Kwa wapenzi wa playstation games,mashine ps2 inauzwa bado ipo katika hali nzuri.inacheza games za kwenye flash na kwenye cds.inakila kitu chake pamoja.
-Unapata mashine yenyewe.
-pads mbili original
-flash yake 8GB ina games tatu (FIFA2015, GTA SAN ANDREAS na NEED FOR SPEED)
-memory card yake...
young_mesult 14:07 Today
oi wadau nahitaji playstation 3 iwe inacheza games za memo,bajeti 400k tsh.
pia kama mtu ana ps2 nazo zinacheza games za kwenye flash nahitaji,bajeti 100k tsh.
oi wadau nahitaji playstation 3 iwe inacheza games za memo,bajeti 400k tsh.
pia kama mtu ana ps2 nazo zinacheza games za kwenye flash nahitaji,bajeti 100k tsh.
Habari za mchana wana JF.
Kuna mdogo wa rafiki yangu amekosea namba ya kujaziaa form zile za TCU, amejaza ya mwenzake wa pembeni yake sasa hapo itakuaje maana info zingine kama jina mahali yote ya kwake ila namba ya mtu mwingine naomba ushauri hapo ni muhimu sana.
Habari zenu wapendwa...
Ni hivi kati ya land manangement na geomatics ipi ni kozi nzuri zaidi..zote zinatolewa ardhi zote miaka 4 zote ni priority katika mikopo...naomba kujuaa ipi ni nzuri zaidi katika soko la ajira bongo kuanziaa kujiajiri mpaka kuajiriwa...
msaada wenu kwa hili please!
Habari wana JF..katika vyuo vilivyotajwa hapo kipi ni kizuli kwenda kusomea kozi za engineering kama civil etc..kuanzia mazingira mpaka ubora wa elimu.
msaada wakuu!
Eti wenzangu wana JF ushauri wenu ni wa muhimu..ipi ni nzuri zaidi ya mwenzake kati ya geomatics na civil kuanzia upande wa upatikanaji wa ajira bongo hadi inavyofundishwa vyuoni..kwa anayejua msaada.
Habari zenu mliomaliza form6 mwaka huu..ni hivi nakumbuka ilipofika wiki ya mwisho ya kufanya mtihani necta walituma walaka mashuleni kuhusu huu mchanganuo yaan i:3-7 ii:8-9 iii-10-13 hivyo pasi swali likawa je sifa za mtu kuhingia chuo ni vipi..kwenye huo walaka chini wakasema atleast mtu uwe...
Habari Zenu Wana JF Matokeo Ya BRN Ndo Yashatoka Sasa Nawapongeza Wote Waliotopoaa...
Ni Hivi Kuna Dogo Langu Hapa Alikua Anasoma PCM amepata III-11 Na Kwenye Combination Kapata CBC..Sasa Wadau Dogo Anaitaji Ushauri Wenu Akasome Kozi Gani Chuo Hilo Ndo La Muhimu Hapa...
hivi kwa kawaida kabisa bila kutumia madawa wala kirevi chochote mwanaume utakiwa kutumia dakika ngapi kufika kileleni....kwa bao la kwanza na mengineyo.....naombeni msaada wenu wana Jf
ndugu naombeni msaada wenu...nimedondosha iphone yangu na kioo kimealibika hiv kwel kwa hapa tanzania nitapata wap display.....na kwa anayejua bei anitajia....hii serious jaman nashida
Mimi ni kijana wa miaka 20 natafuta marafikiwa kuchat nao kujuana hali, kutembeleana nao yaan ku have fun kama ma best friend...ukiwa tayari naomba tuwasiliane,plz uni PM.
Kwanza nawapa heli ya mwaka mpya wana JF...Wenzangu me navyojua kwa kawaida mwanaume akifika kileleni umwaga manii,sasa tatizo langu ni kwa jinsia ya kike..hivi wakifa kileleni huwa inakuaje,pili kwa kawaida utumia muda gani kufika huko!maana hapa mtaani tunadanganyana sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.