A
Anonymous
Guest
Kwa sasa ni kama wiki tatu, lakini hapo kabla waliwahi kuweka ila wanakijiji tukafanikiwa kuliondoa, sasa naona baada ya kuzunguka kote wameona warudishe taka eneo hilo tena, yaani kwa kifupi Kijiji cha Usagara hakuna mahala pa kumwaga taka wakikataliwa huku wanahamia kwingine.
Pia soma:
~ RC Mtanda: Suala la dampo katika makazi ya watu Kata ya Usagara, litashughulikiwa na DC na Halmashauri ya Misungwi
~ DC Johari Samizi: Dampo lililokuwa katika makazi ya watu Usagara A, Kata ya Usagara, Wilaya ya Misungwi limeondolewa