Naandika hili ili kuonya na kushirikisha uzoefu wangu kuhusu huduma niliyoipata kutoka Parimatch Tanzania.
Nimekaa zaidi ya mwezi mmoja nikifuatilia marejesho ya fedha zangu. Kila siku...
Mwaka 2024, Sekretarieti ya Ajira ilitangaza nafasi za kazi kwa walimu wa somo la Biashara (Business Studies). Mojawapo ya vigezo vilivyotajwa ni kuwa mwombaji awe na Shahada ya Ualimu (Bachelor...
Wadau,
Nimekuwa nikifuatilia mashindano ya MAKISATU 2026 yaliyoendeshwa na COSTECH. Ninashangaa kwamba wavumbuzi wengi wachanga wanaojituma peke yao hawapati nafasi.
MAKISATU inaeleza kuwa...
Uhamisho umekuwa changamoto kubwa kutokana na baadhi ya wakurugenzi wa halmashauri kutokupitisha barua za uhamisho zinazotolewa na TAMISEMI.
Inadaiwa kuwa barua za uhamisho zinapotoka TAMISEMI...
Mimi ni mwananchi kutoka Mkoa wa Katavi, Halmashauri ya Mpimbwe. Naomba kueleza changamoto tuliyokutana nayo katika mchakato wa mikopo ya halmashauri kwa vikundi vya vijana.
Sisi kama kikundi...
Mzee huyu ameongeza mawe na kuyamwaga barabarani kwa madai kwamba barabara imepita kwenye kiwanja chake.
Cha kushangaza ni kwamba mbele kuna nafasi ambayo inaonekana ndiyo mpaka wa kiwanja...
DAWASA Tabata Bima umoja road hatupati maji ya kutosha, yanatoka kidogo sana unaishia kujaza ndoo alafu yanakatika na yanatoka kwa muda mfupi mno, hii ni kero kubwa tunaishia kununua maji kila...
Habari JamiiForums,
Mdogo wangu ni mgonjwa na tumekuwa tukipata huduma katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) Mloganzila na Upanga tangu Oktoba 2025 kwa ajili ya matibabu ya kifua na mapafu...
Vyama vya baadhi ya wakulima (AMCOS) katika Wilaya yetu ya Tunduru vinakabiliwa na changamoto ya viongozi wanaohusika na ubadhirifu wa mali za vyama na kutuumiza wakulima.
Baadhi ya viongozi...
Baba yetu alikuwa mfanyabiashara hapa Dodoma mjini. Mwaka 2015, mauti yalimfika na kutuacha tukiwa na huzuni kubwa. Kama ilivyo kwa familia nyingi za Kiafrika, baada ya msiba kupita, kulikuwa na...
Mi ni mwananchi na mkazi wa Mtaa wa Mayengela, uliopo eneo la Kishiri-Igoma, Wilaya ya Nyamagana mkoani Mwanza. Nimesukumwa kuandika masimulizi haya kwa uchungu mkubwa baada ya kero yetu ya maji...
Wahandisi Ujenzi (Civil Engineers) waliopo Halmashauri zetu wanapitia wakati Mgumu sana.
Unakuta anasimamia miradi maelekezo anayopokea kutoka kwa Mkurugenzi (DED) na Mkuu wa Wilaya yanakuwa...
Kituo cha Afya Kadashi kipo Wilaya ya Kwimba, Mkoa wa Mwanza, Kata ya Maligisu Kijiji cha Kadashi kina Watumishi 12 ambao ni Co 3, NO 1, ANO 3, EN 2, MAT 2 na CA 1.
Mimi ni mmoja wao, nimeamua...
Barabara ya Lemara Kati, Kata ya Lemara Kati, Jiji la Arusha pamoja na maeneo ya Njiro karibu na Fiber Board imekuwa katika hali mbaya kwa muda mrefu ya barabara, inaonekana kama tupo kijijini...
Niishi Geita, nilisoma katika Chuo cha Afya na Sayansi Shirikishi Mafinga (Mafinga College of Health and Allied Sciences – MACHAS), ambacho awali kilijulikana kama Clinical Officer Training Centre...
Wakazi wa Mtaa wa Gonga, Majumba Sita, Gongo la Mboto jijini Dar es Salaam tuchoshwa na usumbufu unaosababishwa na kibanda kinachouza pombe hadi nyakati za asubuhi, huku muziki wa sauti ya juu...
Habari za wakti huu ndugu zangu wa BRELA
Kwanza kabisa niwaulize hivi Call centre yenu iko Busy sana au wafanyakazi wachache au vyote kwa pamoja maana kasi yenu ya kupokea simu na kushughulikia...
Naomba taa eneo la Mwabene - Mbeya, Barabara ya Teku, kuna matukio kadhaa ya ajali yanayosababisha na kukosekana kwa huduma ya taa.
TANROADS Mbeya wafunge taa pale, namaanisha taa za kuongoza...
Dodoma, Kata ya Makulu wanachuo wananyanyasika kwa kuombwa pesa ili kuweza kupata fomu ya NaPA kwa ajili ya ku-appy vyuo, kwanini iwe hivyo?
Ofisini kwa Mtendaji wanakwambia acha namba tutakuja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.