KERO Threads

Anonymous (a0f8)
KERO 
Maeneo ya Posta – Dar es Salaam chemba nyingi hazina mifuniko, juzi nimeshuhudia Bodaboda kaingia kwenye chemba wote na abiria waliumia. Tukio lingine imekuwa zamu yangu, nimepigisha kichwa...
1 Reactions
0 Replies
95 Views
Anonymous
KERO 
Kumekuwepo na changamoto kubwa katika Sekta ya Maabara nchini, jambo hili tulipaza sauti mwaka 2024 lakini bado slinahitaji hatua za haraka kutoka kwa mamlaka husika: Kumekuwepo na changamoto...
2 Reactions
4 Replies
171 Views
Anonymous (67c1)
KERO 
Uwanja huu ni uwanja bora sana hauna hata miaka 6 lakini tayari haufanyiwi marekebisho ,napenda wajuzwe huu ni 5 star level airport hatutarajii rangi ya jengo izidi 3 years isibadilishwe ,vyoo...
0 Reactions
0 Replies
55 Views
Anonymous
KERO 
Mimi Fundi Sanifu Maabara (Laboratory Technician 1), ni mwajiriwa wa Serikali mwenye uzoefu wa miaka 8 sasa. Mimi na wenzangu wote tunaofanya kazi chini ya Idara ya Elimu Sekondari Tanzania...
0 Reactions
0 Replies
59 Views
Anonymous (2cd6)
KERO 
Barabara ya Vikindu via Vianzi mbovu kipindi hiki cha mvua tunapata tabu sana wakazi wa Vianzi, nauli zinazidi kupanda. Hii Vikindu ipo Wilaya ya Mkuranga, Mkoa wa Pwani.
0 Reactions
2 Replies
48 Views
Anonymous
KERO 
Habari, Mimi ni mkazi wa Sinza Madukani kuna mradi wa majitaka unaendelea tokea mwanzoni mwaka 2025 ..Lakini huu mm Mradi umekua kero na Usumbufu kwa wakazi wa Sinza Madukani pamoja na eneo ya...
0 Reactions
2 Replies
67 Views
Anonymous
KERO 
Sisi wakazi wa Mbeya kata ya Forest ya zamani tuna siku ya4 maji yamekatika na hakuna taarifa yeyote ile kutoka mamlaka husika tulikua tunaomba mamlaka ishughulikie mapema Suala hili.
0 Reactions
0 Replies
34 Views
Anonymous (01f4)
KERO 
Habari Jamiiforums, nipo hapa kuwakilisha Wananchi wenzangu tuliokumbana na Mradi wa Mwendokasi… Mahali ni Mlalakuwa, Kata ya Makongo, Mtaa wa CCM. Tumeshafanyiwa valuation ishapita miaka mitatu...
2 Reactions
2 Replies
146 Views
Anonymous (fdc6)
KERO 
Kwenye utaratibu wa usahili wa mchujo wa ajira kutoka sekretarieti ya ajira kuna shida mahali. Watu tumeenda kufanya usahili wa mwalimu daraja la III C Historia. Halafu unakutana na maswali 50...
12 Reactions
34 Replies
871 Views
Kumekuwepo na changamoto ya baadhi ya daladala kusitisha route katika maeneo mengi nchini. Mwezi wa nne mwaka 2026 nilikaa Arusha kikazi kwa karibu mwezi mzima. Nilikuwa nakaa eneo la Atomic...
2 Reactions
3 Replies
85 Views
Anonymous (b5ce)
KERO Responded 
Mimi ni mwajiriwa Mpya Manispaa ya TEMEKE, Dar es Salaam, March 6, 2026 tuliwekewa fedha kwenye account zetu waajiriwa wapya Idara ya Msingi, jumla ya Walimu 77 tuliwekewa fedha kwa wastani kila...
9 Reactions
80 Replies
1K Views
Anonymous (719f)
KERO 
Mimi Mwanafunzi wa Kampala (KIUT), Kozi ya Pharmacy, kuna jambo linatukera sana, kuna tabia ya Walimu kukomoa Wanafunzi, kutuwekea mazingira magumu ya kufaulu mtihani, na njia pekee ya kutoboa...
2 Reactions
6 Replies
174 Views
Anonymous
KERO 
Naomba tupazie sauti hapa ni kigamboni barabara inaunganisha eneo la kona ya chuo na Mwasonga hilo daraja haliishi maji yakijaa hapo watoto hawaendi shule wiki ya 3 sasa, mnataka watoto wetu...
3 Reactions
11 Replies
165 Views
Wakuu habari za mihangaiko ya hapa na pale. Kuna jambo linasikitisha kidogo, na kama ungekuwa ni wewe sidhani kama ungefurahia, mwaka jana 2025 serikali ilianzisha mradi wa kusapoti elimu yetu...
0 Reactions
4 Replies
143 Views
Anonymous (734e)
KERO 
Wallimu wa Shule ya Sekondari na Chuo cha Ualimu Al Haramain tunapitia wakati mgumu kwasababu tunapata mishahara mi nne tu kwa mwaka yani January, April, July, na September. Hali kadhalika hatuna...
2 Reactions
10 Replies
181 Views
Anonymous
KERO 
Napenda kuwasilisha malalamiko rasmi kuhusu hali ya watoto wanaolelewa katika kituo cha watoto yatima kinachojulikana kama Shalom Center, kilichopo Kisongo, Arusha. Kwa masikitiko makubwa, kuna...
1 Reactions
7 Replies
250 Views
Anonymous (bb66)
KERO 
Leo nataka kugusia jambo ambalo linatupa wakati mgumu sisi wadau wa kilimo na ufugaji tunaotafuta mitaji kupitia Mfuko wa Pembejeo (AGITF). Ukiingia kwenye tovuti ya AGITF (www.agitf.go.tz)...
2 Reactions
2 Replies
140 Views
Anonymous
KERO 
"Kwa baraza la watalamu waalamu wa radiografia (MPIRC) tunaomba ufafanuzi juu ya ucheleweshaji wa utoaji wa leseni za awamu ya pili kwa mwaka huu wa 2026. Tulio wengi tumekamilisha taratibu zote...
1 Reactions
1 Replies
82 Views
Anonymous
KERO 
Wananchi wanaoishi na kufanya shughuli zao kuanzia Ubungo hadi Kimara wanakabiliwa na changamoto kubwa kila siku wanapojaribu kuvuka Barabara ya Morogoro, hasa nyakati za asubuhi na jioni...
2 Reactions
8 Replies
125 Views
Anonymous
KERO 
Watu wa Kimara Michungwani mtaa wa Mengeni tunapata sana shida ya maji ingawa mvua zinanyesha lakini tunakaa week 3 hadi mwezi bila maji na tunaona hali hii haitatuliwi maana ni muda mrefu sasa...
0 Reactions
1 Replies
78 Views
Back
Top Bottom