanzia 23-26.awe ni mtu wa kujishughulisaha either amehajiriwa au amejiajiri.
Imani yangu ni kwamba yupo ambaye atajitokeza na mambo yatakuwa mazuri
Habari zenu wakuu wa jukwaa hili,ninatumia simu aina ya Gowin m7,sasa tatizo nililokutana nalo katika simu hii no kwamba nashindwa kuwasha 3G katika simu yangu hii.
Naamini JF ni sehemu sahihi,kwa yeyote mwenye uelewa was jambo hili naomba anisaidie.Natakuliza shukran zangu kwenu wakuu na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.