SI KWELI Threads

  • Article Article
Nimekutana na post katika mtandao wa X ikisema Wimbo wa Nay wa Mitego alioutuoa hivi karibuni umefutwa na yeye hajulikani alipo, je kuna ukweli wowote?
1 Reactions
1 Replies
2K Views
  • Article Article
Salama wakubwa wa JamiiCheck? Katika pitapita zangu mitandaoni kuna mtu nimeona akishauri kuwa ni vizuri kumnyoa mtoto mchanga nywele alizozaliwa nazo ili mtoto akue vizuri. Amedai kuwa mtoto...
0 Reactions
2 Replies
5K Views
  • Article Article
Mindyou
SI KWELI LGE2024 
Wakati Chama Cha Demokrasia na Maendeleo Chadema kikitangaza kufanya Maandamano ya amani leo Jijini Dar Es salaam chini ya Mwenyekiti wake Freeman Mbowe, Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Christian...
1 Reactions
16 Replies
3K Views
  • Article Article
Haijathibitishwa
17 Reactions
128 Replies
17K Views
  • Article Article
Salaam Wakuu, Nimekutana na chapisho hili kutoka Twitter, ina ukweli?
0 Reactions
5 Replies
1K Views
  • Article Article
Je, Kuna ukweli kuwa unywaji wa Bia kwa wingi kwa mwanaume hupelekea kuongezeka kwa homoni za kike, na mwisho kupelekea mwanaume kupata ugumba? Video inayozungumziwa (Chanzo: Times FM) Picha...
0 Reactions
28 Replies
4K Views
  • Article Article
Nimeona video ikizunguka kwenye mitandao ya Kijamii ikonesha kuwa jioni ya leo, mwenyekiti wa CHADEMA amesitisha maandamano yaliyokuwa yafanyike Septemba 23
1 Reactions
257 Replies
10K Views
  • Article Article
Nimekutana na post inasambaa mtandaoni Tundu Lissu akisema anaunga mkono ushoga na video ina maneno yanayosema "Lissu akiri kuunga mkono mapenzi ya jinsia moja" je post hii ina ukweli wowote?
0 Reactions
0 Replies
927 Views
  • Article Article
kuna ujumbe unasambazwa kwenye makundi ya whatsapp ukidai kuwa kuna namba ikikupigia ama kutuma ujumbe na ukijibu unapoteza maisha kwani mtumiji wa namba hiyo anatafuta damu za watu ni kweli?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
  • Article Article
Nyendo
SI KWELI 
Barua hii ikionesha Mpando wa CHADEMA kundamana ni ya kweli?
0 Reactions
0 Replies
936 Views
  • Article Article
Naomba msaada kujua uhalisia wa swala hili upoje juu ya makubaliano yaliyosainiwa kati ya serikali ya Kenya na Ujerumani kubadilishana wafanyakazi 250,000 kutoka Kenya.
1 Reactions
2 Replies
695 Views
  • Article Article
Hivi ni kweli kwamba kinyonga akiwa anazaa hupanda juu ya mti na kujirusha chini hali inayopelekea tumbo lake kupasuka na kufariki?
2 Reactions
1 Replies
3K Views
  • Article Article
Baadhi ya jamii huamini kuwa ulaji wa limao na ndimu husababisha upungufu wa damu mwilini. Uvumi huu uliosambaa kwenye maeneo mengi hutoa maonyo makali hasa kwa watoto na wanawake wenye...
8 Reactions
9 Replies
7K Views
  • Article Article
Limeandika Gazeti la Nipashe kuwa Mbowe amemtuhumu Lissu kuhusika kwenye kifo cha Mzee Ali Kibao. Taarifa hii ina ukweli?
4 Reactions
20 Replies
2K Views
  • Article Article
Just Pray
SI KWELI LGE2024 
Nimeona poster ya The Chanzo yenye picha ya Freeman Mbowe ikiwa na maelezo ya kwamba Mwenyekiti huyo wa CHADEMA amemshukuru Rais Samia kwa kuungana na CHADEMA Kuomboleza msiba wa mzee Kibao, je...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
  • Article Article
Nimeona video ikisambaa toka jana ikimuonesha Tundu Lissu akiwa anazomewa na watu waliokuwepo kwenye mkutano na waandishi wa habari uliofanyika jana tarehe 11/09/2024 wakimzomea na kumuita YUDA je...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
  • Article Article
Nyendo
SI KWELI 
Baada ya Lissu kunyimwa funguo za Mikocheni ameamua kususa nafasi yake imezibwa rasmi na Catherine Ruge, Wasalimie sana ACT Wazalendo.
1 Reactions
5 Replies
2K Views
  • Article Article
Salaam Wadau wa Michezo, Kuna taarifa nimeiona inadai kuwa Willy Esomba Onana aliyekuwa mchezaji wa Simba SC msimu uliopita ameibuka shujaa kwa kufunga mabao matatu katika mchezo wake wa kwanza...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
  • Article Article
Habari Wakuu, nimekutana na picha ikimuonesha Mbowe amepiga picha mbele ya TV huku nyuma kukiwa na chupa ya Konyagi. Je, picha hii ni halisi? ---
0 Reactions
27 Replies
2K Views
  • Article Article
Habari wakuu, nimeshangaa sana kuona WASAFI TV ikitumia lugha ya kihuni tena yenye maudhi katika uwasilishaji wa taarifa. Chombo mahili hakiwezi kutumia neno 'usela mavi' katika kufikisha...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom