Kheri ya mwaka mpya wanajamvi.
Nina ndugu yupo U.S nataka niende huko ila napenda kama nikienda basi niende nikasome katika fani ninayoipenda yaani mechanics sasa sijui kwa elimu yangu itaewezekana au nibaki bongo tu nikasome VETA.
Hi every body!
naomba ufafanuzi hapa,ukitaka kwenda kusoma marekani kwa level ya advance secondary ni shart uwe na level ipi ya elimu ya hapa tanzania? na ukisoma advance ya marejani unaweza kujiunga na chuo kikuu cha Tz na kupata mkopo?thank you.
Hi every body!
Naomba ufafanuzi hapa, ukitaka kwenda kusoma Kenya kwa level ya advance secondary ni sharti uwe na level ipi ya elimu ya hapa Tanzania? na ukisoma advance ya Kenya unaweza kujiunga na chuo kikuu cha Tanzania na kupata mkopo? Thank you.
muhali gani wanajukwaa wezangu!nimemaliza kidato cha nne mwaka 2008 takribani miaka tisa imepita.Kwasasa nimeajiriwa nahitaji kujiendeleza ila lazima nipitie A level .Je ninaweza nikamudu masomo ya a level kwa komb ya pcm maana nimemaliza shule miaka mingi hata yale mafomula ya hesabu nimesahau.
Natumai hamjambo, wale walioamka na matatizo mbalimbali poleni sana na Mungu muweza atawapa urahisi kuondokana na matatizo hayo.
Baada ya salamu niingiie kwenye swali langu ambalo nikutaka kujua ikiwa mwanafunzi ana C mbili za masomo ya sayansi (Biology na Physics), C moja ya somo la sanaa(...
habari,mimi ni mwl.wa shule za msingi napenda
kuhamia Dodoma wilaya yoyote ile kama umepangiwa Dom na ungependa kuja
mara call:0756079492,0783194892,0657853544.asante.
habarini wana mmu,kwa utafiti wangu nimeng'mua kuwa,wake za walimu wa shule za msingi walio wengi ni wazuri wa tabia,sura na umbo lakini ni magolikipa!sijui kwa nini?Hii inapelekea walimu wengi kuwa maskini wa kudumu.Wake wengine wa walimu wa shule za msingi walio wengi wanazo ajira na wana...
kuna
rafiki yangu ana mwaka1kwenye ualimu ktk kijji cha mkoa wa mbali na
nyumbani,anapita mikoa6 had kufika huko,anang'ang'ania kuacha kazi,
sijui hata nimshauri vp ndugu zangu wanajf!sababu za kuacha kazi hyo ni
kama zftzo: , ana ujuz wa ufund umeme anaweza wiring ya majengo na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.