KERO Threads

Anonymous
KERO 
Ombi la Msaada: Utekelezaji mbovu wa Sheria ya Maternity kwa Walimu Wakuu Habari Wadau Pole na hongera kwanza kwa kazi nzuri ya kutupa sauti sisi ambao hatusikiki. Nina kero ambayo inatuumiza...
0 Reactions
0 Replies
48 Views
Anonymous
KERO 
Mimi ni mkazi wa Mji Mdogo wa Ikwiriri uliopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Rufiji, Mkoa wa Pwani. Mji wa Ikwiriri unakua kwa kasi na tayari una idadi kubwa ya wakazi, lakini cha kushangaza...
0 Reactions
0 Replies
57 Views
informer 06
DOKEZO KERO 
Bodaboda tunapopeleka abiria SGR Asubuhi mara nyingi wanatukamata kisa tunashusha abiria nje ya eneo la jengo lao pale, wanatoa maelekezo kuwa wanataka tushushe ndani ya eneo la maegesho lililopo...
7 Reactions
39 Replies
2K Views
Anonymous
KERO 
Nimekagua gari yangu kwenye mfumo wa Polisi unaonesha nina faini ya ubovu wa gari, faini hiyo imepigwa Mlandizi ndani ya wiki tatu zilizopita wakati sijawahi kufika kabisa na gari, pia kwa muda...
2 Reactions
6 Replies
285 Views
Anonymous
KERO Responded 
Kwenye uombaji wa mkopo kuna kipengele kipya cha kuweka National physical address (NaPA) hiki ni kipengele kipya kwa waombaji Mwaka 2025. Tatizo kimetolewa bila maelekezo yoyote na Wadau...
3 Reactions
11 Replies
3K Views
Anonymous
KERO 
Kikundi cha watu kilichojitambulisha kuwa ni Sungu Sungu wa Chamazi Msufini kinadaiwa kuwafuata wananchi usiku wa manane kudai fedha za ulinzi bila kuwa na vitambulisho wala barua kutoka kwa...
0 Reactions
8 Replies
83 Views
Anonymous
KERO 
Umoja wa Walimu Wasio na Ajira (NETO) uliwasilisha taarifa kupitia vyombo mbalimbali vya habari kuhusu kutotekelezwa kwa ahadi za Serikali na kutopatiwa majibu kuhusu changamoto zinazowakabili...
1 Reactions
0 Replies
81 Views
Anonymous
KERO 
Sisi ni vibarua wa Halmashauri ya Jiji la Tanga, Idara ya Mazingira na Bustani, tunaomba kuwasilisha malalamiko yetu kuhusu kuchelewa kwa malipo ya mishahara. Kwa muda sasa, vibarua wa jiji...
0 Reactions
2 Replies
128 Views
Anonymous
KERO 
Habari, Naomba suala hili lifanyiwe uchunguzi. Kumekuwa na malalamiko kuhusu utaratibu wa kuanzishwa kwa michango mikubwa katika baadhi ya shule za sekondari za Wilaya ya Longido, hususan Shule...
0 Reactions
0 Replies
45 Views
Anonymous
KERO 
Ndugu Wadau, Mnamo tarehe 18 Julai 2026, kati ya saa 2 usiku hadi saa 7 usiku, katika Mji Mdogo wa Ilula, Wilaya ya Kilolo, kulifanyika operesheni ya kukamata wananchi iliyosababisha taharuki...
1 Reactions
0 Replies
198 Views
Anonymous
KERO 
Halmashauri ya Jiji la Arusha, Ajira mpya elimu tumelipwa hela ya kujikimu nusu ila tukiuliza kuhusu pesa iliyobaki hatupewi majibu yanayojitosheleza, wanasema turidhike na hiyo hiyo maana kuna...
0 Reactions
2 Replies
70 Views
Anonymous
KERO 
Kwanza, napenda kuwashukuru kwa kazi kubwa mnayoifanya ya kuwapa wananchi nafasi ya kutoa maoni, changamoto na kero zao kupitia jukwaa hili. Ninaomba kupaza sauti kuhusu suala la malipo ya hela...
0 Reactions
3 Replies
113 Views
Anonymous
KERO 
Mimi ni mtumishi Idara ya Kilimo Wilaya ya Bariadi kero yangu ni kuhusu Fedha ya Kujikimu, tangu mwaka 2025, Julai tulipo ajiriwa tumepunguzwa laki Moja tu kati ya laki 6, baadhi ya tulioingia nao...
0 Reactions
1 Replies
48 Views
Anonymous
KERO 
Naomba utusaidie kutoa malalamiko yetu Ajira Mpya 2025/2026 katika Halmashauri ya Bunda DC Kada ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi mpaka sasa ni mwaka hatujalipwa hela ya kujikimu.
0 Reactions
2 Replies
65 Views
Anonymous
KERO 
Ajira Mpya Urambo Tabora, tangu January 2026 Idara ya Afya na Walimu hatujalipwa fedha za kujikimu, tukiuliza tunaambiwa fedha zetu hazijafika, zilizofika ni awamu hii ya mwishoni Ajira ya May...
0 Reactions
4 Replies
79 Views
Anonymous
KERO 
Watumishi wapya wa Idara ya Afya walioajiriwa mwaka 2025/2026 katika Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, mkoani Tabora, hatujalipwa fedha zao za kujikimu hadi sasa. Kila tunapofuatilia malipo yetu...
0 Reactions
3 Replies
110 Views
Halmashauri ya Lushoto inachelewa kuwapa Watumishi Posho zao za kujikimu walioajiriwa Mwaka 2026, hivyo kufanya vijana kuishi kwa ugumu huku Ugenini. Wakati Halmashauri nyingine ndani ya Mkoa na...
0 Reactions
1 Replies
96 Views
Anonymous
KERO 
Halmashauri ya Wilaya ya Mtama inakabiliwa na upungufu mkubwa wa magari ya wagonjwa. Kwa sasa kuna magari mawili pekee yanayofanya kazi, lakini ni moja tu linalotumika mara kwa mara kutokana na...
1 Reactions
4 Replies
86 Views
Sisi wananchi na wafanyabiashara wa Stendi ya Muda ya Bweri, Manispaa ya Musoma, tunatoa wito kwa Serikali na mamlaka husika kusikiliza kilio chetu kuhusu agizo la kutakiwa kulipa shilingi 50,000...
0 Reactions
21 Replies
263 Views
Uhamiaji kumekuwa na malalamiko ya rushwa na usumbufu katika mchakato wa kupata pasipoti. Baadhi ya waombaji wanadai kuwa baada ya kujaza taarifa Mbagala na kwenda Posta kuchukua pasipoti, hupewa...
0 Reactions
0 Replies
71 Views
Back
Top Bottom