Kero ya bara bara Kiluvya Madukani kwenda Kiluvya Makurunge ni kubwa sana kwa wakazi na wawekezaji.
Eneo hili ni asili ya udongo mfinyanzi, wakati wa mvua ni changamoto kubwa kwa wakazi licha ya...
Mwanongwa leo nimekatiza Mitaa ya Kiwira Wilayani Rungwe lakini nilichokutana nacho ni aibu sana kwa wilaya huu, yaani wauzaji wa ndizi wanapitia wakati mgumu sana kipindi hiki cha mvua, soko...
Abiria wa ndege ya Precision Air kutoka Mwanza kwenda Dar es Salaam safari yetu ilikuwa leo Jumamosi April 11, 2026 saa saba mchana lakini mpaka sasa hatujui safari itakuwa muda gani!
Tumefika...
Wakuu, nipo kitandani nikiugua, lakini roho inaniuma kuona jinsi uwekezaji wangu unavyoliwa na 'mchwa' mchana kweupe. Mimi ni mwekezaji (CDS No: 811....), nimeuza hisa mara nne ili nipate pesa za...
Huduma za UTT ni mbaya sana hivi sasa.
Watu hawawazi access funds zao wana kuwekeza kwa uaminifu sababu App haifanyi kazi na tukipiga simu tunaambiwa tutarejewa bila mrejesho.
Ssa sisi ni...
TAMISEMI tunaomba msaada maana mfumo mnaubana mpaka mmepitiliza. Imefikia hatua nataka kutengeneza leseni mpya na sina leseni kwenye huo mkoa, lakini mfumo unanikatalia unataka niombe kama branch...
Kila Kitengo pale TRA kinatakiwa kuwa na customer care yake kama haiwezekani hivyo basi wagawe majukumu hata kidogo, wasiwe general tu or else wapewe authority ya kila kitu kwenye this new system...
Mimi ni mkazi wa Viziwa Ziwa Shule, Serikali ya Mtaa Viziwa Ziwa, Kibaha mkoa wa Pwani. Nina malalamiko kwa Serikali kuhusiana na mradi wa urasimishaji ardhi wa Halmashauri ya Kibaha mkoa wa...
Soko la buguruni ni moja ya soko kubwa na maarufu ndani ya jiji la Dar es salaam ambalo linahudumia watu wengi hasa kwa wafanyabiashara wa matunda. Lakini cha kusikitisha miundombinu ya soko hilo...
Wafanyakazi wa mkataba wa Shirika la ICAP hatujalipwa mshahara toka Januari 2026, tumeulizia kwa RACC kiongozi mratibu wa Afua ya UKIMWI Mkoa lakini hatupewi majibu sahihi kila siku anatuzungusha...
Hii mikopo ya mitandaoni imezidi kuwa kero kwetu.
Hasa unapopigiwa simu kuwa ulipe deni usilolijua.
Na kutumiwa meseji za ovyo.
Nimejaribu kutafakari,nimebaki na maswali yasiyo na majibu.
Je,hii...
Habari za Leo wakuu,
Mimi ni mkazi wa Kigoma Ujiji.
Napenda kutoa malalamiko ya wakazi wa Kata za Majengo na Machinjioni - Kigoma Ujiji. Sisi wakazi wa maeneo tajwa tunaishi maisha ya wasiwasi...
Malalamiko ya ucheleweshaji wa kutoa vibali vya uhamisho kwa watumishi wa Taasisi za Umma ( Mfano: Elimu) walioomba kuhamia vituo vingine vya kazi kwasababu mbalimbali yameendelea kuwa mengi siku...
Ninaandika kama mwanafunzi wa Moshi Co-operative University.
Kuna tatizo kubwa ambalo halizungumzwi wazi: baadhi ya lecturers wanatumia vitisho badala ya kufundisha. Tunatishiwa kupewa C au...
Baraza la NACTVET halijatoa vyeti vya wahitimu wa kada ya nursing chuo cha Newala School of Nursing waliohitimu September 2025.
Cha kusikitisha ni kwamba vyuo vingine vilishapatiwa isipokuwa chuo...
Kumekuwa na tabia ya wafanyakazi kutotendewa haki katika hiki chuo, mara nyingi wafanyakazi wa hapa hudhulumiwa mishahara yao na wakati mwengine kutolipwa kabisa baadhi ya miezi.
Mwaka jana baada...
Maeneo ya Buza pamoja na mji mpya wa Mwanagati kumekuwa na wimbi kubwa sana la kupachika hizi ICD (bandari kavu) katika makazi ya watu jambo linaloleta kero kubwa sana ya malori maeneo ya makazi...
Wakazi wa Matosa - Goba DSM, hususan eneo la Shule ya Msingi More Light, tumekumbwa na changamoto kubwa ya ukosefu wa maji kwa takribani mwezi mmoja sasa.
Kila tunapouliza, tunaelezwa kuwa bomba...
Watumishi wa Kada ya Afya Ajira Mpya, Wilaya ya Rungwe Mkoani Mbeya bado hatuchapokea hela ya kujikimu, ajabu ni kwamba viongozi hawaongei chochote kuhusu hizo hela.
Utaratibu wa malipo hayo ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.