Kuna ulazima wa kureseat kwa matokeo haya?

My Mud

Senior Member
Oct 5, 2012
108
17
Natumai hamjambo, wale walioamka na matatizo mbalimbali poleni sana na Mungu muweza atawapa urahisi kuondokana na matatizo hayo.

Baada ya salamu niingiie kwenye swali langu ambalo nikutaka kujua ikiwa mwanafunzi ana C mbili za masomo ya sayansi (Biology na Physics), C moja ya somo la sanaa( Kiswahili) na F ya Math mwanafunzi huyo ataweza kufanya mtihani wa kidato cha 6 kwa comb ya PCM katika kituo cha mitihani au ni lazima areseat math?
 
uwe na f ya number alaf usome pcm? na hyo bios ya nn ktk comb ya pcm? yaan kwa PBK mbona hazna mahusiano? hpo reseat tu ndugu huna budi kufanya hvyo! kwa ushaur rudia maths& chemistry na ujitahid zote uzipatie credi hpo utakua na two option ya kusoma pcm or pcb
 
Natumai hamjambo, wale walioamka na matatizo mbalimbali poleni sana na Mungu muweza atawapa urahisi kuondokana na matatizo hayo.

Baada ya salamu niingiie kwenye swali langu ambalo nikutaka kujua ikiwa mwanafunzi ana C mbili za masomo ya sayansi (Biology na Physics), C moja ya somo la sanaa( Kiswahili) na F ya Math mwanafunzi huyo ataweza kufanya mtihani wa kidato cha 6 kwa comb ya PCM katika kituo cha mitihani au ni lazima areseat math?
mkuu nicheki kwa 0713 308 881 kwa ushauri zaidi
 
Mkuu hapo hata kwa private hawez kusoma pcm kwasababu ana F ya math, ni lazma uwe na pass mark kwanziaa D kwenye comb yako, lbda akajiandikishe kama Pc, afanye mtihan 4m6 kama pc nimeona niliomaliza nao ambao walikuwa na F kwenye comb zao wakajiandikisha kama ma Pc na wakafanya mtihan wa 6
 
Back
Top Bottom