Tunaomba uongozi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili kushughulikia kero ya ubovu wa magari ya taasisi.
Shughuli nyingi zimekwama zinazofanyika nje ya hospitali kama kusafirisha sampuli, kufuata...
Watumiaji wa barabara ya Morogoro hususani tunaokwepa foleni kutoka picha ya ndege kuelekea Mlandizi tumekua tukitumia old Morogoro road ila kwa kipindi kirefu tumekua tunapata shida tunapofika...
Kampuni ya ulinzi ya Garda World imeendelea kukiuka haki za wafanyakazi wake kwa kushindwa kuongeza mishahara.
Mbali na hilo, kampuni hiyo imekaa kimya kabisa kuhusu utekelezaji wa agizo la...
Wiki iliyopita nilienda Zahanati ya Kimara Mwisho kwa ajili ya matibabu ya kijana wangu ambaye hakuwa sawa kiafya, baada ya kufika tulipokelewa na kufanyiwa vipimo vinavyohitajika.
Hata hivyo...
Tunaomba mamlaka zinazohusika na udhibiti wa vyakula zihakikishe kuwa tarehe ya mwisho wa matumizi (expire date) inawekwa kwa uwazi na kwa maandishi yanayosomeka vizuri kwenye bidhaa, ili kulinda...
Soko la Mawenzi ndiyo kiunganishi Cha wakazi wa Morogoro.
Tunaomba mamlaka husika zitusaidie kwa hili kuepuka magonjwa ya mlipuko hasa kipindupindu.
Licha ya viongozi kuchukua hela za ushuru...
Changamoto katika Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi Mkoani Singida, imekuwa tatizo kubwa sana kwa watumishi hasa walimu kusubiri kupitishiwa malipo mbalimbali katika Idara za Elimu, Afya.
Mfano...
Katika kila kijiji, mitaa na miji ya Tanzania, kuna kilio kinachoumiza mioyo ya wengi, lakini hakuna anayekisikia. Ni kilio cha wazazi waliokatishwa tamaa, wakiona vijana wao wakiteketea katika...
Habari,
Ninaishi na VVU na ninatumia ARV tangu 8 February 2015 katika Kituo cha Afya Katoro Bukoba vijijini. Kwa taaluma ni Mwalimu wa shule ya Msingi Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba Vijijini...
Hii error imekuja baada ya kuwasilisha au kusubmit kero yangu. Kiufupi wanajaribu lakini bado Mapungufu mengi.
Nimelipia huduma imepita wiki nzima ndio wanakuja kufunga fiber na wakikufungia...
Kuna tabia inakomaa ya wanafunzi hasa kwa Dar kwenda shule saa 12 asubuhi na kutoka 12 jioni, awali tabia hii ilikuwa kwa shule za kulipia za watu binafsi ikawa inapigiwa kelele ila sasa naona...
Kwanini daladala zinazosafirisha abiria kutokea eneo la Gerezani / Shule ya msingi Uhuru kuelekea Temeke hususani Buza zinatoza nauli kubwa tofauti na bei elekezi ya serikali? Bei elekezi ya...
Hii barabara inafika hadi Waterfall (NAPURU WATERFALLS) kuanzia mwisho wa lami pale ofisi za ARUSHA DC kupandisha juu ni kero.
Barabara imejaa mashimo, na madimbwi ya maji, tunaomba TARURA...
Wakazi wa maeneo ya IPOIPO kuelekea Kihonda Sekondari tunaendelea kupata adha kubwa kutokana na hali mbaya ya barabara hii.
Mvua ikinyesha hali inakuwa mbaya zaidi — magari, bajaji na pikipiki...
Video hii imerekodiwa katika eneo la Sinza Afrikasana Jijini Dar es salaam ikionesha usumbufu wanaoupata wapita njia pamoja na magari na kuathiri shughuli za kila siku baada ya maji kujaa katika...
Mimi ni muajiriwa wa VETA intake ya mwezi wa 9 Mwaka 2025, tokea nimeajiriwa sasa ni miezi mitano lakini pesa ya kujikimu mimi na wenzangu hatujapata na hatujui ni lini tutaipata.
Hii inatupa...
Sisi Walimu wa Ajira Mpya Halmashauri ya wilaya ya CHATO upande wa Sekondari tangu Mwaka 2025 Mwezi wa Pili hatujalipwa pesa ya kujikimu, wenzetu wa Shule ya Msingi walilipwa kiwango kidogo nje ya...
Tulionunua viwanja vya mradi wa serikali vilivyotangazwa na Halmashauri ya Kigamboni eneo la Tundwi Songani tunaomba kujua hatma yetu ya kupewa hati kwasababu wananchi tulionunua hivyo viwanja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.