KERO Threads

Anonymous
KERO 
KERO YANGU KUHUSU HUDUMA ZA BRELA – IDARA YA USAJILI WA MAJINA YA BIASHARA Niliwasilisha ombi la usajili wa jina la biashara kupitia mfumo wa BRELA kwa kujaza fomu pamoja na viambatisho vyote...
2 Reactions
6 Replies
163 Views
Anonymous
KERO 
Tanesco imekuwa na unyanyasaji mkubwa sana kwa vibarua wanaosambaza umeme kwa mteja(service line) na kujenga miradi midogo midogo. Inafikia mpaka miezi nane(8) pesa haijalipwa na hakuna...
1 Reactions
1 Replies
107 Views
Kuna jamaa yangu kanipa mkasa wake kilichomkuta Nssf alipoenda kufuatilia mafao yake. Nimeona niilete humu; Jamaa anasema miezi kadhaa huko nyuma alienda Nssf kwenda kufuatilia madai yake...
4 Reactions
13 Replies
273 Views
Anonymous (ad13)
KERO 
Shule ya Msingi MIEMBENI ipo Kijiji cha MIEMBENI, Kata ya Kitanda Halmashauri ya Mbinga Mji, hali halisi ni kuwa haishawishi kabisa suala zima la kufundisha wala kujifunzia. Madarasa hayana...
2 Reactions
4 Replies
97 Views
Mawele
KERO Responded 
Wakazi wa Kimanga, Dar es Salaam, wataanza kukumbana na adha ya usafiri kuanzia kesho baada ya wamiliki wa daladala zinazotoa huduma katika barabara hiyo kutishia kuanza kugoma. Hatua hiyo...
0 Reactions
5 Replies
106 Views
Anonymous
KERO 
Walimu tulioajiriwa mwaka Jana ngazi ya Sekondari tulipewa Hela ya kujikimu nusu (Laki Nne) mwaka huu na hatujui nyingine tunamaliziwa lini. Lakini pia kwa Wale walio ajiriwa mwaka huu (January...
0 Reactions
2 Replies
75 Views
Anonymous
KERO 
Idara ya Maji Mkoa wa Arusha wanatuma bili za maji hata kama hujatumia hayo maji, niko nje ya mkoa kikazi, mimi pamoja na familia yangu ndani ya miaka miwili lakini kila mwezi napokea bili ya maji...
1 Reactions
2 Replies
40 Views
Anonymous
KERO 
Hii ni Kigamboni, barabara inaunganisha eneo la Kona ya Chuo na Mwasonga, hilo daraja haliishi maji, yakijaa hapo Watoto hawaendi shule wiki ya tatu sasa. Yaani ukitaka kwenda Cheka boda...
1 Reactions
0 Replies
39 Views
Anonymous
KERO 
Kuna kampuni inaitwa Epvate & Fortune International Consulting Ltd wajiriwa wake katika mgodi wa Barrick Bullyaghulu kupitia Kampuni ya Contractor BLY hawachangii michango ya Wafanyakazi ya NSSF...
1 Reactions
0 Replies
42 Views
Anonymous
KERO 
Mimi ni Mtumishi katika halmashauri ya Kibondo. Khero yangu kubwa ni Makato yanayokatwa na Chama cha wafanyakazi TALGWU, ambayo kwa kila mwezi ninakatwa 17,660/= Ila ni miaka zaidi ya 2 imepita...
1 Reactions
4 Replies
102 Views
Anonymous
KERO 
sisi watumishi wa Hospital ya mji kondoa tuna lazimishwa kuchangia mchango wa mwenge shilingi 5,000/= kwa kila mtumishi kutoka kwa Mganga Mfawidhi wa Hospital ya Mji Kondoa. Mfano, Tarehe...
4 Reactions
38 Replies
392 Views
Anonymous (2cd6)
KERO 
Leo Nimeshangaa Sana Nilipofika Stendi Tajwa Baadaya Mgeni Wangu Kumkatia Ticket Ya Basi Kuelekea Nyanda Za Juu Kusini. Nilipofika Mgeni Aingie Stendi Naambiwa Pamoja Na Kukata Ticket Hawezi...
10 Reactions
29 Replies
413 Views
Kwa wale tunaofanya kazi chini ya TAMISEMI kwakweli hii wizara inachosha yaani mtu unahama miaka miwili ila mshahara bado upo huko ulikotoka,unaanza kumbembeleza mkuu wa huko ulikotoka apitishe...
4 Reactions
11 Replies
177 Views
Anonymous
KERO Responded 
Habari za muda naomba utusaidie kupasa sauti kwa kweli Halmashauri yetu ya Chato hawajatutendea haki sisi walimu wa sekondari tulioajiriwa Mwaka 2025. Walitupa fedha za kujikimu shilingi laki...
1 Reactions
9 Replies
290 Views
Anonymous
KERO 
Kwanini Watumishi tunaungwa katika Vyama vya Wafanyakazi, Chama Cha Wafanyakazi Wa Serikali Na Afya Tanzania (TUGHE)na Chama cha Wafanyakazi wa Serikali za Mitaa Tanzania (TALGWU) bila kuchagua...
3 Reactions
7 Replies
183 Views
Anonymous
KERO 
Wakazi wa Sinza Kumekucha, Sinza Makaburini, Sinza Kijiweni na Sinza Mawasiliano tunateseka kwa kelele za baa ya Amell iliyopo kwenye jengo la PSSSF Sam Nujoma. Ile baa siku ya Ijumaa na...
4 Reactions
48 Replies
534 Views
Anonymous (396c)
KERO 
Habarini wakubwa. Kulingana na mnyumbulisho wa kodi na tozo za mafuta yanayoingia nchini, bado namuona TASAC anachukua Tsh 3/= kwa kila lita kwa kazi ipi hasa? ..Kumbuka TASAC alipewa majukumu...
8 Reactions
20 Replies
307 Views
Anonymous
KERO 
Kuna kiwanda cha kinaitwa Global Aluminium Ltd kipo Kibaha Zogowale, Wachina wanaamrisha mfanyakazi aende kazini kila siku hakuna sikukuu wala weekend. Kama hutaenda unafukuzwa kazi, mikatabao ya...
4 Reactions
26 Replies
311 Views
Anonymous
KERO Responded 
Sisi tuliokuwa wafanyakazi wa muda mrefu katika Hospitali ya JKCI-Dar Group (zamani ikijulikana kama Dar Group) tumejikuta katika hali ya sintofahamu kufuatia uamuzi wa mwajiri wetu kusitisha...
2 Reactions
0 Replies
205 Views
Anonymous
KERO 
Habari poleni kwa kazi nzuri mnaifanya na inasaidia jamii waweze kupata haki zao kwa nyie kupaza sauti. Mimi na wenzangu ni Watumishi wa afya Manispaa ya Ubungo, kero yangu ni kwamba tuliajiriwa...
1 Reactions
1 Replies
62 Views
Back
Top Bottom