KERO Threads

Tunatoa wito kwa Uongozi wa KCMC, Kanisa pamoja na Serikali kusikiliza kilio cha wagonjwa na wananchi wanaotegemea huduma za hospitali hii muhimu. KCMC imejijengea heshima kubwa kwa kutoa huduma...
3 Reactions
7 Replies
127 Views
Anonymous
KERO 
Suala la kadi za Mwendokasi now zimekuwa kero hazipatikani, raia wengi wana uhitaji nazo, Matumaini yangu kama JamiiForums watalizungumzia naamini mamlaka husika litalifanyia kazi kwa wakati🙏...
0 Reactions
3 Replies
109 Views
Anonymous
KERO 
Mfumo wa anuani za makazi (NaPA) una changamoto katika mchakato wa kuomba barua ya utambulisho. Tangu wiki iliyopita mfumo huo haujafanya kazi; kila unapojaza taarifa unaambiwa kuwa kuna hitilafu...
0 Reactions
0 Replies
29 Views
Anonymous
KERO 
Tunaopata huduma hospitali ya wilaya ya Mpimbwe tunatozwa fedha za huduma na risiti tunapewa lakini huduma zao ni mbovu sana. Hawana hata gloves za kutuhudumia mpaka mgonjwa akanunue nje, dawa...
0 Reactions
0 Replies
77 Views
Anonymous
KERO 
Katika Kituo cha Afya Nyarugusu, Geita Vijijini, kuna muuguzi na mtaalamu wa usingizi anayeitwa Fredrik Lugay ambaye anadaiwa kufanya upasuaji kwa wajawazito na wagonjwa wengine, huku akitoza...
3 Reactions
4 Replies
483 Views
Anonymous
KERO 
Habari kuna mfanyakazi mmoja wa Mwalimu Nyerere Memorial Academy yupo department ya Examination ana majibu ya dharau sana hasa kwa watu wanaoenda hapo wakiwa na uhitaji mbalimbali. Tulienda...
5 Reactions
10 Replies
230 Views
Anonymous
KERO 
Mimi ni mmoja wa walimu wa mkataba (part-timers) katika Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), kazi yetu kuu ni kusaidia kufundisha wanafunzi wa kozi za Diploma ya Famasia (Pharmacy) na Diploma ya Maabara...
1 Reactions
5 Replies
127 Views
Anonymous
RESOLVED KERO 
Hali ya taa za barabarani ambazo zimeungua kwa kiasi kikubwa katika maeneo mbalimbali ya mkoa huu. Tatizo hili limekuwa kubwa hasa kwa watembea kwa miguu wanaotumia barabara nyakati za usiku...
1 Reactions
1 Replies
88 Views
Anonymous
KERO 
National Physical Address (NaPA) kwenye kutafuta barua ya utambulisho kwa ajili ya maombi ya mkopo (HESLB) inagoma kuendelea na kutoa notification ya hivi Toka last week till now. Contacts zao...
0 Reactions
6 Replies
220 Views
Anonymous
KERO 
Vijana wengi nikiwemo mimi mwenyewe ni wahanga, tunakosa fursa na tunabanwa na kujiunga vyuo vikuu kusoma degree baada ya kuhitimu diploma za afya kama ifuatavyo. Mtu unasoma Diploma in Clinical...
3 Reactions
18 Replies
387 Views
Anonymous
KERO 
Mara kadhaa nimeona na nimesikia stori za baadhi ya maafisa wa LATRA, hasa jijini Dar es Salaam, wanavyotekeleza majukumu yao ya kuwakamata madereva wa bodaboda na Bajaj. Kinachonishangaza ni...
1 Reactions
1 Replies
50 Views
Anonymous (ee77)
KERO 
Habari, Hili limekuwa tatizo kubwa hasa kwa mikoa ya pembezoni kwa madalali wa mahakama kuu kutokuwa ma ofisi na maghara ya kuhifadhia mali wanazokamata. Hii ni changamoto kubwa kwani mahakimu...
0 Reactions
1 Replies
155 Views
Anonymous
KERO 
Huku kuna kero ya maji taka Mitaa ya Kariakoo imekuwa changamoto sana yaani pananuka sana (kinyesi) maji yametapakaa sana hasa mitaa ya Mkunguni /Tandamti / Sikukuu/ Congo na mengineyo na ikiwa ni...
2 Reactions
20 Replies
180 Views
Kwako Mheshimiwa waziri wa ardhi na makazi mfumo wa wizara yako unaopatikana kwa njia ya mtandao HAUKO SAWA ndiyo maana tumeshindwa kupata control number kwa ajili ya kulipia malipo ya umiliki wa...
0 Reactions
2 Replies
260 Views
Anonymous
KERO Responded 
Ningependa kutoa kero yangu kuhusu hali ya vitambulisho vya Taifa vinavyotolewa na Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) kufutika kwa haraka mno, na hii ni kwa vitambulisho vinavyotolewa...
2 Reactions
14 Replies
1K Views
Mamlala husika kwanini vitambulisho vya nida mnavyotengeneza hufutika maandishi yake, shida ni nini? Mbona vitambulisho kama leseni za udereva, kitambulisho cha mpiga kura havifutiki maandishi...
2 Reactions
6 Replies
72 Views
Anonymous
KERO 
Wafanyabiashara wa eneo la Darajani, Vikokotoni wanaendelea kukumbwa na changamoto kubwa ya ukusanyaji wa taka mbele ya maduka yao. Licha ya kulipa pesa za taka kwa Manispaa kupitia tozo...
1 Reactions
2 Replies
56 Views
Mfumo wa NaPA na NIDA imekuwa ikileta changamoto, hapo kabla ulikuwa ukijaza Namba ya NIDA ya mtu kwenye usasishaji wa taarifa za mkazi inaleta taarifa zake, ukianza na majina yake matatu na...
0 Reactions
2 Replies
120 Views
Nilitumiwa barua Julai 27 kuitwa kazini utumishi wa umma nafasi ya afisa usafishaji daraja la pili nimeripoti mapema na wao walisema ndani ya siku 14 niwe nimeripoti lakini niliwahi mapema kuepuka...
5 Reactions
23 Replies
310 Views
Anonymous
KERO 
Habari, kuna vijana wanaofanya kazi ya kununua mpunga kutoka kwa wakulima katika maeneo mbalimbali kama Morogoro, Mbeya na Kanda ya Ziwa kwa ajili ya kiwanda cha mchele cha Wilmar Rice Tanzania...
1 Reactions
8 Replies
175 Views
Back
Top Bottom