KERO Threads

Anonymous
KERO 
Kero ya bara bara Kiluvya Madukani kwenda Kiluvya Makurunge ni kubwa sana kwa wakazi na wawekezaji. Eneo hili ni asili ya udongo mfinyanzi, wakati wa mvua ni changamoto kubwa kwa wakazi licha ya...
1 Reactions
2 Replies
145 Views
Mwanongwa leo nimekatiza Mitaa ya Kiwira Wilayani Rungwe lakini nilichokutana nacho ni aibu sana kwa wilaya huu, yaani wauzaji wa ndizi wanapitia wakati mgumu sana kipindi hiki cha mvua, soko...
2 Reactions
17 Replies
373 Views
Abiria wa ndege ya Precision Air kutoka Mwanza kwenda Dar es Salaam safari yetu ilikuwa leo Jumamosi April 11, 2026 saa saba mchana lakini mpaka sasa hatujui safari itakuwa muda gani! Tumefika...
2 Reactions
9 Replies
329 Views
Anonymous (c723)
KERO 
Wakuu, nipo kitandani nikiugua, lakini roho inaniuma kuona jinsi uwekezaji wangu unavyoliwa na 'mchwa' mchana kweupe. Mimi ni mwekezaji (CDS No: 811....), nimeuza hisa mara nne ili nipate pesa za...
6 Reactions
20 Replies
797 Views
Anonymous
KERO 
Huduma za UTT ni mbaya sana hivi sasa. Watu hawawazi access funds zao wana kuwekeza kwa uaminifu sababu App haifanyi kazi na tukipiga simu tunaambiwa tutarejewa bila mrejesho. Ssa sisi ni...
3 Reactions
14 Replies
617 Views
TAMISEMI tunaomba msaada maana mfumo mnaubana mpaka mmepitiliza. Imefikia hatua nataka kutengeneza leseni mpya na sina leseni kwenye huo mkoa, lakini mfumo unanikatalia unataka niombe kama branch...
0 Reactions
0 Replies
79 Views
Anonymous
KERO Responded 
Kila Kitengo pale TRA kinatakiwa kuwa na customer care yake kama haiwezekani hivyo basi wagawe majukumu hata kidogo, wasiwe general tu or else wapewe authority ya kila kitu kwenye this new system...
1 Reactions
1 Replies
164 Views
Mimi ni mkazi wa Viziwa Ziwa Shule, Serikali ya Mtaa Viziwa Ziwa, Kibaha mkoa wa Pwani. Nina malalamiko kwa Serikali kuhusiana na mradi wa urasimishaji ardhi wa Halmashauri ya Kibaha mkoa wa...
1 Reactions
2 Replies
198 Views
Soko la buguruni ni moja ya soko kubwa na maarufu ndani ya jiji la Dar es salaam ambalo linahudumia watu wengi hasa kwa wafanyabiashara wa matunda. Lakini cha kusikitisha miundombinu ya soko hilo...
2 Reactions
2 Replies
161 Views
Anonymous
KERO 
Wafanyakazi wa mkataba wa Shirika la ICAP hatujalipwa mshahara toka Januari 2026, tumeulizia kwa RACC kiongozi mratibu wa Afua ya UKIMWI Mkoa lakini hatupewi majibu sahihi kila siku anatuzungusha...
2 Reactions
8 Replies
215 Views
Hii mikopo ya mitandaoni imezidi kuwa kero kwetu. Hasa unapopigiwa simu kuwa ulipe deni usilolijua. Na kutumiwa meseji za ovyo. Nimejaribu kutafakari,nimebaki na maswali yasiyo na majibu. Je,hii...
3 Reactions
7 Replies
146 Views
Anonymous
KERO 
Habari za Leo wakuu, Mimi ni mkazi wa Kigoma Ujiji. Napenda kutoa malalamiko ya wakazi wa Kata za Majengo na Machinjioni - Kigoma Ujiji. Sisi wakazi wa maeneo tajwa tunaishi maisha ya wasiwasi...
0 Reactions
1 Replies
180 Views
vangisindo
KERO Responded 
Malalamiko ya ucheleweshaji wa kutoa vibali vya uhamisho kwa watumishi wa Taasisi za Umma ( Mfano: Elimu) walioomba kuhamia vituo vingine vya kazi kwasababu mbalimbali yameendelea kuwa mengi siku...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Anonymous
KERO 
Ninaandika kama mwanafunzi wa Moshi Co-operative University. Kuna tatizo kubwa ambalo halizungumzwi wazi: baadhi ya lecturers wanatumia vitisho badala ya kufundisha. Tunatishiwa kupewa C au...
1 Reactions
12 Replies
188 Views
Anonymous
KERO 
0 Reactions
0 Replies
73 Views
Anonymous
KERO 
Baraza la NACTVET halijatoa vyeti vya wahitimu wa kada ya nursing chuo cha Newala School of Nursing waliohitimu September 2025. Cha kusikitisha ni kwamba vyuo vingine vilishapatiwa isipokuwa chuo...
0 Reactions
0 Replies
94 Views
Anonymous
KERO 
Kumekuwa na tabia ya wafanyakazi kutotendewa haki katika hiki chuo, mara nyingi wafanyakazi wa hapa hudhulumiwa mishahara yao na wakati mwengine kutolipwa kabisa baadhi ya miezi. Mwaka jana baada...
2 Reactions
3 Replies
224 Views
Anonymous (c723)
KERO Responded 
Maeneo ya Buza pamoja na mji mpya wa Mwanagati kumekuwa na wimbi kubwa sana la kupachika hizi ICD (bandari kavu) katika makazi ya watu jambo linaloleta kero kubwa sana ya malori maeneo ya makazi...
1 Reactions
3 Replies
216 Views
Anonymous
KERO 
Wakazi wa Matosa - Goba DSM, hususan eneo la Shule ya Msingi More Light, tumekumbwa na changamoto kubwa ya ukosefu wa maji kwa takribani mwezi mmoja sasa. Kila tunapouliza, tunaelezwa kuwa bomba...
2 Reactions
4 Replies
114 Views
Anonymous
KERO 
Watumishi wa Kada ya Afya Ajira Mpya, Wilaya ya Rungwe Mkoani Mbeya bado hatuchapokea hela ya kujikimu, ajabu ni kwamba viongozi hawaongei chochote kuhusu hizo hela. Utaratibu wa malipo hayo ya...
0 Reactions
6 Replies
173 Views
Back
Top Bottom