young_mesult Senior Member Oct 11, 2012 133 35 Oct 13, 2012 #1 natafuta msichana aliyechuo kikukuu kati ya umri wa miaka 20-26 awe anayajua mambo kidogo
HIMARS JF-Expert Member Jan 23, 2012 69,364 94,544 Oct 13, 2012 #2 Weka CV yako na huyo aweje unaemtaka Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
Leak JF-Expert Member Feb 22, 2012 52,206 42,068 Oct 13, 2012 #3 Kuna mtu atakuja kwako akwambie ajui mambo? Kila lakheri.
R raia_mwema JF-Expert Member Oct 10, 2012 479 313 Oct 13, 2012 #5 young_mesult said: natafuta msichana aliyechuo kikukuu kati ya umri wa miaka 20-26 awe anayajua mambo kidogo Click to expand... upuuzi nani kwakwambia hapa ni pa kutafutia wachumba!? kama upo dar nenda pale buguruni chama wapo kibao
young_mesult said: natafuta msichana aliyechuo kikukuu kati ya umri wa miaka 20-26 awe anayajua mambo kidogo Click to expand... upuuzi nani kwakwambia hapa ni pa kutafutia wachumba!? kama upo dar nenda pale buguruni chama wapo kibao