KERO Threads

Anonymous
KERO 
Tulionunua viwanja vya mradi wa serikali vilivyotangazwa na Halmashauri ya Kigamboni eneo la Tundwi Songani tunaomba kujua hatma yetu ya kupewa hati kwasababu wananchi tulionunua hivyo viwanja...
1 Reactions
3 Replies
688 Views
Hili tatizo limekua sugu na la muda mrefu. Tabora tunatumia maji ya vyanzo tofauti. Kuna maji ya mradi wa ziwa Victoria na maji yanayotoka bwawa la Igombe. Sasa haya maji yanayotoka bwawa la...
0 Reactions
0 Replies
132 Views
Anonymous
KERO 
Je, hii ni haki kulazimishana michango isiyo ya maendeleo? (WAKATI HUOHUO WALIMU WA AJIRA MPYA KAKONKO MPAKA LEO HATUJALIPWA PESA ZETU YA KUJIKIMU). Na watumishi wengine sioni wakichangia. (Je...
1 Reactions
4 Replies
164 Views
Anonymous (83ab)
KERO 
Mimi ni mtumishi kwenye Halmashauri mojawapo ya mkoa wa Mwanza. Kutokana na changamoto za kuishi mbali na mwenza wangu kwa sababu za kiutumishi, niliomba uhamisho na kibali cha TAMISEMI kikafika...
2 Reactions
6 Replies
299 Views
Anonymous
KERO 
Nilifanya kazi katika Kampuni ya Erolink Limited kwa takriban miaka mitatu lakini nikiwa hapo moja ya changamoto kubwa ambayo niliiona na nimeona bado ipo ni Muajiri kutowajibika katika kulipa...
1 Reactions
4 Replies
735 Views
Anonymous (67f4)
KERO 
Hebu na sisi ajira mpya wa Mbeya jiji tupige kelele huenda tukafikiwa kama wa Mwanza, huku kuna ajira mpya ualimu wamefikisha mwaka na wengine tunakaribia kumaliza mwaka wa kwanza kazini ila pesa...
0 Reactions
1 Replies
114 Views
Anonymous
KERO 
Kero yangu naipeleka kwa Taasisi ya OSHA - inayoshughulikia usalama katika eneo la kazi, niliomba training kuanzia mwezi wa 10, 2025. Nikalipa ada ya Sh 300,000 kwa ajili ya training sasa imepita...
2 Reactions
3 Replies
150 Views
Anonymous
KERO 
Habari Jamii forum naomba utupazie kero yetu wahusika wangazi za juu watusaidie Watumishi wanawake wa Hospital ya Mji kondoa katika Wilaya ya Kondoa -Dodoma tunakero kubwa wanawake ambao...
3 Reactions
9 Replies
282 Views
Anonymous
KERO 
Maelekezo mbalimbali za viongozi wetu yanasema mtumishi wa umma anayo haki ya kuhama kufuata mwenza wake lakini ukija kwenye uhalisia hatupati hizo haki kutoka kwa viongozi wetu wa wilaya na...
0 Reactions
6 Replies
326 Views
Anonymous
KERO 
Mimi ni Muhimu Chuo Kikuu kutoka Chuo Cha Uhasibu Arusha 2025 KERO yangu ni Kuna baadhi ya wahitimu wakienda kuchukua vyeti vyao unakuta matokeo yaliyoandikwa kwenye TRANSCRIPT ni Tofauti na Yale...
2 Reactions
8 Replies
321 Views
Anonymous
KERO 
Wafanyakazi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Tabora (Kitete) hawalipwi posho zao kwa maana ya call allowance na extra duty kwa muda mrefu sasa zaidi ya mwaka. Hii inawafanya wakose morali ya kazi...
1 Reactions
3 Replies
261 Views
Anonymous
KERO 
YAH: KILIO CHA WANANCHI – ZAHANATI YA OLBALBAL HAINA DAWA, MAISHA YA WATU YAPO HATARINI Ndugu Wanajamii, Sisi Wananchi wa Kata ya Olbalbal, Wilaya ya Ngorongoro, tumefika mahali pa kuchoka na...
0 Reactions
1 Replies
203 Views
Anonymous (67f4)
KERO 
Ndugu Wahusika, Napenda kuwasilisha malalamiko rasmi kuhusu hali isiyoridhisha ya njia ya kupita kwa watembea kwa miguu katika eneo letu, ambayo kwa sasa imegeuzwa kuwa dampo la kutupia takataka...
2 Reactions
3 Replies
222 Views
Anonymous
KERO 
HR haswa upande wa halmashauri nyingi ni kero, hawashughulikii swala la uthibitishwaji kazini watu wamekaa takriban miaka miwili hawajathibitishwa. Hakuna maelezo kamili ni uzembe uliopitiliza
1 Reactions
1 Replies
184 Views
Anonymous (3d7d)
KERO 
Nilikuwa Mtumishi wa CBWSO Kata NKOME kwa sasa inaitwa BUGANDO, Wilaya ya Geita Mkoa wa Geita, niliondolewa kwa shinikizo la Meneja wa RUWASA (W) 28.08.2025. Licha ya changamoto zilizokuwepo...
0 Reactions
1 Replies
132 Views
Anonymous
KERO 
Watumishi wa Afya Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu Mkoani Kigoma walioajiriwa mwaka 2024, mpaka leo bado hawajathibitishwa kazini. Ukienda Ofisi ya Utumishi kuulizia wanakujibu bado hawajakaa...
0 Reactions
3 Replies
256 Views
Anonymous (67f4)
KERO 
Kwa niaba ya wakazi wa Kisemvule, Vikindu, Mwandege na Kongowe mkoa wa Pwani, tuna changamoto ya ukosefu wa Umeme wa uhakika. Haiwezi kupita siku bila umeme kukatika, pamoja na kuwa tunapeleka...
1 Reactions
0 Replies
283 Views
Hali ya barabara kuu ya Njombe–Songea, kuanzia eneo la Soko Kuu la Njombe hadi Uwanja wa Ndege wa Njombe Mjini, imezua malalamiko kwa wakazi na watumiaji wa njia hiyo baada ya kuharibika na...
0 Reactions
0 Replies
185 Views
Anonymous
KERO 
Maafisa ya Maliasili na Uvuvi walioko Mwanza wanatunyanyasa sana sisi Wafanyabiashara wa dagaa, unakuta wanakuja pale Kirumba Kivukoni wanakamata mizigo hovyohovyo, hata kama una kibali wao...
1 Reactions
0 Replies
148 Views
Anonymous (9713)
KERO 
Hapa ni Kibirizi, jirani na Msikiti wa Mtendeni Manispaa ya Kigoma Ujiji, hii barabara ni kubwa, inaelekea katika Bandari ya Kibirizi na kuelekea Kigoma Mjini. Eneo hili limekuwa kero ya muda...
0 Reactions
0 Replies
137 Views
Back
Top Bottom