Hivi hizi pesa ambazo Bunge linajadili ni matumizi yasiyo ya lazima wakati kuna Wabunge watoro Bungeni, bungeni hawaonekani, jimboni hawaonekani lakini mishahara wanalipwa.
Mfano mbunge wa Jimbo...
Tunapata changamoto Magari ya Mbezi To Makumbusho Via Kimara Hayapakii Ruti Ya Makumbusho yanaishia Magomeni Ni Kero Kwa Abiria Wengi Ndani ya Stendi ya Mbezi Luis.
Hizi kampuni za mikopo online zimekuwa na kero kubwa kwa wakopaji, yaani mtu unakopa laki moja (100,000) unalazimishwa kurudisha Sh 152,000 ndani ya siku 5. Ambayo ni riba ya asilimia 52, Benki...
Hii Department ya Foreign Language na Literature ya University of Dodoma kuna tatizo kubwa sana.
Wanawafelisha wanafunzi bila msaada wowote. Mfano hai ni LG 102 (Communication Skills)—hili somo...
Habari wana Jamii Forums,
Naomba kuwasilisha hii kero kwa umma na taarifa hizi zifike TAMISEMI na Wizara ya Elimu.
Kuna utaratibu mbovu sana kwa wanafunzi wanaosoma shule ya msingi Tandika...
Ziwa lipo jirani ila Wananchi wa Nyashishi na Usagara (Mwanza) hatujawahi kuwa na maji ya bomba
Wananchi wa Nyashishi na Usagara Mwanza tangu Dunia iumbwe maeneo hayo hayajawahi kuwa na bomba la...
Kulingana na viwango vipya vya nauli vilivyotangazwa na LATRA, nauli ya kutoka Pangani kwenda Tanga iliipaswa kuwa 3,377/= au 4000/= kwa barabara ya vumbi. Sababu umbali wa kutoka Pangani kwenda...
Habari,
Kwa takribani miezi miwili kwa vipindi tofauti tofauti maji ya DAWASA upande wa Mbezi Beach yamekuwa yakitoka na rangu nyeusi au yawe machafu ambapo ukikinga kwenye ndoo au tank baada ya...
Wafanyakazi hawana tena mtetezi wachangamoto zao,, sio vyama vyao vya kitaaluma wala sio chama chao cha wafanyakazi serikali.
Watumishi wa umma wana hali mbaya sana hasa kipindi hiki ambapo siasa...
Kuna shughuli hatarishi zinaendelea katika maeneo ya Kishiri na Fumagila kutokana na uchimbaji holela wa mchanga. Hali hii inaleta madhara makubwa kwa mazingira na usalama wa jamii.
Ni wakati wa...
Kuna barabara ya kutoka hapa Njia Panda ya Tegeta A hadi posoposoa ni kero sana tena kipindi hichi cha mvua
Yani barabara hii ilianza ujenzi wa awali tu miezi miwili nyuma, na tangu hapo hakuna...
Habari,
Mimi ni mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na pia ni mkazi wa Mabibo hostel.
Hii changamoto imekuwa ni kwa miaka sasa. Mabafu na vyoo havina milango na wala hakuna dalili za...
Katika kituo cha Ilala-Iboma amabacho ndo cha mwisho kwa 'Route' ya Mbagala-Ilala BOma kumekuwa hakuna utararibu mzur wa kuwapanga abiria kwenye foleni ili kusubiri kupannda magari, hali hiyo...
Jambo la kushangaza ni kuwa mfumo wa ESS unashindwa kutuhudumia upande wakuuza mikopo, uhuru wa kuchagua benki ni wa wazi na riba zinaonekana, tunaiomba Serikali imalizie ama i-activate mfumo wa...
Mimi ni mkazi wa kigamboni nina vijana wangu zaidi ya wawili wanasoma shule ya msingi Ungindoni. Changamoto kubwa nayokutana nayo kama mzazi na ukiangalia ni kijana najipambania ni swala la...
imeona JamiiForums.com kuna Mwanachama aliandika kuhusu ongezeko la michango kwa Wanafunzi katika Shule nyingi za Dar es Salama, niseme tu alichoandika ni kweli na hali hiyo ina kera sana.
Mfano...
YAH: CHANGAMOTO TUNAZOPITIA WAHUDUMU WA AFYA NGAZI YA JAMII (CHW)
Sisi Wahudumu wa Afya Ngazi ya Jamii tuliopo Mkoani Kagera lakini ujumbe wetu unawakilisha watu wote wa fani yetu nchi nzima...
Jana Aprili 2, 2026 niliona stori Mtandaoni kuwa abiria na kondakta wa daladala wametwangana makonde kutokana na kutoelewana kuhusu nauli mpya katika safari ya Mbezi Makumbusho kupitia barabara ya...
Naelekea Mwaka mmoja tangu nimemaliza masomo, ila nilibakiza research hapo Chuoni (Chuo Kikuu Huria). Nilipata kazi Uganda, kwahiyo nikaamua kubadilisha sehemu ninayotakiwa kufanya research yangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.