KERO Threads

Anonymous (54df)
KERO 
Wanachuo wa mwaka wa kwanza radiology kutoka chuo cha nkinga institute of health sciences wameambiwa walipe shilingi Laki mbili ya field kwenye account ya chuo halaf wakienda field wanajitegemea...
1 Reactions
1 Replies
202 Views
Anonymous
KERO 
Mimi ni mmoja wa wanafunzi wa Chuo cha Sheria Tanzania (Law School of Tanzania), naomba kupaza sauti kuhusu uamuzi wa chuo kutangaza kuwa wanafunzi wote wa Kundi la 42 pamoja na Kundi la 40...
2 Reactions
16 Replies
339 Views
Anonymous (698e)
KERO 
Kwenye dirisha la Normal transfer request nimetafuta Halmashauri/Taasisi ninayotaka kuhamia nimeipata Soma Pia: Kuna changamoto kubwa kwenye mfumo wa e-Uhamisho katika mchakato wa uhamisho wa...
2 Reactions
46 Replies
1K Views
Mabasi ya chuo hayana seatbelts, na inatokea safari za masafa marefu kuenda kwa mfano Tanga, Moshi, Pwani, kitu ambacho sio salama Wanafunzi tunatamani waboreshe hayo mabasi au wabadilishe...
0 Reactions
0 Replies
33 Views
Anonymous
KERO 
Ndani sintofahamu na mivutano ya kiutendaji imekuwa mingi katika Hifadhi ya Wanyamapori Uyumbu ambayo inasimamiwa na Jumuiya ya Uhifadhi wa Wanyamapori ya Uyumbu (WMA) Wilayani Urambo, Tabora...
1 Reactions
2 Replies
239 Views
Nimekuwa nikikumbana na changamoto kubwa katika usafiri wa Costa (mini bus) kati ya Masasi na Tunduru, umbali wa takribani kilomita 195. Badala ya kutoa huduma ya safari ya masafa marefu, Costa...
0 Reactions
2 Replies
58 Views
Polisi wanachoweza ni kukamata watu wanao panga maandamano tu. Ila usalama wa watu barabarani hawawahusu. Hampati taairifa za hatari kama hizi ila mnapata za CHADEMA tu, kazi yenu nini sasa...
9 Reactions
25 Replies
846 Views
Hizi ofisi hasa kipindi hiki cha BiTozo zina hali mbaya sana watu hawafanyi kazi waliyotumwa. Unafika ofisini watu wanamajibu ya mkatomkato na nyondo juu wanajiona wanajuaaa kumbe hamna lolote...
11 Reactions
19 Replies
336 Views
Juzi kati kuna mtaro ya maji machafu imekatika na kusababisha kudumbukia tayari za magari na hata watu wanaotembea na hata huleta harufu mbaya katika makazi na kuathiri afya za watu Tunaiomba...
1 Reactions
2 Replies
109 Views
Anonymous
KERO 
Habari wana jamvi, Sisi wakazi wa Sinza Mapambano, wanaoishi jirani na nyumbani kwa mama mzazi wa Wema Sepetu, tunapitia changamoto kubwa kutokana na kelele za muziki unaopigwa usiku kucha katika...
7 Reactions
14 Replies
435 Views
Anonymous
KERO 
Sisi walimu wa ajira mpya tulioajiriwa mwezi Januari 2026 tunaomba ufafanuzi kutoka Ofisi ya Rais – TAMISEMI kuhusu hatima ya malipo ya fedha za kujikimu. Hadi sasa zimepita takribani miezi sita...
0 Reactions
1 Replies
97 Views
Anonymous
KERO 
Sisi ni Walimu wa Ajira Mpya 2025, Wilaya ya Gairo, hatujapewa fedha yetu ya kujikimu licha ya wenzetu wa Elimu ya Msingi kupewa, lakini sisi tunazungushwa tu mara hivi mara vile, swali ni je...
0 Reactions
1 Replies
50 Views
Anonymous
KERO 
Tunaomba msaada wa kutupazia sauti sisi watumishi wa ajira mpya wa mwaka 2026 katika Idara ya Elimu, Halmashauri ya Babati. Hadi leo imepita takribani miezi saba tangu kuajiriwa kwetu, lakini...
0 Reactions
1 Replies
56 Views
Tunaomba mamlaka husika zitusaidie kufuatilia na kuhakikisha tunalipwa fedha zetu zote za kujikimu kwa mujibu wa mwongozo uliopo. Tumepokea malipo hayo baada ya kuchelewa kwa muda mrefu, lakini...
0 Reactions
1 Replies
54 Views
Anonymous
KERO 
Sisi ni walimu wa ajira mpya tulioajiriwa mwezi Januari 2026. Kwa muda sasa tumekuwa tukifuatilia malipo ya fedha zetu za kujikimu, lakini hadi sasa hatujapata majibu yoyote rasmi kutoka kwa...
0 Reactions
1 Replies
46 Views
Anonymous
KERO 
Naomba tusaidie kupaza sauti huenda mamlaka zikasikia kilio chetu tukasaidika. Sisi walimu ajira mpya intake ya March-July 2025 kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Msalala hatujalipwa pesa zetu za...
1 Reactions
16 Replies
447 Views
Anonymous
KERO 
Sisi ajira mpya (2025) Kada ya Ualimu Wilaya Mtwara Vijijini mkoa Mtwara, bado hatujalipwa fedha zetu za kujikimu tukiuliza tunaambiwa jambo lipo kwenye mchakato.
0 Reactions
1 Replies
63 Views
Anonymous
KERO 
Halmashauri ya Wilaya ya Magu Ajira Mpya 2025 Ualimu tunadai Nusu ya Pesa ya Kujikimu tulipewa Nusu bado Laki Tano kila Mmoja.
0 Reactions
2 Replies
68 Views
Anonymous
KERO 
Baadhi ya watumishi wa kada ya ualimu katika Halmashauri ya Kaliua hatujalipwa fedha za kujikimu hadi sasa. Wale waliolipwa wamepewa sehemu tu ya malipo hayo, huku kiasi kilichobaki kikiwa bado...
0 Reactions
2 Replies
62 Views
Anonymous
KERO 
Waingizaji wa mizigo kutoka nje ya nchi tunaendelea kukabiliwa na changamoto kubwa kutokana na kuchelewa kwa mfumo wa TBS kutoa Control Number. Kwa mfano, ombi langu liliwasilishwa tangu Jumatano...
3 Reactions
3 Replies
195 Views
Back
Top Bottom