Ninaomba kuwasilisha ombi kwa Serikali kuhusu hali ya miundombinu katika Shule ya Msingi Bumu iliyopo Mkoa wa Morogoro, Wilaya ya Mvomero, Tarafa ya Mgeta, Kata ya Langali, Kijiji cha Bumu.
Hii...
Sisi ni watumishi wa afya katika Nkaiti Health Center, iliyopo Minjingu, Halmashauri ya Wilaya ya Babati, Mkoa wa Manyara, eneo la ndani karibu na Hifadhi ya Tarangire.
Tunaomba sana msaada wa...
Ninaomba kuwasilisha changamoto inayowakumba watumishi wa umma, hususan wa ajira ya mwaka 2015 kada ya elimu katika baadhi ya halmashauri, nikitolea mfano Wilaya ya Lushoto.
Kumekuwa na tatizo la...
OMBI LA UCHUNGUZI WA HARAKA KUHUSU IGUWASA
Tunaziomba Wizara ya Maji, Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji, Mheshimiwa Waziri wa Maji, Ofisi ya Waziri Mkuu, TAKUKURU na mamlaka nyingine husika kufanya...
Suala hili kiukweli linaumiza sana. Kulikuwa na amri ya kubomoa Kitalu namba 13, ambacho kiko upande wa nyuma na kilikuwa ni eneo la wazi lililovamiwa. Nyaraka zote za serikali, maamuzi ya...
Kawe Ukwamani, licha ya kuwa eneo lenye shughuli nyingi za biashara, maduka yanayotoa huduma mbalimbali zinazotegemewa na jamii pamoja na maeneo ya vyakula, linakabiliwa na changamoto kubwa ya...
Hivi hawa jamaa wanajiamini sana! Kiasi kwamba wanaweza kuvunja sheria za mamlaka.
Hapa maeneo ya Zakhem Mbagala kuna maroli yanapaki kuanzia service road, barabara ya waenda kwa miguu, mpaka...
Ninaomba kuwasilisha kero kuhusu hali mbaya ya miundombinu katika Shule ya Sekondari ya Pendamoyo Secondary School, iliyopo Temeke Municipal, mtaa wa Pendamoyo (ukitokea Sokota kuelekea Msikiti wa...
Ninaomba kuwasilisha kero yangu kuhusu suala la uhamisho kwa watumishi wa umma, hususan kada za ualimu na afya.
Kwa muda sasa, uhamisho umekuwa changamoto kubwa na kama janga kwa watumishi wengi...
Shule ya Msingi NANJANGA iliyopo kata ya Ngunja Halmashauri ya Tandahimba haina nyumba ya mwalimu kitu ambacho kinalazimika mwalimu mkuu kulala ofisini.
Muda wa kazi ukiisha, ofisi inageuzwa kuwa...
Watumishi wa ajira mpya wa Januari 2026 katika Halmashauri ya Wilaya ya Nzega (Nzega DC) bado hatujalipwa fedha za kujikimu hadi leo.
Kinachotushangaza ni kwamba baadhi ya watumishi, hususan wa...
Kuna Watumishi wa Wizara ya Maji wanaolalamikia kutokudhibitishwa kazini licha ya kuwa wamekaribia kutimiza miaka miwili tangu waajiriwe.
Watumishi hao wanasema hawaelewi sababu ya kucheleweshewa...
Wazazi na wanafunzi tunalalamikia tabia ya baadhi ya walimu wa Shule za Msingi Gmhasa iliyopo Ilala, Dar es Salaam kuwashinikiza watoto kuhudhuria shule siku za mwisho wa wiki (Jumamosi), pamoja...
Wadau, wakiwemo baadhi ya wazazi wa wanafunzi katika shule moja ya sekondari ya wasichana iliyopo Wilaya ya Kigamboni, Mkoa wa Dar es Salaam (jina linahifadhiwa), wametoa wito kwa mmiliki wa shule...
Chuo cha Afya cha Chato ada yake ni Shilingi 1.7M kwa Kozi za Clinical Dentistry na Radiography wakati vyuo vingine vya serikali ada ni Shilingi 1.2M maximum, kwanini chuo hicho kiwe na ada kubwa...
Kutoka Jiji la Mbeya, kumekuwa na malalamiko kutoka kwa baadhi ya wazazi kuhusu shule za msingi zinazowatoza wanafunzi wa madarasa ya mitihani (Darasa la Nne na Darasa la Saba) fedha kwa ajili ya...
Habari,
Mimi ni mdau wa huduma za kifedha na napenda kuwasilisha changamoto inayowakabili wateja wa Benki ya NBC Tawi la Tunduma.
Kwa sasa, tawi hilo lina upungufu mkubwa wa watumishi, hususan...
Waajiriwa wapya katika Halmashauri ya Wilaya ya Rorya, mkoani Mara. Tumeajiriwa tangu tarehe 18 Januari, 2026 lakini hadi sasa hatujalipwa kabisa pesa za kujikimu. Hali hii inatupa wakati mgumu...
Vibali vya kazi vinavyotolewa na mfumo wa Taesa haupo sirias mda mwingi kuja system error na hata pia huchkua muda mrefu kupata kibali mbali na mhusika kashakamilishamilisha mahitaj viambata na...
Mimi ni mmoja wa walimu waliopata uhamisho katika Halmashauri ya Wilaya ya Nanyumbu, mkoani Mtwara. Uhamisho wa kwanza ulifanyika mwezi Desemba 2023 kwenda shule mpya za Mkapa Wasichana Sekondari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.