Maeneo ya Posta – Dar es Salaam chemba nyingi hazina mifuniko, juzi nimeshuhudia Bodaboda kaingia kwenye chemba wote na abiria waliumia.
Tukio lingine imekuwa zamu yangu, nimepigisha kichwa...
Kumekuwepo na changamoto kubwa katika Sekta ya Maabara nchini, jambo hili tulipaza sauti mwaka 2024 lakini bado slinahitaji hatua za haraka kutoka kwa mamlaka husika:
Kumekuwepo na changamoto...
Uwanja huu ni uwanja bora sana hauna hata miaka 6 lakini tayari haufanyiwi marekebisho ,napenda wajuzwe huu ni 5 star level airport hatutarajii rangi ya jengo izidi 3 years isibadilishwe ,vyoo...
Mimi Fundi Sanifu Maabara (Laboratory Technician 1), ni mwajiriwa wa Serikali mwenye uzoefu wa miaka 8 sasa.
Mimi na wenzangu wote tunaofanya kazi chini ya Idara ya Elimu Sekondari Tanzania...
Barabara ya Vikindu via Vianzi mbovu kipindi hiki cha mvua tunapata tabu sana wakazi wa Vianzi, nauli zinazidi kupanda. Hii Vikindu ipo Wilaya ya Mkuranga, Mkoa wa Pwani.
Habari,
Mimi ni mkazi wa Sinza Madukani kuna mradi wa majitaka unaendelea tokea mwanzoni mwaka 2025 ..Lakini huu mm Mradi umekua kero na Usumbufu kwa wakazi wa Sinza Madukani pamoja na eneo ya...
Sisi wakazi wa Mbeya kata ya Forest ya zamani tuna siku ya4 maji yamekatika na hakuna taarifa yeyote ile kutoka mamlaka husika tulikua tunaomba mamlaka ishughulikie mapema Suala hili.
Habari Jamiiforums, nipo hapa kuwakilisha Wananchi wenzangu tuliokumbana na Mradi wa Mwendokasi… Mahali ni Mlalakuwa, Kata ya Makongo, Mtaa wa CCM.
Tumeshafanyiwa valuation ishapita miaka mitatu...
Kwenye utaratibu wa usahili wa mchujo wa ajira kutoka sekretarieti ya ajira kuna shida mahali.
Watu tumeenda kufanya usahili wa mwalimu daraja la III C Historia. Halafu unakutana na maswali 50...
Kumekuwepo na changamoto ya baadhi ya daladala kusitisha route katika maeneo mengi nchini.
Mwezi wa nne mwaka 2026 nilikaa Arusha kikazi kwa karibu mwezi mzima. Nilikuwa nakaa eneo la Atomic...
Mimi ni mwajiriwa Mpya Manispaa ya TEMEKE, Dar es Salaam, March 6, 2026 tuliwekewa fedha kwenye account zetu waajiriwa wapya Idara ya Msingi, jumla ya Walimu 77 tuliwekewa fedha kwa wastani kila...
Mimi Mwanafunzi wa Kampala (KIUT), Kozi ya Pharmacy, kuna jambo linatukera sana, kuna tabia ya Walimu kukomoa Wanafunzi, kutuwekea mazingira magumu ya kufaulu mtihani, na njia pekee ya kutoboa...
Naomba tupazie sauti hapa ni kigamboni barabara inaunganisha eneo la kona ya chuo na Mwasonga hilo daraja haliishi maji yakijaa hapo watoto hawaendi shule wiki ya 3 sasa, mnataka watoto wetu...
Wakuu habari za mihangaiko ya hapa na pale.
Kuna jambo linasikitisha kidogo, na kama ungekuwa ni wewe sidhani kama ungefurahia, mwaka jana 2025 serikali ilianzisha mradi wa kusapoti elimu yetu...
Wallimu wa Shule ya Sekondari na Chuo cha Ualimu Al Haramain tunapitia wakati mgumu kwasababu tunapata mishahara mi nne tu kwa mwaka yani January, April, July, na September.
Hali kadhalika hatuna...
Napenda kuwasilisha malalamiko rasmi kuhusu hali ya watoto wanaolelewa katika kituo cha watoto yatima kinachojulikana kama Shalom Center, kilichopo Kisongo, Arusha.
Kwa masikitiko makubwa, kuna...
Leo nataka kugusia jambo ambalo linatupa wakati mgumu sisi wadau wa kilimo na ufugaji tunaotafuta mitaji kupitia Mfuko wa Pembejeo (AGITF).
Ukiingia kwenye tovuti ya AGITF (www.agitf.go.tz)...
"Kwa baraza la watalamu waalamu wa radiografia (MPIRC) tunaomba ufafanuzi juu ya ucheleweshaji wa utoaji wa leseni za awamu ya pili kwa mwaka huu wa 2026.
Tulio wengi tumekamilisha taratibu zote...
Wananchi wanaoishi na kufanya shughuli zao kuanzia Ubungo hadi Kimara wanakabiliwa na changamoto kubwa kila siku wanapojaribu kuvuka Barabara ya Morogoro, hasa nyakati za asubuhi na jioni...
Watu wa Kimara Michungwani mtaa wa Mengeni tunapata sana shida ya maji ingawa mvua zinanyesha lakini tunakaa week 3 hadi mwezi bila maji na tunaona hali hii haitatuliwi maana ni muda mrefu sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.