KERO Threads

Sisi wananchi na wafanyabiashara wa Stendi ya Muda ya Bweri, Manispaa ya Musoma, tunatoa wito kwa Serikali na mamlaka husika kusikiliza kilio chetu kuhusu agizo la kutakiwa kulipa shilingi 50,000...
0 Reactions
21 Replies
264 Views
Uhamiaji kumekuwa na malalamiko ya rushwa na usumbufu katika mchakato wa kupata pasipoti. Baadhi ya waombaji wanadai kuwa baada ya kujaza taarifa Mbagala na kwenda Posta kuchukua pasipoti, hupewa...
0 Reactions
0 Replies
71 Views
Naomba suala hili lifanyiwe uchunguzi. Watumishi wa Ofisi ya NIDA Nzega pamoja na kiongozi wao wanadaiwa kutoa huduma zisizoridhisha kwa wananchi. Baadhi ya wahudumu wana kauli zisizo za...
1 Reactions
1 Replies
67 Views
Anonymous
KERO 
Wakazi wa Kigamboni na watumiaji wa Sea Taxi tumekuwa tukikumbana na changamoto ya salio kupotea kwenye kadi zetu. Mara nyingi unaweka, kwa mfano, shilingi 1,000 asubuhi ukitarajia zitakutosha kwa...
0 Reactions
2 Replies
89 Views
Mimi ni mzanzibar na mtanzania kadhaalika.... Leo nimeona tena maovu makubwa sana kwa eneo la Malindi zanzibar... Askari wamekua Hawna ubinaadamu wala imani ktk kazi zao.. Askari amenikamata...
2 Reactions
5 Replies
166 Views
Karibu miezi mitatu sasa imepita tangu niwasilishe maombi ya pasipoti, lakini hadi leo (Machi 2026) sijapatiwa huduma hiyo kutoka Idara ya Uhamiaji Tanzania. Kila ninapofuatilia naambiwa kuwa...
4 Reactions
20 Replies
523 Views
Anonymous
KERO 
Mimi ni mmoja wa wakazi wa Kimara, naomba msaada wenu kufichua changamoto ya maji machafu yanayotolewa na DAWASA katika eneo la Michungwani Darajani. Maji haya yamekuwa yakisababisha baadhi ya...
1 Reactions
0 Replies
56 Views
  • Redirect
Anonymous
KERO 
Habari, Naomba suala hili lifanyiwe uchunguzi. Tarehe 16 nilifika Stendi ya Somanda, Bariadi, Simiyu, ambapo nilitakiwa kulipa shilingi 300 kama ada ya kuingia stendi. Baada ya kulipa...
0 Reactions
Replies
Views
Habari, Kuna kero kubwa sana inayozidi kuongezeka kwenye sekta ya usafirishaji hapa Tanzania, hususan kwa madereva wa malori makubwa. Kama transporter, serikali inaweka masharti makubwa...
4 Reactions
5 Replies
181 Views
Anonymous
KERO 
Wananchi tunahitaji ufafanuzi kuhusu nguvu na utendaji wa Mgambo wa Jiji, hususan katika eneo la Kariakoo, wakidai kuwa kumekuwa na ukamataji wa mali za wananchi unaosababisha kero kubwa. Baadhi...
0 Reactions
2 Replies
122 Views
Sisi ni watumishi wa Hospitali ya Rufaa ya Nkinga, iliyopo Wilaya ya Igunga, Mkoa wa Tabora. Tunaiomba Serikali na mamlaka husika kutusaidia kufuatilia changamoto mbalimbali ambazo kwa muda mrefu...
5 Reactions
13 Replies
272 Views
Anonymous
KERO 
Kero yangu ni kuna kampuni inauza viwanja inaitwa Landmatrix Ltd walikuja ofisini kwetu na kutueleza kuwa wanauza viwanja vilivyopimwa maeneo mbalimbali mnamo mwaka 2024 kwa wakati huo walikuwa na...
2 Reactions
7 Replies
215 Views
  • Redirect
Mimi ni mzanzibar na mtanzania kadhaalika.... Leo nimeona tena maovu makubwa sana kwa eneo la Malindi zanzibar... Askari wamekua Hawna ubinaadamu wala imani ktk kazi zao.. Askari amenikamata...
2 Reactions
Replies
Views
Anonymous
KERO 
Mimi ni Mkazi wa Mkoa wa Mara, Manispaa ya Musoma, Kata ya Kwangwa. Nililipia huduma ya kuunganishiwa umeme na TANESCO tangu Machi 2026 hadi leo mwezi Julai 2026 bado sijaunganishiwa, ni karibu...
4 Reactions
12 Replies
400 Views
Anonymous (54df)
KERO 
Wanachuo wa mwaka wa kwanza radiology kutoka chuo cha nkinga institute of health sciences wameambiwa walipe shilingi Laki mbili ya field kwenye account ya chuo halaf wakienda field wanajitegemea...
1 Reactions
1 Replies
202 Views
Anonymous
KERO 
Mimi ni mmoja wa wanafunzi wa Chuo cha Sheria Tanzania (Law School of Tanzania), naomba kupaza sauti kuhusu uamuzi wa chuo kutangaza kuwa wanafunzi wote wa Kundi la 42 pamoja na Kundi la 40...
2 Reactions
16 Replies
339 Views
Anonymous (698e)
KERO 
Kwenye dirisha la Normal transfer request nimetafuta Halmashauri/Taasisi ninayotaka kuhamia nimeipata Soma Pia: Kuna changamoto kubwa kwenye mfumo wa e-Uhamisho katika mchakato wa uhamisho wa...
2 Reactions
46 Replies
1K Views
Mabasi ya chuo hayana seatbelts, na inatokea safari za masafa marefu kuenda kwa mfano Tanga, Moshi, Pwani, kitu ambacho sio salama Wanafunzi tunatamani waboreshe hayo mabasi au wabadilishe...
0 Reactions
0 Replies
33 Views
Anonymous
KERO 
Ndani sintofahamu na mivutano ya kiutendaji imekuwa mingi katika Hifadhi ya Wanyamapori Uyumbu ambayo inasimamiwa na Jumuiya ya Uhifadhi wa Wanyamapori ya Uyumbu (WMA) Wilayani Urambo, Tabora...
1 Reactions
2 Replies
239 Views
Nimekuwa nikikumbana na changamoto kubwa katika usafiri wa Costa (mini bus) kati ya Masasi na Tunduru, umbali wa takribani kilomita 195. Badala ya kutoa huduma ya safari ya masafa marefu, Costa...
0 Reactions
2 Replies
58 Views
Back
Top Bottom