Habari,
Naomba tusaidiwe kufikisha ujumbe huu kuhusu huduma ya mtandao wa Airtel. Kwa sasa tuna siku ya tatu hatupati huduma ya intaneti kabisa, lakini kila tunapowasiliana na huduma kwa wateja...
Sisi watumishi wa afya tulioajiriwa mwezi Novemba, 2024 katika Halmashauri ya Wilaya ya Siha, Kilimanjaro tunaomba Ofisi ya Waziri Mkuu isimamie suala la kuthibitishwa kwetu kazini, kwani mpaka...
Jamani na sisi wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa tulioajiriwa mwezi wa tisa 2025 tukaanza kazi Novemba hatujalipwa pesa ya kujikimu had leo hii, tunafuatilia sana lakini wapiii.
Yaani...
Wakuu, habari.
Ninaomba kufikisha kilio cha wananchi wa maeneo ya Kitunda, Kibeberu, Magole (Mzinga/Kivule) kuhusu changamoto kubwa ya ukosefu wa viwanja vya michezo vya jamii, hususan kwa vijana...
Kwa niaba ya wenzangu, naomba msaada wenu kuhusu changamoto tunazokutana nazo katika shule za msingi Wilaya ya Mbulu DC.
Wakuu wetu wa shule wamekuwa wakitunyanyasa kwa kutulazimisha kufundisha...
Sisi ni watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino, mkoani Dodoma, hasa kada ya utawala—yaani Watendaji wa Vijiji (VEOs). Tumeajiriwa tangu mwezi Novemba 2024, na sasa tumeshakamilisha zaidi...
Sisi wakazi wa Isamilo, Mtaa wa Maendeleo, tunawasilisha rasmi malalamiko yetu kuhusu kero kubwa inayotukabili katika eneo letu la makazi.
Kuanzia mwezi Aprili, 2026, jirani yetu mmoja amefungua...
YAH: MALALAMIKO YA KUTOLIPWA STAHIKI NA MAZINGIRA MAGUMU YA KAZI – TEMESA KANDA YA ZIWA
Sisi watumishi wa TEMESA Kanda ya Ziwa chini ya Wizara ya Ujenzi, tunawasilisha malalamiko yetu rasmi...
Sisi Watumishi wa umma wa ajira mpya, katika Halmashauri ya Ngorongoro Mwaka 2026, mpaka hivi leo, hatujalipwa kabisa "fedha ya kujikimu" na hatupewi mrejesho wowote na viongozi wetu. Sasa hata...
Watumishi Halmashauri ya Wilaya Korogwe Vijijini tunagomewa kupewa vibali vya Uhamisho na Mkurugenzi ilihali tumefika vigezo vya zaidi ya miaka mitatu kazini, wengine tuna hadi vyeti vya ndoa...
Mataa ya kuongozea magari katika eneo la Kibasila, Chang'ombe, yamekuwa hayafanyi kazi kwa muda mrefu sasa. Hali hii imesababisha usumbufu mkubwa kwa watumiaji wa barabara, huku baadhi ya madereva...
Mimi ni mmoja wa wananchi tunaotumia huduma za simu za mkopo. Kwa kweli tunakumbana na changamoto kubwa sana kwenye huduma hii.
Mara nyingi wanatukopesha simu ambazo siyo nzuri nyingi zina...
Watumishi tuliohamishwa toka Halmashauri ya Wilaya ya Urambo Mwaka 2013 (miaka 13 iliyopita) kwenda kuanzisha Halmashauri mpya ya Kaliua, hatujalipwa stahili yetu ya posho ya usumbufu (disturbance...
Ninaomba kuwasilisha changamoto inayowakumba wafanyakazi wa sekta binafsi, hususan katika kampuni ya Lake Lubes pamoja na baadhi ya kampuni zake tanzu.
Licha ya agizo la Serikali kuhusu kima cha...
Changamoto ninayopenda kuwasilisha inawahusu baadhi ya watumishi wa umma katika Halmashauri moja mkoani Arusha, ambayo sitapenda kuitaja kwa sasa.
Tumekuwa tukikatwa michango ya chama cha...
Kuna viwanja vilivyouzwa takribani miaka minne iliyopita na Halmashauri ya Manispaa ya Kigamboni katika eneo la Pembamnazi–Tugwi Songani. Hata hivyo, hadi sasa wananchi bado hawajapatiwa hati zao...
Sisi ni watumishi wapya wa ajira ya mwaka 2025 kada ya ualimu katika Wilaya ya Iramba, Mkoa wa Singida.
Tunapenda kuwasilisha changamoto mbili kubwa tunazokutana nazo kazini.
Kwanza, tumeingizwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.