SI KWELI Threads

  • Article Article
Just Pray
SI KWELI LGE2024 
Wakuu nimekutana na video inayosambaa kwa kasi sana mtandaoni ambapo wanaonekana John Mrema na John Mnyika, na Mrema akisikika kuwa atatoa maoni juu ya usafiri huo mara baada ya safari kukamilika...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
  • Article Article
Wakuu habari, Leo katika pita pita zangu nikakutana na uvumi kuwa mtu akila Tango na Asali anaweza kufa. Je kuna ukweli wowote juu ya hilo? Na kama kuna ukweli chanzo kitakuwa nini?
9 Reactions
76 Replies
22K Views
  • Article Article
Nisaidie kupata hii habari kama ni kweli
0 Reactions
1 Replies
2K Views
  • Article Article
Suley2019
SI KWELI LGE2024 
Wakuu nimekutana na hii, ina ukweli?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
  • Article Article
Hii picha inayosambaa mitandaoni ikionesha nyumba za bati na kuelezwa ni za jeshi la polisi, imekaaje wadau?
0 Reactions
10 Replies
2K Views
  • Article Article
Beast of no nation
SI KWELI LGE2024 
Nimekutana na hii poster, ni kweli?
0 Reactions
1 Replies
412 Views
  • Article Article
Salaam Wakuu, Nimekutana na Barua hii mtandaoni, nasikia CHADEMA wametema bungo wanataka kujitoa kwenye Uchaguzi wa Serikali za mitaa. Kuna ukweli hapa?
0 Reactions
2 Replies
745 Views
  • Article Article
Wakuu Salaamu, naomba msaada kufahamu uhalisia wa hii picha niliyokutana nayo mtandaoni ikidaiwa kuwa Mwaka 1973 viwanja vya mnazi mmoja zilikusanywa Land Rover takribani 350, na Baba wa taifa...
0 Reactions
1 Replies
741 Views
  • Article Article
Je ni kweli mnyama Tembo huwa hawezi kulala kama wanyama wenzie na akilala kama wanyama wenzake hupelekea kifo kwasababu ya uzito wa mwili wake
1 Reactions
1 Replies
906 Views
  • Article Article
0 Reactions
2 Replies
744 Views
  • Article Article
Huyu ni mnyama mkali sana, mkorofi, na mwenye nguvu katika jamii ya paka. Akiingia bandani, anondoka na kuku mzima na anaenda kula kichwa mpaka shingoni. Kama ni kifaranga, anakula chote au...
12 Reactions
113 Replies
6K Views
  • Article Article
chiembe
SI KWELI 
Chadema imewapiga marufuku maelfu ya watanzania ambao wana elimu ya msingi na kidato cha nne wasigombee uongozi wowote katila chama hicho katika uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa...
4 Reactions
115 Replies
4K Views
  • Article Article
Wakuu Salaam nimekutana na taarifa mtandaoni ikisema kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Wilaya ya Itilima Mkoani Simiyu, Ndugu Terry Kilugala, na Katibu wake wa Wilaya ya Itilima, Ndugu Gershom Migasa...
0 Reactions
19 Replies
1K Views
  • Article Article
Wakuu salaam, Naomba msaada juu ya uhalisia wa taarifa hii inayosambaa mtandaoni kuwa Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Freeman Mbowe ni mahututi na amepelekwa Afrika kusini...
0 Reactions
11 Replies
5K Views
  • Article Article
Nimekutana na taarifa mtandao wa X juu ya kuahirishwa kwa kongamano la kitaifa juu matukio ya kupotea kwa raia lilioandaliwa na TLS ambalo lilipangwa kufanyika katika ukumbi wa Ubungo plaza, je...
1 Reactions
6 Replies
846 Views
  • Article Article
Tangu nikiwa mdogo nilisikia na kuamini kwamba ute/ mapovu yanayokuwa kwenye mimea ni mate ya nyoka. Mpaka kufika wakati huu bado sijajua kama suala hili lina ukweli ama la. Naomba wataalamu...
2 Reactions
7 Replies
5K Views
  • Article Article
Nimekutana na picha hii mtandaoni ikimuonesha naibu wa Rais nchini Kenya Gachagua akiwa anawatazama kupitia dirisha Rais wa nchi hito William Ruto akiwa na King Charles III alipotembelea nchi...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
  • Article Article
Nimekuwa nikisikia mara kadhaa kuwa mbu akimng'ata binadamu basi mbu huyo anakufa hapo? imekaaje hii wakuu?
0 Reactions
0 Replies
685 Views
  • Article Article
Nimeona taarifa inayosema klabu ya Yanga imetuma barua Azam Media ili kuomba kubadilishwa kwa mtangazaji aliyetumika kumuhoji Gamondi siku ya mechi ya tarehe 29.09.2024 dhidi ya KMC pale Azam...
0 Reactions
0 Replies
779 Views
  • Article Article
Wakuu kuna wimbo nakutana nao TikTok na X ukiwa na sauti ya Justine Bieber akieleza namna alivyonynyaswa na P. Diddy alipoenda kwenye party ikamgharimu. Kuna ukweli hapa. Wimbo huu hapa chini:
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom