SI KWELI Threads

  • Article Article
Huihui2
SI KWELI 
Kwenye hizo audio mbili yasemekana Serikali inaidai kampuni ya Vodacom "tozo" au "kodi" kutokana na fedha zinazowekwa na wateja wake kwenye AKAUNTI ya M-Koba. Kuna hatari Akaunti hii inaweza...
2 Reactions
16 Replies
4K Views
  • Article Article
Nmeona tangazo kwenye baadhi ya makundi huko mtandaoni kuwa Tume huru ya Taifa ya Uchaguzi imetangaza nafasi za kazi kwa ajili ya uchaguzi wa serikali za mitaa.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
  • Article Article
Nyendo
SI KWELI 
Wakuu nimekuwa nikiona watangaza bidhaa za dawa za tiba asili wanadai dawa zao hazina kemikali kabisa na kusisitiza watu kutumia hizo badala ya za hospitali ambazo huwa na kemikali. Nimekumbuka...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
  • Article Article
Wakuu, Kuna ujumbe huu umekuwa ukisambaa sana kwenye magroup za Whatsapp na nyingine zikitumwa na watu unaowafahamu. Kuna mtu nimemwambia huu ni utapeli anabisha anaona kama namnyime fursa...
0 Reactions
21 Replies
2K Views
  • Article Article
Katika pitapita zangu nimekutana na hii situation ikijadiliwa kuwa wakati wa mawio hadi kufikia mida ya saa 2 na pia mida ya kuanzia saa 12 kasoro mpaka jua linapochwaa, hilo jua tunaloliona si...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
  • Article Article
Video hii hapa chini inadai Rais wa Marekani atahamia Zanzibar. Ina ukweli? Video ya Rais Biden
0 Reactions
21 Replies
4K Views
  • Article Article
Suley2019
SI KWELI LGE2024 
2 Reactions
24 Replies
3K Views
  • Article Article
Nyendo
SI KWELI 
Nakumbuka shule niliyosoma tulikuwa tunawekewa mafuta ya taa kwenye chakula, Katika kudadisi kwa nini watuwekee mafuta hayo niliambiwa kuwa wanatuwekea ili kutufanya tusiwe na hamu au kupunguza...
1 Reactions
21 Replies
3K Views
  • Article Article
JUMA JUMA
SI KWELI LGE2024 
Na Mwita Mwija Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika ameeleza kuwa kutokana na uhaba wa fedha, kwa sasa wagombea wote ngazo za mitaa, vijiji na vitongoji lazima wachangie kukiwezesha chama...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
  • Article Article
Beast of no nation
SI KWELI LGE2024 
Nimekutana na hii video je, haya maneno ni kweli anayasema Mnyika
0 Reactions
1 Replies
1K Views
  • Article Article
Baada ya mipango yao ya kuandikisha watoto kufeli leo Chama cha Mapinduzi kimesema kinahujumiwa na viongozi na mawakala wao na watendaji wa serikali za mitaa.
1 Reactions
7 Replies
1K Views
  • Article Article
Beast of no nation
SI KWELI LGE2024 
Kumekuwepo na taarifa ikieleza kuwa Katibu mwenezi wa BAWACHA taifa aliyetekwa huko kibiti kkuwa sababu ya kuofanyiwa hivyo ni kutokana na kutembea na wanaume wa watu, Je ni kweli?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
  • Article Article
Just Pray
SI KWELI LGE2024 
Wakuu leo mapema nimekutana na hii barua nimepata mashaka kama imetolewa kweli na BAVICHA tafadhali naomba msaada wa kujua uhalisia wa barua hiyo kwa umma.
1 Reactions
1 Replies
3K Views
  • Article Article
Katika Uchunguzi uliotajwa na Jarida la MailOnline, unasema kuwa UBER wamekuwa na tuhuma hizo za kuchaji wateja bei kubwa kama simu zao ziko low Battery. kwasababu wanajua unaharaka, na huna...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
  • Article Article
Just Pray
SI KWELI LGE2024 
Nimekutana na poster yenye taarifa kuhusiana na ubalozi wa Marekani kuisaidia CHADEMA kufanya maandamano, je ni upi uhalisia wake?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
  • Article Article
Kutoka kwa Mdau ===== Je, ni kweli Jimbo la Texas lilinunuliwa na Marekani kutoka Canada Mwaka 1920?
0 Reactions
9 Replies
4K Views
  • Article Article
Wakuu Salaam, Nimekutana na na barua ambayo inasambaa mtandaoni ambayo inaonekana kama imeandikwa na Naibu wa Rais wa Kenya ikiwa na dhumuni la kujiudhulu, je kuna uhalisia wowote juu ya suala hili?
0 Reactions
30 Replies
3K Views
  • Article Article
Mawele
SI KWELI 
Nimekuwa nikisia mara nyingi kuwa kunguru akifa haozi, bali hukauka tu na kadiri siku zinavyozidi kwenda hupukutika mpaka kuisha ila huwezi kuta kaoza wala kutoa harufu. Badhi ya watu huwa...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Back
Top Bottom