Naweza kusema kuwa kwa ninavyoamini kutokana na mazingira, Askari wa Barabarani wanatengeneza foleni njia ya Kimara kwa Makusudi wanaanza kuwaambia watu wapite mwendokasi kipande cha Baruti then...
Kuna uzembe wa kukithiri katika utendaji wa Wakala wa Huduma ya Ununuzi Serikalini (Government Procurement Services Agency - GPSA) Mkoa wa Arusha kipindi hiki kigumu, unaletaje gari moja ya mafuta...
Kuna kikundi kinaitwa KIMAUCHA kinafanya kazi za umeme chini ya TANESCO Wilaya ya Chanika, Dar es Salaam, watu wanaohusika hasa viongozi wa kikundi hicho wamekuwa na tabia ya kudhulumu hela...
Kero yangu ni kuhusu vituo vya mafuta vya mitaani kuhusika katika uuzaji wa mafuta ya diesel kinyemela katika Kijiji cha Sukamahera, Wilaya ya Manyoni.
Lori za mafuta zimekuwa na kawaida ya kuuza...
Nilikata tiketi online tarehe 08 Mei 2026 kwa ajili ya safari ya tarehe 09 Mei 2026 kutoka Dar es Salaam kwenda Kahama. Kituo nilichopangiwa kupandia ni Mlandizi.
Nilifika kituoni mapema saa...
Taa za barabarani karibu na Cafe ya College of Humanities katika Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) zimekuwa hazifanyi kazi kwa takriban miaka miwili sasa.
Eneo hilo ni muhimu kwa Wanafunzi wanaokwenda...
Ni jambo la kusikitisha na linalokatisha tamaa kuona kuwa ofisi yetu imeamua kupunguza kwa kiwango kikubwa ubora wa huduma za bima ya afya kwa wafanyakazi, bila kuzingatia athari zake kwa afya na...
Viongozi wa kijiji cha Mlimba 'B' katika Halmashauri ya Mlimba wamekuwa kero kwa wananchi kwani wamekuwa wakitoza faini ya Tsh. 10,000/= kwa kila mwananchi asipohudhuria kwenye mkutano wa serikali...
Hakuna wanachokifanya huduma MBOVU Kwa wananchi, rushwa, wizi na utapeli vimetamalaki
Yapata miezi sita Sasa wananchi walotuma maombi ya passport na wanao omba passport wanaambiwa mfumo...
Wilaya ya Mlee Mkoani Katavi tunadai fedha za Uchaguzi, Waziri Mkuu alipokuja viongozi wakatuziba mdomo msiongee, tutawalipa, hadi leo imekuwa danadana Mkurugenzi hataki kutulipa sisi mgambo na...
Shule yetu ya Mkondogwa Primary School iliyopo Kata ya Chamazi Wilaya ya Temeke, Mkuu wa Shule anatutoza rushwa sana, tukihamishia watoto wetu pale anatutoza hadi shilingi laki moja kwa madai ni...
Mnamo mwaka jana 2025 mwanzoni, serikali ilitangaza kuboresha barabara ya Kinondoni kuanzia Wakulima Road (usalama) mpaka Mtaa wa Binti Matola (mtaa opposite na mwembe jini, unaoenda mpaka V Ways)...
Kwa ufupi,
Sijui mipango ya hii miji inapangwa vipi. Kipindi serikali inafanya juhudi kutanua Morogoro road moja ya sababu kuu ilikuwa ni kuzidiwa kwa wingi wa magari.
Hivi nani aliamua mabasi...
Mfumo mpya wa Registration kwa Madaktari, Medical Council of Tanganyika (MCT) uliobadilishwa hivi karibuni unaitwa HPRS (Health Practitioner Registration System) una changamoto nyingi ambazo...
Sisi ni vijana tunaofanya kazi za vibarua katika sekta binafsi zinazohusika na sekta ya uchukuzi, tunajulikana kwa jina maarufu kama Makuli au wabeba mizigo viwandani na ma-godwn/tunabeba mizigo...
Licha ya mahitaji makubwa ya walimu kwa shule za msingi na sekondari, bado walimu wanaojitolea wanaishi maisha magumu, kwa kukosa posho na wengine wakiambulia kulipwa Sh 100,000 kwa mwezi...
Wakazi wa Sinza Madukani wanakabiliwa na kero kutokana na kuchelewa kukamilika kwa ujenzi wa barabara ya kutoka Sinza Madukani kwenda Namnaan Hotel, baada ya barabara hiyo kuchimbwa na kuachwa...
Kwa kawaida Serikali huajiri kwa bajeti, kwanini wanashindwa kulipa fedha hizo kwa wakati ikiwa huweka bajeti ya ajira na kutenga fedha za malipo ya kujikimu kwa mwaka husika wa kifedha kulingana...
MCHANGO WA MAONI KUHUSU MATANGAZO YA KIDIGITALI NA MATUMIZI YA DATA KWA MTUMIAJI
Kwa heshima kubwa, ninaomba mamlaka zinazohusika na mawasiliano nchini, hususan TCRA, kuangalia uwezekano wa...
Mpaka sasa tuna zaidi ya mwezi tangu tumalize kufanya mitihani, leseni zetu zimeisha, hali inayosababisha madereva wengine kupoteza ajira zao.
Mpaka sasa hatujui ni lini tutapata vyeti ama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.